Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Naiona Tanzania kama Congo miaka michache ijayo kuna makundi ya kigaidi yataibuka na vita vitakuwa vikaliKutokana na misimamo yao na kwa kauli ya Lissu ya leo ya kusema watatumia "shuruti" kuleta mageuzi, sitashangaa watawala wakaja na plani hiyo ya kuwaweka ndani mpaka uchaguzi mkuu upite ingawa kelele zitakuwa nyingi sana.
Kwa sasa, watakuwa wanawawinda kwenye matamshi au vinginevyo mradi tu wawafungulie kesi na wanyimwe dhamana.
Ingekuwa inawezekana kuongoza mapambano ya kidemokrasia ya kudai mageuzi wakiwa nje ya nchi, ingekuwa bora zaidi, ila hilo haliwezekani na propaganda zingekuwa nyingi sana.
CHADEMA lazima nao wawe na mpango wa namna gani wanaweza kukabiliana na hujuma za aina hii iwapo zitatokea(wawaandae wafuasi wao kisaikoljia na pia waandae mbinu za kupambana na hali hiyo).
CHADEMA wasi-rush kwenye hii struggle bila kujipanga kitaifa na kimataifa juu ya namna ya kukabiliana na hujuma za aina hiyo.
Sio rahisi hvoKutokana na misimamo yao na kwa kauli ya Lissu ya leo ya kusema watatumia "shuruti" kuleta mageuzi, sitashangaa watawala wakaja na plani hiyo ya kuwaweka ndani mpaka uchaguzi mkuu upite ingawa kelele zitakuwa nyingi sana.
Kwa sasa, watakuwa wanawawinda kwenye matamshi au vinginevyo mradi tu wawafungulie kesi na wanyimwe dhamana.
Ingekuwa inawezekana kuongoza mapambano ya kidemokrasia ya kudai mageuzi wakiwa nje ya nchi, ingekuwa bora zaidi, ila hilo haliwezekani na propaganda zingekuwa nyingi sana.
CHADEMA lazima nao wawe na mpango wa namna gani wanaweza kukabiliana na hujuma za aina hii iwapo zitatokea(wawaandae wafuasi wao kisaikoljia na pia waandae mbinu za kupambana na hali hiyo).
CHADEMA wasi-rush kwenye hii struggle bila kujipanga kitaifa na kimataifa juu ya namna ya kukabiliana na hujuma za aina hiyo.
Hakuna kitu kama usilete uzushi wako!Kutokana na misimamo yao na kwa kauli ya Lissu ya leo ya kusema watatumia "shuruti" kuleta mageuzi, sitashangaa watawala wakaja na plani hiyo ya kuwaweka ndani mpaka uchaguzi mkuu upite ingawa kelele zitakuwa nyingi sana.
Kwa sasa, watakuwa wanawawinda kwenye matamshi au vinginevyo mradi tu wawafungulie kesi na wanyimwe dhamana.
Ingekuwa inawezekana kuongoza mapambano ya kidemokrasia ya kudai mageuzi wakiwa nje ya nchi, ingekuwa bora zaidi, ila hilo haliwezekani na propaganda zingekuwa nyingi sana.
CHADEMA lazima nao wawe na mpango wa namna gani wanaweza kukabiliana na hujuma za aina hii iwapo zitatokea(wawaandae wafuasi wao kisaikoljia na pia waandae mbinu za kupambana na hali hiyo).
CHADEMA wasi-rush kwenye hii struggle bila kujipanga kitaifa na kimataifa juu ya namna ya kukabiliana na hujuma za aina hiyo.
sio kirahisi rahisi hivyo kwa mtu ambaye ni mashuhuri na ana support kuliko Raisi wa nchi. Watatuletea vurugu tu. Hivi kwanini tume huru inakuwa kitu cha kufunguna na kuuwana kama kweli wanasiasa wanafanya kazi kwa manufaa ya watuKutokana na misimamo yao na kwa kauli ya Lissu ya leo ya kusema watatumia "shuruti" kuleta mageuzi, sitashangaa watawala wakaja na plani hiyo ya kuwaweka ndani mpaka uchaguzi mkuu upite ingawa kelele zitakuwa nyingi sana.
Kwa sasa, watakuwa wanawawinda kwenye matamshi au vinginevyo mradi tu wawafungulie kesi na wanyimwe dhamana.
Ingekuwa inawezekana kuongoza mapambano ya kidemokrasia ya kudai mageuzi wakiwa nje ya nchi, ingekuwa bora zaidi, ila hilo haliwezekani na propaganda zingekuwa nyingi sana.
CHADEMA lazima nao wawe na mpango wa namna gani wanaweza kukabiliana na hujuma za aina hii iwapo zitatokea(wawaandae wafuasi wao kisaikoljia na pia waandae mbinu za kupambana na hali hiyo).
CHADEMA wasi-rush kwenye hii struggle bila kujipanga kitaifa na kimataifa juu ya namna ya kukabiliana na hujuma za aina hiyo.
Siyo rahisi mkuu.Naiona Tanzania kama Congo miaka michache ijayo kuna makundi ya kigaidi yataibuka na vita vitakuwa vikali
Lissu ndo mwamba wa kesi zote na mwanasheria mkuu wa Tanzania napo sema lissu ni mwanasheria mkuu wa Tanzania nadhani unanielewa.Kutokana na misimamo yao na kwa kauli ya Lissu ya leo ya kusema watatumia "shuruti" kuleta mageuzi, sitashangaa watawala wakaja na plani hiyo ya kuwaweka ndani mpaka uchaguzi mkuu upite ingawa kelele zitakuwa nyingi sana.
Kwa sasa, watakuwa wanawawinda kwenye matamshi au vinginevyo mradi tu wawafungulie kesi na wanyimwe dhamana.
Ingekuwa inawezekana kuongoza mapambano ya kidemokrasia ya kudai mageuzi wakiwa nje ya nchi, ingekuwa bora zaidi, ila hilo haliwezekani na propaganda zingekuwa nyingi sana.
CHADEMA lazima nao wawe na mpango wa namna gani wanaweza kukabiliana na hujuma za aina hii iwapo zitatokea(wawaandae wafuasi wao kisaikoljia na pia waandae mbinu za kupambana na hali hiyo).
CHADEMA wasi-rush kwenye hii struggle bila kujipanga kitaifa na kimataifa juu ya namna ya kukabiliana na hujuma za aina hiyo.
alisema confrontation....mshikemshikeKutokana na misimamo yao na kwa kauli ya Lissu ya leo ya kusema watatumia "shuruti" kuleta mageuzi, sitashangaa watawala wakaja na plani hiyo ya kuwaweka ndani mpaka uchaguzi mkuu upite ingawa kelele zitakuwa nyingi sana.
Kwa sasa, watakuwa wanawawinda kwenye matamshi au vinginevyo mradi tu wawafungulie kesi na wanyimwe dhamana.
Ingekuwa inawezekana kuongoza mapambano ya kidemokrasia ya kudai mageuzi wakiwa nje ya nchi, ingekuwa bora zaidi, ila hilo haliwezekani na propaganda zingekuwa nyingi sana.
CHADEMA lazima nao wawe na mpango wa namna gani wanaweza kukabiliana na hujuma za aina hii iwapo zitatokea(wawaandae wafuasi wao kisaikoljia na pia waandae mbinu za kupambana na hali hiyo).
CHADEMA wasi-rush kwenye hii struggle bila kujipanga kitaifa na kimataifa juu ya namna ya kukabiliana na hujuma za aina hiyo.
usiandike utotot. Kibao yuko wapi? Soka yuko wapi? usiandike ushabki wa kitotoLissu ndo mwamba wa kesi zote na mwanasheria mkuu wa Tanzania napo sema lissu ni mwanasheria mkuu wa Tanzania nadhani unanielewa.
I am mean mzee wa kushinda kesi mzee wa kuzipangua kesi, Kwa magufuli walimshindwa mpaka wakaona wampige risasi lakini napo Bado wakamshindwa,
Ndo ije kuwa Kwa huyu bibi kizimkazi, bi kizimkazi mlaini Kwa lissu kama unakunywa maji, hawezani Kwa lissu watagonga mwamba afu wataumia wenyewe.
Hii nchi mataahira mko wengiNi swala la muda tu utajua mimi na wewe nani kichaa.
Muongezee na Slaa…. Hii nchi ina wapumbavu wengi sanausiandike utotot. Kibao yuko wapi? Soka yuko wapi? usiandike ushabki wa kitoto