Nimekua nikumu admire the late Oscar Kambona, Kisha Dr. Wilbroad Slaa, ila kwa sasa katika Historia ya Tanzania hakuna Mpinzani Machachari, mwenye hoja, mwenye akili, mwenye Misimamo kama Tundu A. Lissu, anasimama Kileleni kama Best opposition Leader we ever had.
Mungu ambariki TAL.