Nadhani Rais wetu angeitwa Mh Hafidh (si ndo mme wake?)Mara nyingi unapenda kumtaja kiongozi wa nchi' Mama Abdul 'huyu mama Abdul hana jina? Kama ana jina unaogopa kitu gani kama unachozingumza ni sahihi?
Nadhani unatakiwa kubadili siasa zako za maji taka.Wewe ni mwanasheria msomi mama Abdul ni nani?
Machawa wa Lissu saidieni hili
Sawa unachosema, lakini kumbuka kuwa alikwisha kuambia kuwa yeye ni mke wa mtu na ni mama pia, yaani ni mamaabdul.Umeshasema mtaani mazee,huyo head figure ya nchi yetu,anatakiwa kuwa addressed kama kiongozi mkuu wa nchi,anachofanya Lisu ni dharau tu za waziwazi.
Mama abdul pia alimpa jina simba wa kufugwa tundu lisu kwahiyo wanajuana haoMara nyingi unapenda kumtaja kiongozi wa nchi' Mama Abdul 'huyu mama Abdul hana jina? Kama ana jina unaogopa kitu gani kama unachozingumza ni sahihi?
Nadhani unatakiwa kubadili siasa zako za maji taka.Wewe ni mwanasheria msomi mama Abdul ni nani?
Machawa wa Lissu saidieni hili
Mara nyingi unapenda kumtaja kiongozi wa nchi' Mama Abdul 'huyu mama Abdul hana jina? Kama ana jina unaogopa kitu gani kama unachozingumza ni sahihi?
Nadhani unatakiwa kubadili siasa zako za maji taka.Wewe ni mwanasheria msomi mama Abdul ni nani?
Machawa wa Lissu saidieni hili