Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze

Hapo ndipo atakapojua kwamba malimao na mimoshi ya mvuke si dawa!!

Anahitaji injection ya kupata damu haraka sana ya mtu anayeendana naye damu ambaye kashapona COVID-19. Sasa without records how ar u goingo to point it out??

Sayansi huwa haiongopi !!
LIWALOOOO NA LIWEEEE!!
 
Wabongo bwana.....!!
Mtu ni juzi tu mmemiminia kura za kutosha na maneno ya kumsifka, lkn leo hii kwenye mitandao ya kijamii ananangwa na kuombewa apitiwe na yule shetani mtoa roho kweli....!!?
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] hapendwi mtu kama maisha magumu
 
IMG-20210309-WA0113.jpg
 
Back
Top Bottom