Uchaguzi 2020 Lissu na Urais 2020: Fursa na Changamoto

But kilio na maombi ya wengi ubadili maamuzi ya Mungu.Mungu ujibu maombi ya wengi.
 
Watu huwa wanachotwa akili kirahisi sana; huwa inaibuliwa misemo ambayo ukiitazama vizuri haipo practicable, but utashangaa linaibuka kundi la watu ku support hiyo misemo, hili tatizo limesababishwa na kuzileta tabia za ushabiki wa Simba na Yanga kwenye siasa, wanadhani siasa ni kama mpira!.

Na bahati mbaya wenye hilo jukumu la kufanya hizo reforms hawako tayari, wameendelea kuegemea mawazo yao yaliyokwisha feli siku nyingi ambayo hayajatusogeza popote, hivyo wanaendelea kutuzubaisha na misemo yao, na mbaya zaidi sisi tunajikuta tunaanza kuizoea.
 
Mungu sijawahi kuaamini utendaji wake hata siku 1 maana haeleweki

kwa hiyo wataka kusema yeye ndiye aliye muweka jiwe madarakani
Ni chaguo la Mkapa na lubuva na si la Mungu. Wa Mungu utenda na kutii amri za Mungu,yaani usiuwe, usiseme uongo,mpende jirani yako,
 
Vipi baba yako na mama yako kijijini nao walipewa vipande vingapi?
Bibi yangu kafariki juzi kaniachia kadi ya CHADEMA na ni msukuma wa malampaka kabla ya kufa kasema mjuu wangu hiki ndiyo chama ata ukifa njaa unapigania haki ni sawa.
 
Namkubali sana lissu lakini bila kupepesa lisu sio presidential
Mara kumi wapinzani kama wamekosa mtu wamweke zito
 
Kongole Ndugu kwa kumpa za USO,tunafahamu kitendo cha kukosekana kwa maendeleo katika Jimbo LA Singida Mashariki linafanana na majimbo mengine mengi kama siyo yote Tanzania Bara,yawe CCM ama upinzani hali hazitofautiani sana.Tujiulize tatizo huwa ni wabunge?Bajeti zinazopitishwa Bungeni zinapelekwa kwa usawa nchi nzima?Je,CDM au Lissu ndiyo wanakusanya kodi nchi hii? Tunafahamu kuwa maendeleo ya nchi huletwa kwa kodi na mwenye jukumu hilo LA kukusanya na kugawa fedha za maendeleo ni serikali iliyoundwa na chama kilichoshinda katika uchaguzi halali wa kidemokrasia(CCM ?).
Swali,nani alitakiwa kupeleka maendeleo huko Singida Mashariki?Kama hayakupelekwa nani walipaswa kuwajibika kwa kuwakosesha wana Singida Mashariki haki yao ya huduma tangia Uhuru wa nchi hii?
Nionavyo mimi hiyo hoja haiwezi kuwa kikwazo cha Mh Lissu kutostahili kugombea Urais wa JMT.
Tusiwapangie Watanzania Rais wamtakaye,ndiyo maana Katiba imeweka utaratibu wa uchaguzi wake kila baada ya miaka mitano.
 
Mikutano inazuiwa kwa sababu hamtumii akiri kufikiri ila mnatumia matumbo yenu kuwaza uhakifu,
Lazima mzuiwe tu, ahkuna namna.
Hivi umeandika lugha gani hii, nimejitahidi kuelewa lakini nimeshindwa. Inawezekana ulikuwa na maoni mazuri tu, ila lugha uliyotumia kufikisha ujumbe haieleweki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…