Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Kwamba upo utumwani?Kwani kaambiwa watz wako utumwani?
Mkuu tupo utumwani. Utawala wa sasa hauna tofauti na ule wa mkoloni tena Mjerumani. Kama ipo tofauti naomba uniambieKwani kaambiwa watz wako utumwani?
Ivi wewe hujioni
Kwamba upo utumwani?
Mkulima aliyepokwa KOROSHO zake kifedhuli hayupo utumwani?
Mwalimu ambaye hawajaongezewa mishahara kwa miaka 5 hawapo utumwani?
Wakinamama wanaotozwa pesa akienda kujifungia hayupo utumwani?
Mfanyakazi aliyeongezewa makato ya mkopo wa elimu ya juu toka 8 hadi 15% huku akiwa anaendelea kulipa mkopo na tena wenye riba hayupo utumwani???
HUJUI MAANA YA UTUMWA WEWE PIMBI LA LUMUMBA KAA KIMYA
Kangomba sio ulanguzi wewe ni utaratibu wa kawaida kwenye biashara yeyote kasome vizuri commerce ya form 3.Wakulima wa korosho waliokuwa wabadhulumiwa miaka nenda rudi kupitia kangomba na utapeli mwingine mwingi ndio mnawaona wajinga na hawsba akili ya kurlewa kuwa JPM anadhamira nhena kwao.
Nyie ndio maadui wa ndani ya nchi mliozuiliwa kuibia wakulima kwa utaratibu wa kilanguzi mmebakia kupika majungu yasiyo na kichwa wala miguu. JPM ashukuriwe kwa kufungua akili za Watanzania zilizokuwa zimewekwa kwenye vibuyu.
Vipi Mburahati leo? Pamoja na mvua kubwa lakini watu wakamua acha waloe lakini wasimame imara bega kwa bega na mkombozi wa wanyonge JPM.
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA: Tundu Lissu amesema watatengeneza nchi huru na yenye haki. Nchi ambayo hakuna kiongozi atakayeogopwa kuliko Mungu
Amesema kia mtu anahitaji haki na kila mtu anastahili kupata haki, awe askari mfanyabiashara, mkulima, mfugaji, mama lishe, bodaboda au kazi yoyote ile
Ameyasema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa Kampeni Bukombe mkoani Geita, ambako pia amewasisitiza wananchi wote kwenda kupiga kura Oktoba 28, 2020
View attachment 1598995
Kangomba sio ulanguzi wewe ni utaratibu wa kawaida kwenye biashara yeyote kasome vizuri commerce ya form 3.
Watu wanaporwa KOROSHO zao unaleta habar za mburahati hapa?
Watu hawajaongezewa mishahara for 5 years bila sababu za msingi toka kwa huyo kuhani unabwabwaja nn?
Watu wamebomolewa nyumba zao huko Kimara kwa ubabe wa kishamba kabisa unaleta matapishi hapa?
Wamachinga wanakatishwa vitambulisho havina hata majina?
Watu wameuliwa na kutupwa baharini huko RUFIJI .wewe unaongea utumbo hapa.
Mbona hilo liko wazi CCM imetufanya watumwa wa khanga na kofia na MabangoKwani kaambiwa watz wako utumwani?
Nilipataa wasaa wa kuwa na mazungumzo na mjeda fulani hiviii mwaka huu, akasema hakuna mtu duniani ambaye anaweza kuishi bila kupingwa.Mmmh, kuna watu wengi Tanzania, pamoja na mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa mikoa, polisi, wakuu wa wilaya, wasimamizi wa uchaguzi, wakurugenzi nk, wanamuogopa kiongozi fulani zaidi sana ya wanavyomuogopa Mungu!
Dhambi watafanya bila hofu ya kumkosea Mungu, lakini wakifikiria kumkasirisha jamaa magoti yanagongana kwa woga!
Ayeeeee 😂 😂 kmmkIvi wewe hujioni
Kwamba upo utumwani?
Mkulima aliyepokwa KOROSHO zake kifedhuli hayupo utumwani?
Mwalimu ambaye hawajaongezewa mishahara kwa miaka 5 hawapo utumwani?
Wakinamama wanaotozwa pesa akienda kujifungia hayupo utumwani?
Mfanyakazi aliyeongezewa makato ya mkopo wa elimu ya juu toka 8 hadi 15% huku akiwa anaendelea kulipa mkopo na tena wenye riba hayupo utumwani???
HUJUI MAANA YA UTUMWA WEWE PIMBI LA LUMUMBA KAA KIMYA
Weka iyo video hapaAkiwa chato amesemaje!!!!
Nimeona video ya upopoaji wa mawe Magari ya msafara wa Lissu nikaidharau CCM.
Tupopoane kwa hoja sio majiwe
Upuuzi mtupu, ameshidwa kutengeneza Ufipa ndio itakuwa nchi?. Mbowe, Slaa, Lowasa walishindwa hata na wewe itakuwa vilevile Oct 28. Ninyi Chadema mnadhani kuongoza nchi ni sawa na kukusanya michango kwenye mikutano yenu ee, wananchi hatuwezi kubali uzandiki wenu pelekeni huko Ubelgiji kwa beberu zenu. Tunahitaji maendeleo, Magufuli ndio baba wa maendeleo kwa watanzania wote bila kubagua. Poleni saccos ya Mbowe.Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA: Tundu Lissu amesema watatengeneza nchi huru na yenye haki. Nchi ambayo hakuna kiongozi atakayeogopwa kuliko Mungu
Amesema kia mtu anahitaji haki na kila mtu anastahili kupata haki, awe askari mfanyabiashara, mkulima, mfugaji, mama lishe, bodaboda au kazi yoyote ile
Ameyasema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa Kampeni Bukombe mkoani Geita, ambako pia amewasisitiza wananchi wote kwenda kupiga kura Oktoba 28, 2020
View attachment 1598995
Kwani wewe ni kipofu na kiziwi au ni mlemavu wa akili, kiaisi usione, usisikie wala kujua yanayoendelea?Kwani kaambiwa watz wako utumwani?
Huyu mjinga anapaswa kujuaKwani kaambiwa watz wako utumwani?
Kama anataka nchi ya kutengeneza a aende huko kwenye sayari zingine nae awe mungu wao.Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA: Tundu Lissu amesema watatengeneza nchi huru na yenye haki. Nchi ambayo hakuna kiongozi atakayeogopwa kuliko Mungu
Amesema kia mtu anahitaji haki na kila mtu anastahili kupata haki, awe askari mfanyabiashara, mkulima, mfugaji, mama lishe, bodaboda au kazi yoyote ile
Ameyasema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa Kampeni Bukombe mkoani Geita, ambako pia amewasisitiza wananchi wote kwenda kupiga kura Oktoba 28, 2020
View attachment 1598995