Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]Zipo taarifa zisizo rasmi Mbowe na Lisu nao wanatafutwa kukamatwa kwa kosa la kukosoa uingiwaji wa Mkataba ule wa Bandari.
Je, taarifa hizo zina ukweli wowote?
Wawakamate tu coz ni maigizo !hao watumishi wa msoga gang wa nini!!?!!?Zipo taarifa zisizo rasmi Mbowe na Lisu nao wanatafutwa kukamatwa kwa kosa la kukosoa uingiwaji wa Mkataba ule wa Bandari.
Je, taarifa hizo zina ukweli wowote?
watamuweza? labda wakariri PGO yote, vinginevyo itakuwa ni burudani tu mahakamani kwa hisani ya martini Maranja masese- Isidingo the need part 4. Wamkamate tu - mahakama imepooza sana siku hizi.Nilisema jana humu Tundu Lisu anatafutwa mkapuuza!
Kukariri pasipo kuelewa/kutafasiri kile ulicho kariri itakuwa ni zaidi ya vihojawatamuweza? labda wakariri PGO yote, vinginevyo itakuwa ni burudani tu mahakamani kwa hisani ya martini Maranja masese- Isidingo the need part 4. Wamkamate tu - mahakama imepooza sana siku hizi.
Hivi nyie mbona mnatapatapa sana na vijihabari vya kutunga tunga?Zipo taarifa zisizo rasmi Mbowe na Lisu nao wanatafutwa kukamatwa kwa kosa la kukosoa uingiwaji wa Mkataba ule wa Bandari.
Je, taarifa hizo zina ukweli wowote?
Kakojoe ulaleHivi nyie mbona mnatapatapa sana na vijihabari vya kutunga tunga?
Ngoja ninoe koromeo 🤣🤣🤣🤣Naahidi kulipia gharama za studio kwa mtu atakayeyunga wimbo bora wa kudai Tanganyika na kukataa bandari kugawiwa bure kwa DPw
Pesa itatumwa mkoa wowote wa Tanzania kwa njia yoyote itakayofaa.