secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Lisu akihama ataanza kusema kuwa aliyempiga risasi ni mbowe.Tuko Ufipa temporary kutetea HAKI
Ruzuku ni Kodi kutoka Kwa Wananchi maskini 🐼😂
Haya maneno mtayakumbuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu akihama ataanza kusema kuwa aliyempiga risasi ni mbowe.Tuko Ufipa temporary kutetea HAKI
Ruzuku ni Kodi kutoka Kwa Wananchi maskini 🐼😂
saafi,uzi tayariHakika Tundu Lisu ni Mtu anayejitambua sana
Yeriko Nyerere huko alipo lazima Tumbo la kuhara limshike Kwa sababu mashambulizi yake yanamfanya Tundu Lisu azidi kuwa Imara
Mungu wa mbinguni mbariki Tundu Lisu 😃
Huwa anamuuzia maji ya upako.Huyu Msigwa huishi kumtaja taja kwani uko naye vipi?
Yeriko hana akili timamu ni tapeliHakika Tundu Lisu ni Mtu anayejitambua sana
Yeriko Nyerere huko alipo lazima Tumbo la kuhara limshike Kwa sababu mashambulizi yake yanamfanya Tundu Lisu azidi kuwa Imara
Mungu wa mbinguni mbariki Tundu Lisu 😃
Lakini,cha ajabu CCM ipo bize kuwafuatilia.Mfano mzuri:Wewe mwenyewe.Chadema inapumulia mashine nafasi ya Uenyekiti
WEWE YERIKO UKIMTIZAMA KWA UMAKINI HUONI KUWA NI MTU MWENYE MTINDIO WA UBONGO??YULE NI CHIZI FRESH...KWA KIMAKONDE MTU KAMA YERICKO TUNAMUITA NI '...(N'JING'ÁPEDIII"')...Kuna wakati niliwaza mdahalo kati ya Yericko na TAL. Rasmi nilikuwa naota!
Ana akili mara dufu kumzidi mzee MboweMsigwa anasemaje?
Leo unamkimbia chawa Mwenzako aisee ?Yeriko hana akili timamu ni tapeli
Viva Lissi viva! Msikubali kuvunjana moyo. Wana cdm tupo nyuma yenu. Hata waliokunukisha kule Arusha kwa kumpitisha diwani wa mchongo kwenye dimbwi la maji barabarani ujasiri wao umetokana na jinsi mnavyotupa elimu ya uraia. Watu wameichoka ccm na figisu zake. Tunahitaji ukombozi wa nchi hii.Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara ambaye pia ni mtia nia wa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu ameeleza hayo alipofanya mahojiano maalum na Clouds FM kupitia kipindi cha Power Breakfast leo, Jumanne Desemba 17.2024
Lissu amesema
Kwanza niweke wazi maana kuna vimaneno maneno kwamba huyu (Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara na mtia nia wa nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa) anatengeneza namna ya kuhama, sasa nataka niseme haami mtu hapa, haami mtu hapa, ukisema Msigwa (Mchungaji Peter Msigwa, aliyekuwa kada wa CHADEMA aliyetimkia CCM) alisema hivyo hivyo nataka niwaambie Msigwa sio Tundu Lissu"
"Mliniuliza baada ya yote hayo, marisasi yote hayo, majela yote haya kwa nini bado umo (kwenye mapambano ya siasa na demokrasia), nataka muelewe kwamba nipo kwa sababu i was born to do this, mimi ni mwanamageuzi, na Chama cha Mapinduzi (CCM) hakijawahi kuwa chama cha mageuzi na hakitakaa kiwe cha mageuzi"
Ndio tofauti ya Msomi dhidi ya vilaza wa chadema,Lema,Sugu,Wenje ,Mdude na Mzee Mbowe (hawa wote walifeli elimu ya sekondari)Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara ambaye pia ni mtia nia wa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu ameeleza hayo alipofanya mahojiano maalum na Clouds FM kupitia kipindi cha Power Breakfast leo, Jumanne Desemba 17.2024
Lissu amesema
Kwanza niweke wazi maana kuna vimaneno maneno kwamba huyu (Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara na mtia nia wa nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa) anatengeneza namna ya kuhama, sasa nataka niseme haami mtu hapa, haami mtu hapa, ukisema Msigwa (Mchungaji Peter Msigwa, aliyekuwa kada wa CHADEMA aliyetimkia CCM) alisema hivyo hivyo nataka niwaambie Msigwa sio Tundu Lissu"
"Mliniuliza baada ya yote hayo, marisasi yote hayo, majela yote haya kwa nini bado umo (kwenye mapambano ya siasa na demokrasia), nataka muelewe kwamba nipo kwa sababu i was born to do this, mimi ni mwanamageuzi, na Chama cha Mapinduzi (CCM) hakijawahi kuwa chama cha mageuzi na hakitakaa kiwe cha mageuzi"
JOHN MNYWA ULANZI.Nani ni ndumilakuwili mkuu.
Nani?Akiona hilo jina atalia sana au kujinyonga kabisa.WEWE YERCIKO UKIMTIZAMA KWA UMAKINI HUONI KUWA NI MTU MWENYE MTINDIO WA UBONGO??YULE NI CHIZI FRESH...KWA KIMAKONDE MTU KAMA YERICKO TUNAMUITA NI '...(N'JING'ÁPEDIII"')...
Mimi nasimama na chama siyo akili za kipumbavu kama nyie CCMLeo unamkimbia chawa Mwenzako aisee ?
'....N'JING'ÁPEDII...Nani?Akiona hilo jina atalia sana au kujinyonga kabisa.
Hii ni saccos ,Lissu ndie anaetaka kuhakisha hii saccos inakuwa taasisiMimi nasimama na chama siyo akili za kipumbavu kama nyie CCM