Uchaguzi 2020 Lissu na Urais 2020: Fursa na Changamoto

Mleta maada, ni lini Dr. Slaa alikutangazia kuwa kawa mwanachama wa ccm? Tatizo mods hawako strict na suala la umri. Kuna vitoto humu vinajaza servers.
 
Kaka unataarifa na mswada was kuongeza Kinga zaidi kwa viongozi wa mihimili ya nchi??
Ushapata mda ukatafakari nn kipo nyuma yake??

Tuache siasa tuamke kuilinda nchi yet!
Inchi ipo salama usihofu na kwenye mikono salama!
 
CCM ni chama Cha siasa chenye kujenga watu na si kikundi cha upatu chenye kujengwa na watu kwa maslahi binafsi. Wenye sifa, uwezo na uzoefu wa uongozi CCM wapo wengi sana.

Tujiulize, mtu Kama Msingwa ambaye hajawahi kushika nafasi yoyote ya uongozi wa kitaifa, anafaa kushika nafasi ya urais ?
 
Humjui vizuri Zitto wewe, mwaka huu atawaachia sababu mjanja hataki aibu ya kupata chini ya 5% dhidi ya JPM, 2025 lazima mumuunge mkono la sivyo atasimama pekeake.
 
Akili za nyumbu wanazijua wenyewe. Tulizungushiwa mikono mwaka ule mpaka tukaamini Ccm inaondoka. Safari hii sijui mazingaombwe gani yanakuja.

Ila issue ya ushoga na corona zitakuwa mkuki balaaa.

Nchi hii watu wamejaa ubinafsi na kamwe hawajayaishi maneno yao.
 
Ina miaka zaidi ya kumi .Threats inataka ukimbie challenge unatakiwa kukabiliana nayo kilichobadikika Ni kuondoa threat na. Kuweka challenges kwa waliosoma zaman wanafanya SWOT analysis modern management inatumia SWOC analysis
Basi hapa kuna vyuo na vyuo mkuu,, nilikuwa chuo mwaka Jana tu na tulitumia hiyo unayosema imepitwa na wakati! Ajabu iliyoje hii?!!!
 

Kuna mwenzako anapanga vina kama ww, alipiga mahesabu akaona kujidanganya hakulipi maana anajua fika Lissu ni game changer, na kura atapata za kutosha. Yeye akasema hata akipata kura, hakuna kuzitangaza zote. Sasa kama Lowasaa aliitwa fisadi miaka dahari na bado akapata kura zaidi ya milioni 6+, huku akiwa domo zege jukwaani, tena kwa tume tusiyo na uhakika nayo, itakuwa huyo Lissu anayeweza kuongea? Ukiona kuna kundi linachezea katiba ili kuzuia kushitakiwa, basi ujue kazi ipo.
 
Shule hizi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…