Pre GE2025 Lissu na Mpina anzisheni Chama, mtanishukuru baadae

Pre GE2025 Lissu na Mpina anzisheni Chama, mtanishukuru baadae

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mpekuzi Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2018
Posts
650
Reaction score
1,016
1. Kwasasa hakuna upinzani wa kweli, upinzani wa kweli uchangia ustawi na Maendeleo. Ninyi mnaonekana kuwa wapambanaji huru , mtakuwa na Chama imara kama Umkontho We Sizwe Cha Zuma

2. CHADEMA (mbowe) au act wazalendo (Zitto) vimeshakula nyama ya mtu haviwezi kuacha. Ndio maana hata act wazalendo Zanzibar wameona Zitto hayupo serious wamempokonya jahazi. Kwa CHADEMA jahazi linazama kwenye mikono na mbowe

3. Kikazi Cha Sasa kimeelimika sana, mkiwa real kitawapa tuzo

4. Mwaka 2030 uchaguzi utakuwa muhimu kwenu kama mmeamua kuwa wapinzani wa kweli.

5. Mtanishukuru badae
 
1. Kwasasa hakuna upinzani wa kweli, upinzani wa kweli uchangia ustawi na Maendeleo. Ninyi mnaonekana kuwa wapambanaji huru , mtakuwa na Chama imara kama Umkontho We Sizwe Cha Zuma

2. CHADEMA (mbowe) au act wazalendo (Zitto) vimeshakula nyama ya mtu haviwezi kuacha. Ndio maana hata act wazalendo Zanzibar wameona Zitto hayupo serious wamempokonya jahazi. Kwa CHADEMA jahazi linazama kwenye mikono na mbowe

3. Kikazi Cha Sasa kimeelimika sana, mkiwa real kitawapa tuzo

4. Mwaka 2030 uchaguzi utakuwa muhimu kwenu kama mmeamua kuwa wapinzani wa kweli.

5. Mtanishukuru badae
We upon upande gani
 
Back
Top Bottom