Lissu na Mbowe waking'atuka, CHADEMA itaimarika sana na kuwa chama cha upinzani chenye ushawishi na nguvu sana Tanzania

Sijabagua ,ila unawivu sana unalalamika kuhusu mbowe badala ya katiba ya chama KATIBAyao inaruhusu
 
Sijabagua ,ila unawivu sana unalalamika kuhusu mbowe badala ya katiba ya chama KATIBAyao inaruhusu
si uanzishe uzi mahususi sasa kwa unaloona muhimu zaidi kwa upande wako gentleman πŸ’

mie sina haja na Mbowe wala Lisu kibinafsi kwasabb ni ndugu zangu kabisaa na ni waTanzania wenzangu...

hoja, maoni na mtazamo wangu ni juu ya mustakabali wenye shaka, ustawi, uhai umoja na demokrasia tata ndani ya Chadema kama Taasisi kwa siku zijazo, ikiwa hawa waungwana wanaona kipasua na kukigawa chama wanaendelea kuhudumu kwenye nafasi walio nazo hivi sasa πŸ’

ni muhimu ukajikita zaidi huko πŸ’
 
Hakuna tatizo maana ni haki yako ila kwa sie wapenda mabadiliko bado tunaona ukakasi sana na ushauri wako, ila kama ni kwa nia nzuri Mungu awe juu yako , japo ni imani yangu ushauri wako kwa chadema hautoki ndani ya moyo wako mkuu
 
binafsi sina tatizo na washupaza shingo wakipuuza ukweli ukweli huu wa kisiasa,

nimeubainisha ukweli huu kwa nia njema kama mtaalamu mbobevu wa masuala na ya kisiasa na diplomasia na sidaiwi na mtu chochote πŸ’

upende, usipende ni uamuzi wako πŸ’
 
Kwakua hukujua kwamba SHIDA sio mbowe bali KATIBAyao ...tafuta KATIBAyao isome ujehapa na hoja nje nahapo itakuwa WIVU tu
 
Ngoja kwanza tuwang'oe wakoloni CCM.....
 
Hakuna tatizo maana ni haki yako ila kwa sie wapenda mabadiliko bado tunaona ukakasi sana na ushauri wako, ila kama ni kwa nia nzuri Mungu awe juu yako , japo ni imani yangu ushauri wako kwa chadema hautoki ndani ya moyo wako mkuu
kwahiyo ushauri wangu kwa chadema unatoka nje ya moyo wangu, right?🀣

for your information,
hayo niliyoyaeleza ni bayana yanafahamika na kujulikana vizuri sana ndani na nje ya Chadema, but nani wa kuyaframe kitaalamu na kuyaelezea?πŸ’

utabaini ni mimi pekee, ndie mwenye utashi, uadilifu na uwezo wa kufanya hivyo, kwasabb ni jasiri madhubuti nisie muoga kukabiliana na vuguvugu zito la kisiasa dhidi yangu kutoka kwa wazandiki wasio penda kuambia na kuelezwa ukweli πŸ’
 
Kwakua hukujua kwamba SHIDA sio mbowe bali KATIBAyao ...tafuta KATIBAyao isome ujehapa na hoja nje nahapo itakuwa WIVU tu
sina wivu na Mbowe wala Lisu, katiba ya Chadema ni nzuri sana haina tatizo kabisaa...

kinacho imomonyoa, imega, ipasua na kuigawa chadema sio katiba ni vita miongni mwa hao mafahali wawili,

nje ya hao waungwana chadema is very vibrant and powerful opposition political party in the country πŸ’
 

Kabisa mkuu, itapendeza zaidi wakiondoka hao aje Msigwa awe Mwenyekiti.
 
Ujinga ni mzigo, kadiri mnavyoizungumzia CHADEMA, na ma giant hao, mnaipa zaidi political mileage.

Vipi mbona hamzungumzii wengine??

Hashimu Rungwe Sipunda?? MZEE wa Ubwabwa!??
Vipi Ado Shaibu wa ACT wazalendo??

Mnajua hawana impact, manawatqjabakina mbowe na CHADEMA kwakuwa wanawanyima usingizi.

Wewe Mboga mboga kutoa ushauri kwa CHADEMA ni sawa na SHETANI IBILISI KUMPA USHAURI YESU πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ˜…πŸ˜…
 
Mkuu nilikua nashauri ili ccm iweze kuwa kwenye viwango napendekeza
1. Katika mchakato wa kumpata Mgombea urais watu warusiwe kuchukua form sio biashara ya kuchapa form moja
2. Mwenyekiti wa sasa asigombee bali wachuane wengine .unaonaje wazo hili kama mwanaccm
 
wabobezi gani wengine wanao izungumzia chadema kitaalamu zaidi yangu gentleman na kuipa millage?πŸ’

kibobevu siwezi kukurupuka kuzungumzia chama cha siasa chochote bila kujiridhisha na ninachokusudia kukielezea kwa familia hii kubwa na muhimu ninayoiheshimu sana ya JF, bila kujali mihemko ya wachache πŸ’

by the way,
kuna haraka gani kutaka kuzungumzia vyama vyote kwa pamoja? na labda hufuatilii mambo haya vizuri na kwa ukaribu maana binafsi nimezungumzia vyama kadha wa kadha...

na kama hufahamu tu ni kwamba,
uko mpango na nia ya zaid ya vyama vya siasa zaidi ya 19 nchini, vinavyokisudia kutokusimamisha wagombeaji urais na badala yake vitamuunga mkono kipenzi cha waTanzania Dr Samia suluhu Hassan mgombea urais wa chama tawala,

sasa katika vyama 22, vyenye usajili wa kudumu, vyama vya kuzungumzia vinabaki vingap hapo ukiondoa hivyo 19?πŸ’

impact inabaki ndani chadema kwenyewe, lakini pia sio lazima ushauri, maoni na mtazamo wangu ukafuatwa au kuzingatiwa na chadema, wanaweza kushupaza shingo na kuumeza ukweli huo uchungu kwa kuugulia maumivu ndani kwa ndani,

Mtaalamu nasonga mbele bila mbambamba yoyote, au kuna tatizo gentleman?πŸ’
 
andikia uzi mahususi sasa ili tuone namna tunavyoweza kuboresha mapendekezo yako na huenda kushauri mbadala wa maoni na mtazamo wako vizuri zaidi πŸ’
 
andikia uzi mahususi sasa ili tuone namna tunavyoweza kuboresha mapendekezo yako na huenda kushauri mbadala wa maoni na mtazamo wako vizuri zaidi πŸ’
Mbona nimeeleza mkuu wapi kuna shida mpaka kuandika uzi mahususi
 
Mbona nimeeleza mkuu wapi kuna shida mpaka kuandika uzi mahususi
ni jambo muhimu, kubwa na la kipekee sana na lenye manufaa na maslahi makubwa kwa umma,

sio vyema na haki jambo hilo likaishia kati yangu na yako tu, na kisha tukaupa kisogo mjadala mahususi mezani inayoendelea πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…