Pre GE2025 Lissu: Sina mpango wa kuhama CHADEMA, Msigwa sio Tundu Lissu

Pre GE2025 Lissu: Sina mpango wa kuhama CHADEMA, Msigwa sio Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwanza niweke wazi maana kuna vimaneno maneno kwamba huyu (Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara na mtia nia wa nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa) anatengeneza namna ya kuhama, sasa nataka niseme haami mtu hapa, haami mtu hapa, ukisema Msigwa (Mchungaji Peter Msigwa, aliyekuwa kada wa CHADEMA aliyetimkia CCM) alisema hivyo hivyo nataka niwaambie Msgwa sio Tundu Lissu" -Lissu
Muulize kuhusu kauli hii kwenye clip hii. Mimi siwezi kumwamini!
 

Attachments

  • SINA MPANGO WA KUGOMBEA UENYEKITI LISU.mp4
    7.1 MB
Mnafiki na ndumilakuwili kwenye ubora wake
Rafiki na mwanachadema mwenzangu, unasemaje kuhusu kauli hii ya Lisu. Lisu anafaa in all aspwcts of uongozi, lakini kaika mazingira ambapo maadui wenu will take advantage of your mgawanyiko kuwatawanya, sioni busara katika Lisu!
Nini kimemsukuma kubadili mawazo? Kesho si atabadirika tena na "kuuza" chama?
 

Attachments

  • SINA MPANGO WA KUGOMBEA UENYEKITI LISU.mp4
    7.1 MB
Tunataka Lisu Agombee.
Mbowe agombeee
Sugu agombee
John Hechee agombee
Na wanachama wengine wenye hyo 1.5M wagombee

Yeyote Mwenye kadi ya chadema, Na anasukumwa kugombea akachukue form, Atangaze nia agombee.

Uzuri, Katibu wa chadema hajasema form iko 1 kama chama fulani, Hivuo kila mwanachama wa chadema, amepewa haki ya kuchukua form na kugombe.

Maswala ya nani atakua mwenyekiti, Tuwaachie Wajumbe, Period.
 
Kwanza niweke wazi maana kuna vimaneno maneno kwamba huyu (Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara na mtia nia wa nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa) anatengeneza namna ya kuhama, sasa nataka niseme haami mtu hapa, haami mtu hapa, ukisema Msigwa (Mchungaji Peter Msigwa, aliyekuwa kada wa CHADEMA aliyetimkia CCM) alisema hivyo hivyo nataka niwaambie Msgwa sio Tundu Lissu" -Lissu

"Mliniuliza baada ya yote hayo, marisasi yote hayo, majela yote haya kwa nini bado umo (kwenye mapambano ya siasa na demokrasia), nataka muelewe kwamba nipo kwa sababu i was born to do this, mimi ni mwanamageuzi, na Chama cha Mapinduzi (CCM) hakijawahi kuwa chama cha mageuzi na hakitakaa kiwe cha mageuzi" -Lissu

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA @ChademaTz Tanzania Bara ambaye pia ni mtia nia wa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu @TunduALissu ameeleza hayo alipofanya mahojiano maalum na Clouds FM @CloudsMediaLive kupitia kipindi cha Power Breakfast leo, Jumanne Desemba 17.2024
mwanamageuzi mwenye pupa, anaeteswa na uamuzi wake wa kugombea uenyekiti chadema Taifa, wenye viashiria vyote vya tamaa na uchu wa maadaraka..

anaweweseka na kujutia mno uamuzi wake wa kukurupuka dah!🐒
 
Tunataka Lisu Agombee.
Mbowe agombeee
Sugu agombee
John Hechee agombee
Na wanachama wengine wenye hyo 1.5M wagombee

Yeyote Mwenye kadi ya chadema, Na anasukumwa kugombea akachukue form, Atangaze nia agombee.

Uzuri, Katibu wa chadema hajasema form iko 1 kama chama fulani, Hivuo kila mwanachama wa chadema, amepewa haki ya kuchukua form na kugombe.

Maswala ya nani atakua mwenyekiti, Tuwaachie Wajumbe, Period.
Good.
 
Ama vipi aanzishe chama chake:

Chama cha Demokrasia na Wazalendo - CDW, badala ya CDM!
 
Honestly, watu hawajui Tundu Lissu...

Na CCM hakika hawamjui Tundu Lissu....

Huyu mtu hababaishwi na hatishiwi nyau...

Ni mtu wa misimamo na akisemacho ndicho hukifanya na akisema hafanyi au hapendi hiki, anakuwa amemaliza...

Huyu ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA baada ya Freeman Mbowe...
CCM wenye akili wanamjua Tundu Lissu na uwezo wake ndiyo maana wanafanya juhudi kubwa asiwe Mwenyekiti wa Chadema kwani wanajuafika atawapelekea moto ndiyo maana unaona nguvu kubwa inayotumiwa na CCM na Dola kuzuia Lissu asiwe mwenyekiti.
 
Hakika Tundu Lisu ni Mtu anayejitambua sana

Yeriko Nyerere huko alipo lazima Tumbo la kuhara limshike Kwa sababu mashambulizi yake yanamfanya Tundu Lisu azidi kuwa Imara

Mungu wa mbinguni mbariki Tundu Lisu 😃
Msigwa anasemaje?
 
Lissu is a strong man! Anazungumza anachomaanisha.
Nadhani tiss na ma lices ya kijani walichotaka kwa muda mrefu ni Mbowe aachie nafasi ya Uenyekiti lakini ashike mtu mwingine siyo Lissu! Nadhani hapa ndiyo penye shida.
Umeona eh walichokuwa wanakitaka kimeshindikana sasa mashambulizi yametoka kwa Mbowe ambaye wanamwita DICTATOR kwenda kwa Lisu ambaye wanamwita mkurupukaji.Mungu ibariki CHADEMA na watu wake.
 
Kuna wakati niliwaza mdahalo kati ya Yericko na TAL. Rasmi nilikuwa naota!
 
Honestly, watu hawajui Tundu Lissu...

Na CCM hakika hawamjui Tundu Lissu....

Huyu mtu hababaishwi na hatishiwi nyau...

Ni mtu wa misimamo na akisemacho ndicho hukifanya na akisema hafanyi au hapendi hiki, anakuwa amemaliza...

Huyu ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA baada ya Freeman Mbowe...
Mbona alisema hatagombea uenyekiti wa CHADEMA kamwe lakini muda siyo mrefu akabadilisha msimamo wake, na sasa hivi anaenda kugombea.
 
Back
Top Bottom