Uchaguzi 2020 Lissu: Nikichaguliwa, ndani ya siku 100 za kwanza masheikh wa Uamsho wataachiwa huru

Mama anakwenda vizuri. Bila shaka hata MATAGA wanakiri hilo maana Mama = JPM.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Mama aliposema yeye is equal to mwendazake, alitumia hekima sana kwa wafuasi wa mwendazake.

Matendo sasa ndio yewaacha midomo wazi
 
Kwamba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…