Lissu ni yule yule akikosa matamanio yake huwa anawageuka walio karibu yake

Lissu ni yule yule akikosa matamanio yake huwa anawageuka walio karibu yake

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Lissu 2020 baada ya kushindwa uchaguzi na Magufuli aliwatukana na kuwadharau wananchi baada ya kumpuuza alipowaita watoke barabarani akawambia ni wapumbavu sana wasiojielewa akiwa nchini ubelgiji,Lissu aliporudi akaja na operation zake nyingi lakini ukiangalia zilikuwa nje ya chama mwenyekiti kama akazi-crash fulani akaamua kudhira na kusema hovyo kuwa mwenyekiti ni lege lege hata uchaguzi wa chadema umejaa rushwa ya mama abduli ghafla akampigia kampeni msigwa na akasusa helkopta kufanya operation na kiongozi wake akimuacha mbowe nablema wakizunguuka nchi nzima,

Mtu mwenye roho mbaya na visasi baada ya kushindwa na Magufuli kushindwa na Dp world kushindwa na wananchi kushindwa na Samia wote amemaliza kuwatukana na kuwatweza utu wao amegeukia Chama chake na mwenyekiti wake msiri wake anamwaga kila kitu hadharani baada ya hapa mtu huyu ataigekia familia na wafadhili wake lissu si mwenzetu lissu hafai hata kuwa mfagia ofisi ana majungu muongo na mfitinishaji sana!
Mwisho wake umefika akapumzike maana anakuwaje mgomea uraisi nae sio mtanzania au uraia pacha unatambulika!
 
Lissu 2020 baada ya kushindwa uchaguzi na Magufuli aliwatukana na kuwadharau wananchi baada ya kumpuuza alipowaita watoke barabarani akawambia ni wapumbavu sana wasiojielewa akiwa nchini ubelgiji,Lissu aliporudi akaja na operation zake nyingi lakini ukiangalia zilikuwa nje ya chama mwenyekiti kama akazi-crash fulani akaamua kudhira na kusema hovyo kuwa mwenyekiti ni lege lege hata uchaguzi wa chadema umejaa rushwa ya mama abduli ghafla akampigia kampeni msigwa na akasusa helkopta kufanya operation na kiongozi wake akimuacha mbowe nablema wakizunguuka nchi nzima,

Mtu mwenye roho mbaya na visasi baada ya kushindwa na Magufuli kushindwa na Dp world kushindwa na wananchi kushindwa na Samia wote amemaliza kuwatukana na kuwatweza utu wao amegeukia Chama chake na mwenyekiti wake msiri wake anamwaga kila kitu hadharani baada ya hapa mtu huyu ataigekia familia na wafadhili wake lissu si mwenzetu lissu hafai hata kuwa mfagia ofisi ana majungu muongo na mfitinishaji sana!
Mwisho wake umefika akapumzike maana anakuwaje mgomea uraisi nae sio mtanzania au uraia pacha unatambulika!
Rudi shule ukajifunze propaganda tena, hapa umefeli. Tunamuelewa Lisu vizuri sana kuliko ww ama nyie.
 
Kama Unaumia Sababu ametangaza kugombea uwenyekt wa chama bac unasafari ndefu Sana.

Kwa ufupi Tu TAL mwache kama alivyo huwezi mwelewa kama unaakili ndogo
 
Mbowe v Lissu ni vita ya maslahi sio ya chama.

Hadithi ya “wapiganapo mafahari wawili, ziumiazo ni nyasi”.

Mbowe hovyo

Lissu too ambitious
 
Kwanini mnamuogopa huyo jamaa Kama hana madhara sifikirii Kama mgepambana kiasi hiki.

Kosa kubwa la Mbowe ni kucheza na wakati
kwamba Lisu anaogopwa?🤣

huenda kwasababu alitamka mwenyewe kwamba anatumia dawa nyingi mno kwa siku, hicho kinaweza kufanya aogopwe kwasabb unaweza kumgusa kikatokea kingine.

kwenye hilo naweza kukubaliana na wewe na sio vinginevyo.

Mbowe hana makosa na hajafanya kosa lolote la wakati akiwa Chadema.

Infact,
Mbowe ni mfanyabiashara, hawezi kuchezea wakati hata sekunde moja 🐒
 
Kama Unaumia Sababu ametangaza kugombea uwenyekt wa chama bac unasafari ndefu Sana.

Kwa ufupi Tu TAL mwache kama alivyo huwezi mwelewa kama unaakili ndogo
Ndio maana wenye akili kubwa mna mpuuza akiwaita mkaandamane!
 
Lissu 2020 baada ya kushindwa uchaguzi na Magufuli aliwatukana na kuwadharau wananchi baada ya kumpuuza alipowaita watoke barabarani akawambia ni wapumbavu sana wasiojielewa akiwa nchini ubelgiji,Lissu aliporudi akaja na operation zake nyingi lakini ukiangalia zilikuwa nje ya chama mwenyekiti kama akazi-crash fulani akaamua kudhira na kusema hovyo kuwa mwenyekiti ni lege lege hata uchaguzi wa chadema umejaa rushwa ya mama abduli ghafla akampigia kampeni msigwa na akasusa helkopta kufanya operation na kiongozi wake akimuacha mbowe nablema wakizunguuka nchi nzima,

Mtu mwenye roho mbaya na visasi baada ya kushindwa na Magufuli kushindwa na Dp world kushindwa na wananchi kushindwa na Samia wote amemaliza kuwatukana na kuwatweza utu wao amegeukia Chama chake na mwenyekiti wake msiri wake anamwaga kila kitu hadharani baada ya hapa mtu huyu ataigekia familia na wafadhili wake lissu si mwenzetu lissu hafai hata kuwa mfagia ofisi ana majungu muongo na mfitinishaji sana!
Mwisho wake umefika akapumzike maana anakuwaje mgomea uraisi nae sio mtanzania au uraia pacha unatambulika!

Ndio kumpuuza huku kama uvccm mmoja alivosema alfajiri ya leo?
 
Usizungumzie Uchaguzi wa 2020 uliochakachuliwa kwa amri ya yule jamaa aliyelazimisha asalie madarakani.
 
Usizungumzie Uchaguzi wa 2020 uliochakachuliwa kwa amri ya yule jamaa aliyelazimisha asalie madarakani.
Aliyeng'oa kipengele cha ukomo asalie madarakani anataka kung'olewa by force japo katiba ina mruhusu na lissu alishiriki kuipitisha!
 
Labda nikukumbushe kwamba baada ya tume kutangaza matokeo tu, Kikosi kilichokuwa tayari kimeandaliwa kilitumwa kumkamata wakamkuta Yuko kwenye Ubalozi wa German.

Sasa hayo maandamano aliyaitisha lini?
 
Nimekua nikumu admire the late Oscar Kambona, Kisha Dr. Wilbroad Slaa, ila kwa sasa katika Historia ya Tanzania hakuna Mpinzani Machachari, mwenye hoja, mwenye akili, mwenye Misimamo kama Tundu A. Lissu, anasimama Kileleni kama Best opposition Leader we ever had.
Mungu ambariki TAL.
 
Lissu 2020 baada ya kushindwa uchaguzi na Magufuli aliwatukana na kuwadharau wananchi baada ya kumpuuza alipowaita watoke barabarani akawambia ni wapumbavu sana wasiojielewa akiwa nchini ubelgiji,Lissu aliporudi akaja na operation zake nyingi lakini ukiangalia zilikuwa nje ya chama mwenyekiti kama akazi-crash fulani akaamua kudhira na kusema hovyo kuwa mwenyekiti ni lege lege hata uchaguzi wa chadema umejaa rushwa ya mama abduli ghafla akampigia kampeni msigwa na akasusa helkopta kufanya operation na kiongozi wake akimuacha mbowe nablema wakizunguuka nchi nzima,

Mtu mwenye roho mbaya na visasi baada ya kushindwa na Magufuli kushindwa na Dp world kushindwa na wananchi kushindwa na Samia wote amemaliza kuwatukana na kuwatweza utu wao amegeukia Chama chake na mwenyekiti wake msiri wake anamwaga kila kitu hadharani baada ya hapa mtu huyu ataigekia familia na wafadhili wake lissu si mwenzetu lissu hafai hata kuwa mfagia ofisi ana majungu muongo na mfitinishaji sana!
Mwisho wake umefika akapumzike maana anakuwaje mgomea uraisi nae sio mtanzania au uraia pacha unatambulika!
Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali imenyesha kijijini hapo maeneo ya bondeni na kuleta madhara makubwa kwa jamii na uharibifu wa mali na miundombinu ya barabara na umeme. Kutokana na tukio hilo, hadi sasa jeshi la polisi linawashikilia watu 9 wakiwemo raia 2 wa kigeni ambao uraia wa nchi wanazotoka hakuweza kutambulika mara moja kutokana na kutokuwa na hati za kusafiria.
Kwa taarifa zaidi juu ya tukio hili zitakujia hivi punde.
 
Lissu 2020 baada ya kushindwa uchaguzi na Magufuli aliwatukana na kuwadharau wananchi baada ya kumpuuza alipowaita watoke barabarani akawambia ni wapumbavu sana wasiojielewa akiwa nchini ubelgiji,Lissu aliporudi akaja na operation zake nyingi lakini ukiangalia zilikuwa nje ya chama mwenyekiti kama akazi-crash fulani akaamua kudhira na kusema hovyo kuwa mwenyekiti ni lege lege hata uchaguzi wa chadema umejaa rushwa ya mama abduli ghafla akampigia kampeni msigwa na akasusa helkopta kufanya operation na kiongozi wake akimuacha mbowe nablema wakizunguuka nchi nzima,

Mtu mwenye roho mbaya na visasi baada ya kushindwa na Magufuli kushindwa na Dp world kushindwa na wananchi kushindwa na Samia wote amemaliza kuwatukana na kuwatweza utu wao amegeukia Chama chake na mwenyekiti wake msiri wake anamwaga kila kitu hadharani baada ya hapa mtu huyu ataigekia familia na wafadhili wake lissu si mwenzetu lissu hafai hata kuwa mfagia ofisi ana majungu muongo na mfitinishaji sana!
Mwisho wake umefika akapumzike maana anakuwaje mgomea uraisi nae sio mtanzania au uraia pacha unatambulika!
Poleni sana chawa wa mwenyekiti. Naona jamaa anawakosesha usingizi kabisa. Mjifunze kuheshimu wakati. Wakati ni Ukuta..........
 
Back
Top Bottom