Naahidi kulipia gharama za studio kwa mtu atakayeyunga wimbo bora wa kudai Tanganyika na kukataa bandari kugawiwa bure kwa DPw
Pesa itatumwa mkoa wowote wa Tanzania kwa njia yoyote itakayofaa.
[emoji1690][emoji1690]
Usimsahau yule Mwana Tanga aishie nje Mipaka.
Huwa ana mashairi muruaaa sana.