Uchaguzi 2020 Lissu njoo na ahadi ya kifuta machozi kwa waliofukuzwa kwa vyeti feki, kulipa malimbikizo ya salary increment za watumishi na ...

Lisu sasaivi anahangaika huko ulaya kutafuta sababu ya kuwaambia wazungu wasilete misaada ili Samia akome, anakosa sababu. ndio maana amekuwa kimyaaa, hana hoja na wazungu wakimchoka watamfukuzia Ikungi muda si mrefu.
 
Leo Mama anatekeleza baadhi ya haya niliyoyasema.
Umeisoma Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020, iliyowezesha kuunda Serikali iliyoko madarakani? Kama umeisoma, ni jambo lipi linatekelezwa, kwa sasa, lililo nje ya hiyo Ilani?
 
Umeisoma Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020, iliyowezesha kuunda Serikali iliyoko madarakani? Kama umeisoma, ni jambo lipi linatekelezwa, kwa sasa, lililo nje ya hiyo Ilani?
Yaan kweny Ilani ndo walsema watarudisha waliofukuzwa kazin au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…