Lissu tueleze bila mafumbo Je Deusdedith Soka kauawa?

Lissu tueleze bila mafumbo Je Deusdedith Soka kauawa?

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Mheshimiwa Lissu

Mara kadhaa tumekusikia ukizungumza kuhusu Deusdedith Soka kwa mafumbo lakini ukiimply kuwa Soka hatunaye tena duniani.

Kwenye hotuba yako ya mwaka mpya ulimtaja Soka kwa kauli isiyo direct ambayo inaweza kutsfsiriwa kuwa Soka kauawa.

Na leo kwenye mkutano wa BAVICHA umezungumza kuwa kijiti cha mapambano alichokuwa anakishikilia Soka kimedondoka. Je unamaanisha kuwa Soka hatunaye tena?.

Nimewajibika kuuliza kwa sababu Mwenyekiti wa chama ndugu Mbowe siku hizi hataji kabisa kuhusu Ben Saanane, Soka na wengine wote waliopotezwa au kuuawa na mfumo huu. Ni kama hana interests kutaja majina hayo.

Ndugu Lissu, tuweke wazi Je Soka kauawa?
 
Kwa simulizi ya Sativa kuanzia kutekwa kwame hadi kutupwa kwenye pori la Katavi na mhusika mkuu akiwa ni Mafwele ni dhahiri hawa vijana hatunao tena. Kwani hata Sativa kupona kwake ni muujiza tu wa Mwenyezi Mungu kama ilivyokuwa kwa Tundu Lissu. Hawa vijana kama wangekuwa hai wangeshapelekwa mahakamani hata kwa kesi za mchongo kama walivyozoea,ni dhahiri Mafwele ameshawaua na kuwatupa kwenye mapori yenye wanyama wakali ili kufuta ushahidi.
 
Mimi kinachoniuma zaidi ni Chadema kuacha kulifanya hili suala la kutekwa akina Soka kama Ajenda ya kuinyima usingizi serikali. Yaani wamepiga kelele miezi michache sasa hivi wameacha wanaendelea na shughuli zao kama kawaida. Yaani hakuna hata kapresha kadogo kutoka kwao wakati kada wao tena kiongozi wa vijana katekwa, kupotezwa na huenda keshadedishwa!
 
Mheshimiwa Lissu

Mara kadhaa tumekusikia ukizungumza kuhusu Deusdedith Soka kwa mafumbo lakini ukiimply kuwa Soka hatunaye tena duniani.

Kwenye hotuba yako ya mwaka mpya ulimtaja Soka kwa kauli isiyo direct ambayo inaweza kutsfsiriwa kuwa Soka kauawa.

Na leo kwenye mkutano wa BAVICHA umezungumza kuwa kijiti cha mapambano alichokuwa anakishikilia Soka kimedondoka. Je unamaanisha kuwa Soka hatunaye tena?.

Nimewajibika kuuliza kwa sababu Mwenyekiti wa chama ndugu Mbowe siku hizi hataji kabisa kuhusu Ben Saanane, Soka na wengine wote waliopotezwa au kuuawa na mfumo huu. Ni kama hana interests kutaja majina hayo.

Ndugu Lissu, tuweke wazi Je Soka kauawa?

Soka ndiyo basi washamalizana naye.
 
Mheshimiwa Lissu

Mara kadhaa tumekusikia ukizungumza kuhusu Deusdedith Soka kwa mafumbo lakini ukiimply kuwa Soka hatunaye tena duniani.

Kwenye hotuba yako ya mwaka mpya ulimtaja Soka kwa kauli isiyo direct ambayo inaweza kutsfsiriwa kuwa Soka kauawa.

Na leo kwenye mkutano wa BAVICHA umezungumza kuwa kijiti cha mapambano alichokuwa anakishikilia Soka kimedondoka. Je unamaanisha kuwa Soka hatunaye tena?.

Nimewajibika kuuliza kwa sababu Mwenyekiti wa chama ndugu Mbowe siku hizi hataji kabisa kuhusu Ben Saanane, Soka na wengine wote waliopotezwa au kuuawa na mfumo huu. Ni kama hana interests kutaja majina hayo.

Ndugu Lissu, tuweke wazi Je Soka kauawa?
Dikteta Mbowe.

Rais alishasema KIFO NI KIFO TU!

Watanganyika mjipange!
 
Mimi kinachoniuma zaidi ni Chadema kuacha kulifanya hili suala la kutekwa akina Soka kama Ajenda ya kuinyima usingizi serikali. Yaani wamepiga kelele miezi michache sasa hivi wameacha wanaendelea na shughuli zao kama kawaida. Yaani hakuna hata kapresha kadogo kutoka kwao wakati kada wao tena kiongozi wa vijana katekwa, kupotezwa na huenda keshadedishwa!
Mbowe kaishiwa
 
Tabia ya kula huku na kule ya Mbowe ndiyo iliyogharimu maisha ya akina Soka.

Mimi naamini kama Mbowe angelifanya suala la akina Soka kuwa ni ajenda ya kuamka nayo, kushinda nayo, kulala nayo kuzunguuka nayo. Kila Interview unapiga kelele, kuomba viongozi wa dini wamuombee, kuomba kuongea na mabalozi waingilie kati bila kuchoka, Lazima ishu ingeielemea serikali.

Lakimi Mwenyekiti wa Chama yupoyupo tu utadhani hakuna kilichotokea.

Mbowe alipokuwa Jela Raia kila siku walikuwa wanamzungumzia yeye, daily daily daily mpaka serikali ikaona joto limekuwa kubwa. Sasa inakuwaje Mbowe kapiga kimya tu?
 
Hapo vijana tuna la kujifunza tuache kujitoa kwa siasa chafu zinazoshibisha viongozi matumbo yao.!!
 
Lissu anaingiza vijana wengi chaka kuwapeleka vitani bila kuwapatia nyezo muhimu za mapambano. Ni mwanaharakati asijejua timing.

Kuwatoa CCM madarakani kunahitaji timing na si maguvu- wanakumaliza wale jamaa wana hasara gani.
 
Mheshimiwa Lissu

Mara kadhaa tumekusikia ukizungumza kuhusu Deusdedith Soka kwa mafumbo lakini ukiimply kuwa Soka hatunaye tena duniani.

Kwenye hotuba yako ya mwaka mpya ulimtaja Soka kwa kauli isiyo direct ambayo inaweza kutsfsiriwa kuwa Soka kauawa.

Na leo kwenye mkutano wa BAVICHA umezungumza kuwa kijiti cha mapambano alichokuwa anakishikilia Soka kimedondoka. Je unamaanisha kuwa Soka hatunaye tena?.

Nimewajibika kuuliza kwa sababu Mwenyekiti wa chama ndugu Mbowe siku hizi hataji kabisa kuhusu Ben Saanane, Soka na wengine wote waliopotezwa au kuuawa na mfumo huu. Ni kama hana interests kutaja majina hayo.

Ndugu Lissu, tuweke wazi Je Soka kauawa?
Kwani Lissu anapomtajataja Soka inamsaidia nini Soka au familia yake zaidi tu ya kutumia kinafiki ili kupata public support?
 
Lissu anaingiza vijana wengi chaka kuwapeleka vitani bila kuwapatia nyezo muhimu za mapambano. Ni mwanaharakati asijejua timing.

Kuwatoa CCM madarakani kunahitaji timing na si maguvu- wanakumaliza wale jamaa wana hasara gani.
Maoni yako ? Afanye nini ?
 
Back
Top Bottom