mtetezi wa MAGU
Member
- Dec 15, 2022
- 18
- 128
Lissu hawezi kumshinda FAM,labda akashinde nja.Hatuna shaka na uzalendo wa Lisu wala misimamo yake katika kukataa Rushwa, chama kikiwa mikononi mwake ukombozi wa kweli wa Taifa utapatikana.
Magufuli alitenda Mengi Mazuri lakini kama ilivyokawaida ya binadamu hakuna aliyekamilika mazui yalikuwa mengi kuliko Madhaifu, Lissu mara baada ya kumbwaga Mwamba TUOMBE RADHI Watanzania Tutakusamehe.
Uchaguzi mwema.
Magu umesahau alivunja mkataba wa kuweka wazi matumiz ya serikali umesahau alikuwa anakopa kwa siri tena kwa aliokuwa anawaita mabeberu halafu anadanganya watz ni pesa za ndani thubutuulissu ni magufuli mwingine, nchi itanufaika na uongozi wake, lissu mambo ya sirini hayataki,na ana namna yake ya kuishi bila kuhitaji rushwa, huyu akipewa nchi uongozi utakua msafi, kissha wenye akili wataongoza kuteletea maendeleo bila uchawa
Chuki ya Lisu kwa Magufuli ilipandikizwa...Tuambie tusi 1 la lissu kwenda kwa mumeo magu na uonyeshe kesi ilifunguliwa wp ya kumtukana rais
Wazee wa Legasi😀😀Wala hana haja ya kuomba radhi hajamtukana Magufuli bali walipishana tu,waliomtukana wako ndani ya CCM, Kinana,Nape na January na inawezekana ndiyo walimuwahisha. Kitu kimoja ni kuwa CCM wakileta huyu bibi maushungi huku usukumani watusamehe tu tutatakwenda na Lissu.
LISU atashinda uchaguzi na baada ya kushinda ccm wengi watajiunga na chademaLissu hawezi kumshinda FAM,labda akashinde nja.
Naunga mkono hoja, japo hili ni kama alishawahi kufanya hata kama haikuwa moja kwa mojaHatuna shaka na uzalendo wa Lisu wala misimamo yake katika kukataa Rushwa, chama kikiwa mikononi mwake ukombozi wa kweli wa Taifa utapatikana.
Magufuli alitenda Mengi Mazuri lakini kama ilivyokawaida ya binadamu hakuna aliyekamilika mazui yalikuwa mengi kuliko Madhaifu, Lissu mara baada ya kumbwaga Mwamba TUOMBE RADHI Watanzania Tutakusamehe.
Uchaguzi mwema.
Wewe usingetukana?!Hatuna shaka na uzalendo wa Lisu wala misimamo yake katika kukataa Rushwa, chama kikiwa mikononi mwake ukombozi wa kweli wa Taifa utapatikana.
Magufuli alitenda Mengi Mazuri lakini kama ilivyokawaida ya binadamu hakuna aliyekamilika mazui yalikuwa mengi kuliko Madhaifu, Lissu mara baada ya kumbwaga Mwamba TUOMBE RADHI Watanzania Tutakusamehe.
Uchaguzi mwema.
100% trueLISU atashinda uchaguzi na baada ya kushinda ccm wengi watajiunga na chadema