Pre GE2025 Lissu: Sina mpango wa kuhama CHADEMA, Msigwa sio Tundu Lissu

Pre GE2025 Lissu: Sina mpango wa kuhama CHADEMA, Msigwa sio Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema inapumulia mashine nafasi ya Uenyekiti
 
Ogopaa sana mtu aliyepitia kukoswa kufa namna ya huyu Jamaa,Nahisi Mungu anania njema na Taifa letu.CCM wajirudi wapunguze ubabe jambo la Mungu halikwamagi.Ukombozi wa nchi upo karibu.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara ambaye pia ni mtia nia wa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu ameeleza hayo alipofanya mahojiano maalum na Clouds FM kupitia kipindi cha Power Breakfast leo, Jumanne Desemba 17.2024

Lissu amesema

Kwanza niweke wazi maana kuna vimaneno maneno kwamba huyu (Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara na mtia nia wa nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa) anatengeneza namna ya kuhama, sasa nataka niseme haami mtu hapa, haami mtu hapa, ukisema Msigwa (Mchungaji Peter Msigwa, aliyekuwa kada wa CHADEMA aliyetimkia CCM) alisema hivyo hivyo nataka niwaambie Msigwa sio Tundu Lissu"

"Mliniuliza baada ya yote hayo, marisasi yote hayo, majela yote haya kwa nini bado umo (kwenye mapambano ya siasa na demokrasia), nataka muelewe kwamba nipo kwa sababu i was born to do this, mimi ni mwanamageuzi, na Chama cha Mapinduzi (CCM) hakijawahi kuwa chama cha mageuzi na hakitakaa kiwe cha mageuzi"
Viva Lissi viva! Msikubali kuvunjana moyo. Wana cdm tupo nyuma yenu. Hata waliokunukisha kule Arusha kwa kumpitisha diwani wa mchongo kwenye dimbwi la maji barabarani ujasiri wao umetokana na jinsi mnavyotupa elimu ya uraia. Watu wameichoka ccm na figisu zake. Tunahitaji ukombozi wa nchi hii.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara ambaye pia ni mtia nia wa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu ameeleza hayo alipofanya mahojiano maalum na Clouds FM kupitia kipindi cha Power Breakfast leo, Jumanne Desemba 17.2024

Lissu amesema

Kwanza niweke wazi maana kuna vimaneno maneno kwamba huyu (Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara na mtia nia wa nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho Taifa) anatengeneza namna ya kuhama, sasa nataka niseme haami mtu hapa, haami mtu hapa, ukisema Msigwa (Mchungaji Peter Msigwa, aliyekuwa kada wa CHADEMA aliyetimkia CCM) alisema hivyo hivyo nataka niwaambie Msigwa sio Tundu Lissu"

"Mliniuliza baada ya yote hayo, marisasi yote hayo, majela yote haya kwa nini bado umo (kwenye mapambano ya siasa na demokrasia), nataka muelewe kwamba nipo kwa sababu i was born to do this, mimi ni mwanamageuzi, na Chama cha Mapinduzi (CCM) hakijawahi kuwa chama cha mageuzi na hakitakaa kiwe cha mageuzi"
Ndio tofauti ya Msomi dhidi ya vilaza wa chadema,Lema,Sugu,Wenje ,Mdude na Mzee Mbowe (hawa wote walifeli elimu ya sekondari)
 
Mzee Mbowe alisema mwaka 2023 ndio mwisho ,sasa hakuna namna ni lazima Msomi Lissu amkabili
 
Shida ya uchawa na ushabiki lazima mshambuliane pale unapotofautiana sijawahi kutegemea chadema wenyewe kwa wenyewe watanyukana kiasi hichi si Bora msiwe na chama Kama Mimi unachagia hoja kwa Uhuru na kwa akili yako mwenyewe
 
Back
Top Bottom