TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Amani kwako.
IIfahamike kuwa kwa sasa mgombea wa CCM ndg John anatumia nguvu kubwa kwenye kampeni zake huku akijua alio nao ndani asilimia kubwa hawana urafiki naye.
Kuna wana CCM wengi walishaamua liwalo na liwe na ndiyo ambao leo Katibu Mkuu wa CCM anaita media kuwachimba mkwara, mpaka hapo kuna kitu unaelewa.
Kuna kina mzee, Kinana, Januari, Nape nk wamekaa mkao wa kula, najua kushirikiana nao waziwazi haiwezekani hasirani ila kama ikitumika secret work inawezekana sana.
Kuna mifumo ambayo mpaka sasa inaandaliwa, ni jinsi ya kutunza, kulinda, kufuatilia na kusimama kidete dhidi ya kura zote zitakazopigwa siku hiyo, hapo kuna ile ngome nimeitaja pale juu kwa kushirikiana na IT Expert in/out basi mchezo wa 2015 utakuwa umepata mbereko.
Ndg. Lissu, usidharau hii kitu hao wanaCCM wanaochimbwa mkwara kwako ni turufu kubwa sana, wape nafasi ili kuondoa kile wengi wanasema udhalimu huu.
Povu kwa wanaCCM ruksa, ila ujue nina kadi ya CCM toka 1989.
IIfahamike kuwa kwa sasa mgombea wa CCM ndg John anatumia nguvu kubwa kwenye kampeni zake huku akijua alio nao ndani asilimia kubwa hawana urafiki naye.
Kuna wana CCM wengi walishaamua liwalo na liwe na ndiyo ambao leo Katibu Mkuu wa CCM anaita media kuwachimba mkwara, mpaka hapo kuna kitu unaelewa.
Kuna kina mzee, Kinana, Januari, Nape nk wamekaa mkao wa kula, najua kushirikiana nao waziwazi haiwezekani hasirani ila kama ikitumika secret work inawezekana sana.
Kuna mifumo ambayo mpaka sasa inaandaliwa, ni jinsi ya kutunza, kulinda, kufuatilia na kusimama kidete dhidi ya kura zote zitakazopigwa siku hiyo, hapo kuna ile ngome nimeitaja pale juu kwa kushirikiana na IT Expert in/out basi mchezo wa 2015 utakuwa umepata mbereko.
Ndg. Lissu, usidharau hii kitu hao wanaCCM wanaochimbwa mkwara kwako ni turufu kubwa sana, wape nafasi ili kuondoa kile wengi wanasema udhalimu huu.
Povu kwa wanaCCM ruksa, ila ujue nina kadi ya CCM toka 1989.