Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe mwanamke au mwanaume,mana kitendo Cha tamshi lako WIVU huo umevuka mpakamoyo wangu daima uko tayari kusema ukweli tena ukweli mtu, kwamba hao mafahali wawili ni kichefuchefu ndani ya chama husika 🐒
Chadema with Mbowe will never go anywhere kwani jamaa ni mla ruzuku tu kwa manufaa yake mwenyewe na serikali inajuwa hivyo ila wako kimya kwa sababu anawafaidisha kwenye upigaji kuraCHADEMA iko dhaifu kama ilivyo, na inaendelea kudhoofika, kumong'onyoka na kugawanyika vipande vipande kwa haraka sana, kwa sababu ya manguli hawa wawili waandamizi, kila moja anajigamba kwamba ndie mwenye nguvu zaidi ya mwingine, ama ndie mwenye sauti.
Haki ya nafasi au cheo fulani, ushawishi na wafuasi wengi zaidi ya mwingine hali inayosananisha mvutano wa ndani kwa ndani.
Mambo haya hayasemwi lakini yapo ndani ya CHADEMA, yanafukuta na yanafanyika kimya kimya na kila upande ukiogopa na kuoinea haya, aibu na wivu upande mwingine. Na miongoni mwa wanaopata tabu zaidi Kisiasa mioyoni mwao, ni wale amabao wamejizuia, wamejitenga au hawajaamua wawe upande gani kati ya upande wa Mwemyekiti au Makamu Mwenyekiti taifa.
Soma Pia:
CHADEMA ndani Kwa ndani kunafukuta
Ndani ya chadema ni mvurugano tu, wapo walio bora na wasio bora, ndiyo shida kuu!
Hawa, wamekua wapweke, wamaekua kama yatima ndani ya chama chao wenyewe, walichokijenga kwa moyo, hali na mali, na kukipigania kufa na kupona kwa muda mrefu sana. Wengi wao hivi sasa, wameshaanza kuhamia vyama vingine vya Kisiasa, na wengine wengi kwa maelfu yao wanatafakari na kujipanga kufanya hivyo hivyo, endapo mafahali hawa hawatabanduka kwenye nafasi zao au kumaliza mivutano yao ya chini kwa chini na kubadilika.
Kisiasa,hata kama aking'atuka moja wao pekee, na mwingine akabaki uongozoni, bado hali ya cold war yani vita baridi ndani ya CHADEMA na hasa miongoni mwa pande za mafahali hawa wawili kuhujumiana itaendelea CHADEMA, na kwahivyo, chama kitaendelea kuteketea na kua dhaifu zaidi kadiri siku, miezi na miaka inavyosonga.
CHADEMA inahitaji damu mpya, fikra pevu mpya, uelekeo, mawazo, mipango, maono na pumzi mpya kuimarika tena na kua na nguvu. Vinginevyo hali hii ya kutokuaminiana au kutokua na uhakika hata ya nani atakua Mgombea Uraisi wake Uchaguzi ujao, itaendelea kukigharimu, kukipasua zaidi chama hicho na kuwatia hofu Wanachama wake.
Haya ni maoni na mtazamo wangu kitaalamu juu ya Siasa za CHADEMA kwa uchache sana.
unafikiria nini kuhusu mustakabali wa baadae wa Siasa za chama hicho?
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Tatizo la Chadema ni Mbowe, jamaa anawasaliti wenziwe kwa kuwafanya mataahira huku akila ruzuku za chamaCHADEMA iko dhaifu kama ilivyo, na inaendelea kudhoofika, kumong'onyoka na kugawanyika vipande vipande kwa haraka sana, kwa sababu ya manguli hawa wawili waandamizi, kila moja anajigamba kwamba ndie mwenye nguvu zaidi ya mwingine, ama ndie mwenye sauti.
Haki ya nafasi au cheo fulani, ushawishi na wafuasi wengi zaidi ya mwingine hali inayosananisha mvutano wa ndani kwa ndani.
Mambo haya hayasemwi lakini yapo ndani ya CHADEMA, yanafukuta na yanafanyika kimya kimya na kila upande ukiogopa na kuoinea haya, aibu na wivu upande mwingine. Na miongoni mwa wanaopata tabu zaidi Kisiasa mioyoni mwao, ni wale amabao wamejizuia, wamejitenga au hawajaamua wawe upande gani kati ya upande wa Mwemyekiti au Makamu Mwenyekiti taifa.
Soma Pia:
CHADEMA ndani Kwa ndani kunafukuta
Ndani ya chadema ni mvurugano tu, wapo walio bora na wasio bora, ndiyo shida kuu!
Hawa, wamekua wapweke, wamaekua kama yatima ndani ya chama chao wenyewe, walichokijenga kwa moyo, hali na mali, na kukipigania kufa na kupona kwa muda mrefu sana. Wengi wao hivi sasa, wameshaanza kuhamia vyama vingine vya Kisiasa, na wengine wengi kwa maelfu yao wanatafakari na kujipanga kufanya hivyo hivyo, endapo mafahali hawa hawatabanduka kwenye nafasi zao au kumaliza mivutano yao ya chini kwa chini na kubadilika.
Kisiasa,hata kama aking'atuka moja wao pekee, na mwingine akabaki uongozoni, bado hali ya cold war yani vita baridi ndani ya CHADEMA na hasa miongoni mwa pande za mafahali hawa wawili kuhujumiana itaendelea CHADEMA, na kwahivyo, chama kitaendelea kuteketea na kua dhaifu zaidi kadiri siku, miezi na miaka inavyosonga.
CHADEMA inahitaji damu mpya, fikra pevu mpya, uelekeo, mawazo, mipango, maono na pumzi mpya kuimarika tena na kua na nguvu. Vinginevyo hali hii ya kutokuaminiana au kutokua na uhakika hata ya nani atakua Mgombea Uraisi wake Uchaguzi ujao, itaendelea kukigharimu, kukipasua zaidi chama hicho na kuwatia hofu Wanachama wake.
Haya ni maoni na mtazamo wangu kitaalamu juu ya Siasa za CHADEMA kwa uchache sana.
unafikiria nini kuhusu mustakabali wa baadae wa Siasa za chama hicho?
MUNGU IBARIKI TANZANIA
mbona ni rahisi tu gentleman?wewe mwanamke au mwanaume,mana kitendo Cha tamshi lako WIVU huo umevuka mpaka
yawezekana ni kweli gentleman,Tatizo la Chadema ni Mbowe, jamaa anawasaliti wenziwe kwa kuwafanya mataahira huku akila ruzuku za chama
umejieleza vizuri mno gentleman lakini ni kwa upande moja,Mbowe anaua kile chama kabisa
Lissu hali Rushwa inajulikana sasa watu walionunuliwa hawawezi kukaa na Lisu wanamuona sio mwenzao.
Mbowe pia anahisi chama ni mali yake binafsi na amekua akiondoa kila mwanasiasa mzuri anzia wakina said Arfi mpaka wakina zitto wengine akina chacha wangwe wote hao waliumizwa na mbowe.Shida ni mbowe na atazama na hicho chama saccos chake
Fikiria lissu..heche na msigwa wanapoamua kuondoka mbowe atapewa kura na nani hizo anazosema awe Rais.? Yaani jamaa kumbe hamna kitu kabisa .
mla mlungula wa mabwenyenye ya magharibi, je tunaweza muitaje au kwasabb ni dollar hiyo hainashida 🐒Chadema with Mbowe will never go anywhere kwani jamaa ni mla ruzuku tu kwa manufaa yake mwenyewe na serikali inajuwa hivyo ila wako kimya kwa sababu anawafaidisha kwenye upigaji kura
Ruzuku inayotolewa kwa Chadema ni hela ya umma serikali ya ccm ndio yenye dhamana ya kusimamia hela hizo . Unamaanisha serikali imemuogopa huyo Mbowe mpaka anatumia hela za chama kwa matumizi binafsi na CAG ambaye ni mteule wa mwenyekiti wa ccm ameshindwa kutoa pendekezo serikalini ya kumchukulia hatua kwa sababu ya ubadhirifu huo!Tatizo la Chadema ni Mbowe, jamaa anawasaliti wenziwe kwa kuwafanya mataahira huku akila ruzuku za chama
Nchi ngum sana hii , leo ndo umekua mshauri wa Chadema , kikifa si ndo nafuu ya ccm hapa shida ipo wapi?CHADEMA iko dhaifu kama ilivyo, na inaendelea kudhoofika, kumong'onyoka na kugawanyika vipande vipande kwa haraka sana, kwa sababu ya manguli hawa wawili waandamizi, kila moja anajigamba kwamba ndie mwenye nguvu zaidi ya mwingine, ama ndie mwenye sauti.
Haki ya nafasi au cheo fulani, ushawishi na wafuasi wengi zaidi ya mwingine hali inayosananisha mvutano wa ndani kwa ndani.
Mambo haya hayasemwi lakini yapo ndani ya CHADEMA, yanafukuta na yanafanyika kimya kimya na kila upande ukiogopa na kuoinea haya, aibu na wivu upande mwingine. Na miongoni mwa wanaopata tabu zaidi Kisiasa mioyoni mwao, ni wale amabao wamejizuia, wamejitenga au hawajaamua wawe upande gani kati ya upande wa Mwemyekiti au Makamu Mwenyekiti taifa.
Soma Pia:
CHADEMA ndani Kwa ndani kunafukuta
Ndani ya chadema ni mvurugano tu, wapo walio bora na wasio bora, ndiyo shida kuu!
Hawa, wamekua wapweke, wamaekua kama yatima ndani ya chama chao wenyewe, walichokijenga kwa moyo, hali na mali, na kukipigania kufa na kupona kwa muda mrefu sana. Wengi wao hivi sasa, wameshaanza kuhamia vyama vingine vya Kisiasa, na wengine wengi kwa maelfu yao wanatafakari na kujipanga kufanya hivyo hivyo, endapo mafahali hawa hawatabanduka kwenye nafasi zao au kumaliza mivutano yao ya chini kwa chini na kubadilika.
Kisiasa,hata kama aking'atuka moja wao pekee, na mwingine akabaki uongozoni, bado hali ya cold war yani vita baridi ndani ya CHADEMA na hasa miongoni mwa pande za mafahali hawa wawili kuhujumiana itaendelea CHADEMA, na kwahivyo, chama kitaendelea kuteketea na kua dhaifu zaidi kadiri siku, miezi na miaka inavyosonga.
CHADEMA inahitaji damu mpya, fikra pevu mpya, uelekeo, mawazo, mipango, maono na pumzi mpya kuimarika tena na kua na nguvu. Vinginevyo hali hii ya kutokuaminiana au kutokua na uhakika hata ya nani atakua Mgombea Uraisi wake Uchaguzi ujao, itaendelea kukigharimu, kukipasua zaidi chama hicho na kuwatia hofu Wanachama wake.
Haya ni maoni na mtazamo wangu kitaalamu juu ya Siasa za CHADEMA kwa uchache sana.
unafikiria nini kuhusu mustakabali wa baadae wa Siasa za chama hicho?
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Hata kidogo! CDM msifanye makosa hayo kamwe.CHADEMA iko dhaifu kama ilivyo, na inaendelea kudhoofika, kumong'onyoka na kugawanyika vipande vipande kwa haraka sana, kwa sababu ya manguli hawa wawili waandamizi, kila moja anajigamba kwamba ndie mwenye nguvu zaidi ya mwingine, ama ndie mwenye sauti.
Haki ya nafasi au cheo fulani, ushawishi na wafuasi wengi zaidi ya mwingine hali inayosananisha mvutano wa ndani kwa ndani.
Mambo haya hayasemwi lakini yapo ndani ya CHADEMA, yanafukuta na yanafanyika kimya kimya na kila upande ukiogopa na kuoinea haya, aibu na wivu upande mwingine. Na miongoni mwa wanaopata tabu zaidi Kisiasa mioyoni mwao, ni wale amabao wamejizuia, wamejitenga au hawajaamua wawe upande gani kati ya upande wa Mwemyekiti au Makamu Mwenyekiti taifa.
Soma Pia:
CHADEMA ndani Kwa ndani kunafukuta
Ndani ya chadema ni mvurugano tu, wapo walio bora na wasio bora, ndiyo shida kuu!
Hawa, wamekua wapweke, wamaekua kama yatima ndani ya chama chao wenyewe, walichokijenga kwa moyo, hali na mali, na kukipigania kufa na kupona kwa muda mrefu sana. Wengi wao hivi sasa, wameshaanza kuhamia vyama vingine vya Kisiasa, na wengine wengi kwa maelfu yao wanatafakari na kujipanga kufanya hivyo hivyo, endapo mafahali hawa hawatabanduka kwenye nafasi zao au kumaliza mivutano yao ya chini kwa chini na kubadilika.
Kisiasa,hata kama aking'atuka moja wao pekee, na mwingine akabaki uongozoni, bado hali ya cold war yani vita baridi ndani ya CHADEMA na hasa miongoni mwa pande za mafahali hawa wawili kuhujumiana itaendelea CHADEMA, na kwahivyo, chama kitaendelea kuteketea na kua dhaifu zaidi kadiri siku, miezi na miaka inavyosonga.
CHADEMA inahitaji damu mpya, fikra pevu mpya, uelekeo, mawazo, mipango, maono na pumzi mpya kuimarika tena na kua na nguvu. Vinginevyo hali hii ya kutokuaminiana au kutokua na uhakika hata ya nani atakua Mgombea Uraisi wake Uchaguzi ujao, itaendelea kukigharimu, kukipasua zaidi chama hicho na kuwatia hofu Wanachama wake.
Haya ni maoni na mtazamo wangu kitaalamu juu ya Siasa za CHADEMA kwa uchache sana.
unafikiria nini kuhusu mustakabali wa baadae wa Siasa za chama hicho?
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Huwezi kuuficha ujinga wako Dada?umeanza mazoezi ya kuyaporomosha 🤣
kwenye mambo mazito ya kisiasa kama haya, msiwe mnavamia kichwa kichwa mtapasuka mioyo 🐒