Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hakuna asiye amini ila CAFCC timu ya kwanza kufika final Tz ni Yanga,sasa nyie hamtaki kukubali,CAFCC ilianzishwa 2004 ila mkiambiwa mnaleta mpaka notes kibao......hili kombe linaitwa CAFCC nyie mlicheza Winner's cup vitu viwili tofauti kabisaHivi bado hawaamini??.tutawavua suruali na wao..
Kula chuma hikooHakuna asiye amini ila CAFCC timu ya kwanza kufika final Tz ni Yanga,sasa nyie hamtaki kukubali,CAFCC ilianzishwa 2004 ila mkiambiwa mnaleta mpaka notes kibao......hili kombe linaitwa CAFCC nyie mlicheza Winner's cup vitu viwili tofauti kabisa
Tofauti kabisa ?? Kwani wengine walicheza netball halafu wengine football? Sababu hasa ya jina Wewe unaita tofauti kabisa... mnajiita bingwa WA kihistoria wa ligi na kuhesabu sijui mara 28 lakini je hii ligi yetu tangu kuanzishwa kwake ilikuwa Sawa na sasa?Hakuna asiye amini ila CAFCC timu ya kwanza kufika final Tz ni Yanga,sasa nyie hamtaki kukubali,CAFCC ilianzishwa 2004 ila mkiambiwa mnaleta mpaka notes kibao......hili kombe linaitwa CAFCC nyie mlicheza Winner's cup vitu viwili tofauti kabisa
Naona una muda mwingi wa kupoteza kuwaelimisha hao mazuzu wa usukuleni.Tofauti kabisa ?? Kwani wengine walicheza netball halafu wengine football? Sababu hasa ya jina Wewe unaita tofauti kabisa... mnajiita bingwa WA kihistoria wa ligi na kuhesabu sijui mara 28 lakini je hii ligi yetu tangu kuanzishwa kwake ilikuwa Sawa na sasa?
1993 nafikiri Wengi hapa jf walikuwa hawajazaliwa au hawajafikisha miaka 5 na hawapendi kujisumbua kuangalia historia iliyowazi.Hakuna asiye amini ila CAFCC timu ya kwanza kufika final Tz ni Yanga,sasa nyie hamtaki kukubali,CAFCC ilianzishwa 2004 ila mkiambiwa mnaleta mpaka notes kibao......hili kombe linaitwa CAFCC nyie mlicheza Winner's cup vitu viwili tofauti kabisa
Waambie maana wanajitoa sana fahamuTunawaangalia tu, wakitaka hata video za mechi yenyewe tutawapa. Yanga iko nyuma ya Simba kwa miaka 30. Mafanikio ya sasa ya Simba, Yanga itakuja kuyapata miaka 30 ijayo.
Katika kitu ambacho sikipendi ni ukweli maana huwa unauma.kweeeliHuu Ndio umbumbumbu anaosemaga Rage. Mihemko mbele akili mikiani.
Unafikiri kwa nini wanawaheshimu Sana Simba? NI kwa sababu wakongwe katika rekodi zao ukinibishia nakaa pembeniIla CAF wenyewe hawana hiyo rekodi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi bado hawaamini??.tutawavua suruali na wao..
Kombe la waliofeliHakuna anae kataa mlicheza CAF cup sisi tunacheza confederation cup
Sawa wewe unacheza lipi kwa sasa?Kombe la waliofeli