Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hakuna asiye amini ila CAFCC timu ya kwanza kufika final Tz ni Yanga,sasa nyie hamtaki kukubali,CAFCC ilianzishwa 2004 ila mkiambiwa mnaleta mpaka notes kibao......hili kombe linaitwa CAFCC nyie mlicheza Winner's cup vitu viwili tofauti kabisaHivi bado hawaamini??.tutawavua suruali na wao..