Lissu tueleze bila mafumbo Je Deusdedith Soka kauawa?

Lissu tueleze bila mafumbo Je Deusdedith Soka kauawa?

Itakuwa wamefia migodini labda kwa kuangukiwa na kifusi
 
Mheshimiwa Lissu

Mara kadhaa tumekusikia ukizungumza kuhusu Deusdedith Soka kwa mafumbo lakini ukiimply kuwa Soka hatunaye tena duniani.

Kwenye hotuba yako ya mwaka mpya ulimtaja Soka kwa kauli isiyo direct ambayo inaweza kutsfsiriwa kuwa Soka kauawa.

Na leo kwenye mkutano wa BAVICHA umezungumza kuwa kijiti cha mapambano alichokuwa anakishikilia Soka kimedondoka. Je unamaanisha kuwa Soka hatunaye tena?.

Nimewajibika kuuliza kwa sababu Mwenyekiti wa chama ndugu Mbowe siku hizi hataji kabisa kuhusu Ben Saanane, Soka na wengine wote waliopotezwa au kuuawa na mfumo huu. Ni kama hana interests kutaja majina hayo.

Ndugu Lissu, tuweke wazi Je Soka kauawa?
Lissu akueleze bila mafumbo kama Soka kauawa, kwani Lissu ndiye aliyemteka?

Mbona mnampa Lissu kazi ya kujua mambo ambayo inaonekana hayupo katika nafasi ya kuyajua?

Kwa nini huwaulizi Polisi watu wenye dhamana hii? Kwa nini humuulizi Samia mkuu wa nchi?

Lissu ni mwanasheria, anaenda kwa ushahidi, kama jambo hili halina ushahidi wa kuonesha Soka kauawa unataka Lissu akurupuke na kusema kauawa kukufurahisha wewe tu?
 
Mheshimiwa Lissu

Mara kadhaa tumekusikia ukizungumza kuhusu Deusdedith Soka kwa mafumbo lakini ukiimply kuwa Soka hatunaye tena duniani.

Kwenye hotuba yako ya mwaka mpya ulimtaja Soka kwa kauli isiyo direct ambayo inaweza kutsfsiriwa kuwa Soka kauawa.

Na leo kwenye mkutano wa BAVICHA umezungumza kuwa kijiti cha mapambano alichokuwa anakishikilia Soka kimedondoka. Je unamaanisha kuwa Soka hatunaye tena?.

Nimewajibika kuuliza kwa sababu Mwenyekiti wa chama ndugu Mbowe siku hizi hataji kabisa kuhusu Ben Saanane, Soka na wengine wote waliopotezwa au kuuawa na mfumo huu. Ni kama hana interests kutaja majina hayo.

Ndugu Lissu, tuweke wazi Je Soka kauawa?
Hapo fumbo kwako ni kufariki kwa soccer au aina ya kifo chake? Maana naona na wewe umeweka fumbo!
 
Lissu anaingiza vijana wengi chaka kuwapeleka vitani bila kuwapatia nyezo muhimu za mapambano. Ni mwanaharakati asijejua timing.

Kuwatoa CCM madarakani kunahitaji timing na si maguvu- wanakumaliza wale jamaa wana hasara gani.
Acha uwoga ndugu. Unadhani kuna siku ccm watakuambia kuwa wameyachoka madaraka?
 
Mimi kinachoniuma zaidi ni Chadema kuacha kulifanya hili suala la kutekwa akina Soka kama Ajenda ya kuinyima usingizi serikali. Yaani wamepiga kelele miezi michache sasa hivi wameacha wanaendelea na shughuli zao kama kawaida. Yaani hakuna hata kapresha kadogo kutoka kwao wakati kada wao tena kiongozi wa vijana katekwa, kupotezwa na huenda keshadedishwa!
Mwenyekiti acc yake ya dubai imetuna
 
Acha uwoga ndugu. Unadhani kuna siku ccm watakuambia kuwa wameyachoka madaraka?
Kwa akili yako finyu unafikiri utawatoa CCM madarakani kwa kuwatawanya vijana mabarabarani? Unafikiri TZ ni sawa na Kenya ama Msumbiji?
 
Mheshimiwa Lissu

Mara kadhaa tumekusikia ukizungumza kuhusu Deusdedith Soka kwa mafumbo lakini ukiimply kuwa Soka hatunaye tena duniani.

Kwenye hotuba yako ya mwaka mpya ulimtaja Soka kwa kauli isiyo direct ambayo inaweza kutsfsiriwa kuwa Soka kauawa.

Na leo kwenye mkutano wa BAVICHA umezungumza kuwa kijiti cha mapambano alichokuwa anakishikilia Soka kimedondoka. Je unamaanisha kuwa Soka hatunaye tena?.

Nimewajibika kuuliza kwa sababu Mwenyekiti wa chama ndugu Mbowe siku hizi hataji kabisa kuhusu Ben Saanane, Soka na wengine wote waliopotezwa au kuuawa na mfumo huu. Ni kama hana interests kutaja majina hayo.

Ndugu Lissu, tuweke wazi Je Soka kauawa?
Huku kupotezwa raia sio haki kabisa.
 
Mimi kinachoniuma zaidi ni Chadema kuacha kulifanya hili suala la kutekwa akina Soka kama Ajenda ya kuinyima usingizi serikali. Yaani wamepiga kelele miezi michache sasa hivi wameacha wanaendelea na shughuli zao kama kawaida. Yaani hakuna hata kapresha kadogo kutoka kwao wakati kada wao tena kiongozi wa vijana katekwa, kupotezwa na huenda keshadedishwa!
Ukimya wa Chadema kuhusu hili suala unasikitisha.
 
Kwa akili yako finyu unafikiri utawatoa CCM madarakani kwa kuwatawanya vijana mabarabarani? Unafikiri TZ ni sawa na Kenya ama Msumbiji?
Kwahiyo unadhani kwa Mbowe kuwa anapokea hela ya Abdul ndiyo ccm itaondoka??
 
Mimi naamini kama Mbowe angelifanya suala la akina Soka kuwa ni ajenda ya kuamka nayo, kushinda nayo, kulala nayo kuzunguuka nayo. Kila Interview unapiga kelele, kuomba viongozi wa dini wamuombee, kuomba kuongea na mabalozi waingilie kati bila kuchoka, Lazima ishu ingeielemea serikali.

Lakimi Mwenyekiti wa Chama yupoyupo tu utadhani hakuna kilichotokea.

Mbowe alipokuwa Jela Raia kila siku walikuwa wanamzungumzia yeye, daily daily daily mpaka serikali ikaona joto limekuwa kubwa. Sasa inakuwaje Mbowe kapiga kimya tu?
Si aliitisha maandamano mkamwacha aandamane na binti yake!! 🤣🤣 ila nyinyi nyumbu nikiboko sana, makamanda wa kwenye social media tu. Jinsi mnavyopiga kelele huku kwenye social media utafikiri nchi haitawaliki kumbe mitaani watz hawana habari na nyinyi kabisa watz wanaendelea na maisha yao kama kawaida. Walioko nje ya nchi wanaweza kusema TZ inawaka moto 🤣🤣🤣!!
 
Mimi kinachoniuma zaidi ni Chadema kuacha kulifanya hili suala la kutekwa akina Soka kama Ajenda ya kuinyima usingizi serikali. Yaani wamepiga kelele miezi michache sasa hivi wameacha wanaendelea na shughuli zao kama kawaida. Yaani hakuna hata kapresha kadogo kutoka kwao wakati kada wao tena kiongozi wa vijana katekwa, kupotezwa na huenda keshadedishwa!
Usiwe mjinga, suala la utekaji na athari zake ni kwa taifa zima, akili zako zinadhani wanaoumia ni Chadema peke yao
 
Lissu akueleze bila mafumbo kama Soka kauawa, kwani Lissu ndiye aliyemteka?

Mbona mnampa Lissu kazi ya kujua mambo ambayo inaonekana hayupo katika nafasi ya kuyajua?

Kwa nini huwaulizi Polisi watu wenye dhamana hii? Kwa nini humuulizi Samia mkuu wa nchi?

Lissu ni mwanasheria, anaenda kwa ushahidi, kama jambo hili halina ushahidi wa kuonesha Soka kauawa unataka Lissu akurupuke na kusema kauawa kukufurahisha wewe tu?

Uwaulize Njagu wakati Mbowe alisema wao ndiyo waliomteka lakini wanakana. Unategemea perpetrators wakupe jibu gani?.

Tumemuuliza Lissu kwa sababu ameingea mara kadhaa kwa lugha inayoimply Soka kauawa, tunataka tujue anachokijua kuhusu hao vijana. Polisi hawaaminiki
 
Uwaulize Njagu wakati Mbowe alisema wao ndiyo waliomteka lakini wanakana. Unategemea perpetrators wakupe jibu gani?.

Tumemuuliza Lissu kwa sababu ameingea mara kadhaa kwa lugha inayoimply Soka kauawa, tunataka tujue anachokijua kuhusu hao vijana. Polisi hawaaminiki
Lugha gani ya Lissu ina imply Soka kauawa?

Weka audio au video ya Lissu akitoa hayo maneno tuhukumu wenyewe bila kutegemea tafsiri yako.
 
Back
Top Bottom