Pre GE2025 Lissu na Heche wanaweza kutengenezewa kesi na kuwekwa ndani mpaka uchaguzi mkuu wa mwaka huu wa 2025 upite

Pre GE2025 Lissu na Heche wanaweza kutengenezewa kesi na kuwekwa ndani mpaka uchaguzi mkuu wa mwaka huu wa 2025 upite

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kutokana na misimamo yao na kwa kauli ya Lissu ya leo ya kusema watatumia "shuruti" kuleta mageuzi, sitashangaa watawala wakaja na plani hiyo ya kuwaweka ndani mpaka uchaguzi mkuu upite ingawa kelele zitakuwa nyingi sana.

Kwa sasa, watakuwa wanawawinda kwenye matamshi au vinginevyo mradi tu wawafungulie kesi na wanyimwe dhamana.

Ingekuwa inawezekana kuongoza mapambano ya kidemokrasia ya kudai mageuzi wakiwa nje ya nchi, ingekuwa bora zaidi, ila hilo haliwezekani na propaganda zingekuwa nyingi sana.

CHADEMA lazima nao wawe na mpango wa namna gani wanaweza kukabiliana na hujuma za aina hii iwapo zitatokea(wawaandae wafuasi wao kisaikoljia na pia waandae mbinu za kupambana na hali hiyo).

CHADEMA wasi-rush kwenye hii struggle bila kujipanga kitaifa na kimataifa juu ya namna ya kukabiliana na hujuma za aina hiyo.
 
Kwa udhaifu na kukosekana Kwa ustahimilivu wa kisiasa, yote yanawezekana.


LISSU AJIBIWE KWA HOJA.
 
Kutokana na misimamo yao na kwa kauli ya Lissu ya leo ya kusema watatumia "shuruti" kuleta mageuzi, sitashangaa watawala wakaja na plani hiyo ya kuwaweka ndani mpaka uchaguzi mkuu upite ingawa kelele zitakuwa nyingi sana.

Kwa sasa, watakuwa wanawawinda kwenye matamshi au vinginevyo mradi tu wawafungulie kesi na wanyimwe dhamana.

Ingekuwa inawezekana kuongoza mapambano ya kidemokrasia ya kudai mageuzi wakiwa nje ya nchi, ingekuwa bora zaidi, ila hilo haliwezekani na propaganda zingekuwa nyingi sana.

CHADEMA lazima nao wawe na mpango wa namna gani wanaweza kukabiliana na hujuma za aina hii iwapo zitatokea(wawaandae wafuasi wao kisaikoljia na pia waandae mbinu za kupambana na hali hiyo).
CCM wakifanya hivyo ndiyo watakuwa wamejitia dole kabisaa
 
Haipo hiyo...

Haiwezi kutokea kitu kama hicho...

Unababaishwa na kutishwa na neno "shuruti..." tu?

Au hujui kuwa Kuna shuruti ya njia za kidemokrasia na kisheria kabisa...?

Migomo isiyoisha, maandamano yasiyokoma, kupiga kelele nje na ndani ya nchi nk; zote hizo ni njia za kushuritisha jambo au haki fulani itoke...

Kama wanakataa njia za kiungwana na kistaarabu, ni vyema zikatumika njia zozote halali lakini zinazowakera na kuwanyima usingizi...

Acha woga. Ondoa hofu. Usiogope maana Mungu Yehova yu pamoja nasi. Anatuambia MSIOGOPE, NIMESHAWATIA MIKONONI MWENU..
 
Kutokana na misimamo yao na kwa kauli ya Lissu ya leo ya kusema watatumia "shuruti" kuleta mageuzi, sitashangaa watawala wakaja na plani hiyo ya kuwaweka ndani mpaka uchaguzi mkuu upite ingawa kelele zitakuwa nyingi sana.

Kwa sasa, watakuwa wanawawinda kwenye matamshi au vinginevyo mradi tu wawafungulie kesi na wanyimwe dhamana.

Ingekuwa inawezekana kuongoza mapambano ya kidemokrasia ya kudai mageuzi wakiwa nje ya nchi, ingekuwa bora zaidi, ila hilo haliwezekani na propaganda zingekuwa nyingi sana.

CHADEMA lazima nao wawe na mpango wa namna gani wanaweza kukabiliana na hujuma za aina hii iwapo zitatokea(wawaandae wafuasi wao kisaikoljia na pia waandae mbinu za kupambana na hali hiyo).
Very soon hilo changudoa la kisiasa litakimbilia ubeleji…. Ndipo mathura,kulia na kusaga meno.
 
Huyu Lissu atawatesa sana mwaka huu kwa maneno haya yasiyo kuwa na legal definition na huko mahakamani atawabwaga tu na watamuongezea umaarufu na wanachama. Wamuache tu apuyange na maneno yake na hatakuwa na Impact, lakini wakitaka impact - wampe kashi kashi ndio dunia itaanza kuwamulika hadi uvunguni.
 
Hawawezi kuchukua risk kubwa hivyo. Kwani unadhani kwenye uchaguzi wangeshindwa kuingilia kuhakikisha hawashindi?

Walishapiga hesabu zao wakaona ni heri waepushe shari, maana hao wawili wote ni vyuma vya moto visivyopoa na wanakubalika.
 
Kutokana na misimamo yao na kwa kauli ya Lissu ya leo ya kusema watatumia "shuruti" kuleta mageuzi, sitashangaa watawala wakaja na plani hiyo ya kuwaweka ndani mpaka uchaguzi mkuu upite ingawa kelele zitakuwa nyingi sana.

Kwa sasa, watakuwa wanawawinda kwenye matamshi au vinginevyo mradi tu wawafungulie kesi na wanyimwe dhamana.

Ingekuwa inawezekana kuongoza mapambano ya kidemokrasia ya kudai mageuzi wakiwa nje ya nchi, ingekuwa bora zaidi, ila hilo haliwezekani na propaganda zingekuwa nyingi sana.

CHADEMA lazima nao wawe na mpango wa namna gani wanaweza kukabiliana na hujuma za aina hii iwapo zitatokea(wawaandae wafuasi wao kisaikoljia na pia waandae mbinu za kupambana na hali hiyo).

CHADEMA wasi-rush kwenye hii struggle bila kujipanga kitaifa na kimataifa juu ya namna ya kukabiliana na hujuma za aina hiyo.
Kwa sababu Trump amekataa kutoa misaada awambie na European union nao, na China na Russia na Arab countries, hapo tutanyooka wenyewe. Tutachinjana na mwisho tutapatana.
 
Hawawezi kuchukua risk kubwa hivyo. Kwani unadhani kwenye uchaguzi wangeshindwa kuingilia kuhakikisha hawashindi?

Walishapiga hesabu zao wakaona ni heri waepushe shari, maana hao wawili wote ni vyuma vya moto visivyopoa na wanakubalika.
 

Attachments

  • IMG_1363.jpeg
    IMG_1363.jpeg
    99 KB · Views: 1
Back
Top Bottom