Tanzania haina wapinzani wa kweli.
Waliopo ni hao kina Zitto, lissu wanaolilia mafao yao.
Ukisikia watu wanasema hakuna demokrasia maana yake wanataka na wao wapewe haki ya kufisadi nchi.
Zito akiwa mwenyekiti wa PAC alikua anahongwa na mashirika ya umma, sasa walichokua wanaoigia kelele ni vitu kama hivyo.
Hapa ni kuomba hiki kizazi cha upinzani kina Mbowe, Zitto, Lisu, Lipumba nk kitoweke tutengeneze kizazi kipya. Ila kwa hiki hapana.