msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,280
- 7,903
Aiseee..Mimi kwangu yote yanayosemwa ni sawa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LIWALOOOO NA LIWEEEE!!Hapo ndipo atakapojua kwamba malimao na mimoshi ya mvuke si dawa!!
Anahitaji injection ya kupata damu haraka sana ya mtu anayeendana naye damu ambaye kashapona COVID-19. Sasa without records how ar u goingo to point it out??
Sayansi huwa haiongopi !!
Kumbe msipomsikia mh Rais Magufuli Chadema mnapata tabu.
Leo amesali katika parokia yake kama kawaida.
Nawatakia kwaresma yenye baraka!
Alipigwa tena juzi hapa na dcSikuizi naona wanaomtonya wanampa tango poli2
Ila kama itakuwa korona basi itakuwa ni aibu kwa taifa na nitasema Mungu huyu hadhiakiwiNafunga siku saba na maombi mazito,Rais apone haraka na kurejea majukumu yake mambo ya kuongozwa na waZanzibar hapana bora huyu huyu amalize muda wake.
Rais wetu Ni mwenye Afya Tele na hana tatizo lolote, ana miaka mingi Sana Mbele yake,Daah...Uzi unazidi kutiririka tu
Mimi ni peasant mkuu mbona unawashwaUtakuta na wewe unajiita msomi
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] hapendwi mtu kama maisha magumuWabongo bwana.....!!
Mtu ni juzi tu mmemiminia kura za kutosha na maneno ya kumsifka, lkn leo hii kwenye mitandao ya kijamii ananangwa na kuombewa apitiwe na yule shetani mtoa roho kweli....!!?
Kigogo ndie jiwe mwenyewe kaamua kutuchezesha shere.Why wameshindwa kumkamata.Kigogo anasema Yeye atakuwa wa mwisho Kucomment nafikiri anaogopa za uso toka kwa Jiwe akiibuka!
Covid hapendi dharauNDUGAI yupo wapi? Mwezi sasa. Naona likizo ndefu