mtetezi wa MAGU
Member
- Dec 15, 2022
- 18
- 128
Hatuna shaka na uzalendo wa Lisu wala misimamo yake katika kukataa Rushwa, chama kikiwa mikononi mwake ukombozi wa kweli wa Taifa utapatikana.
Magufuli alitenda Mengi Mazuri lakini kama ilivyokawaida ya binadamu hakuna aliyekamilika mazui yalikuwa mengi kuliko Madhaifu, Lissu mara baada ya kumbwaga Mwamba TUOMBE RADHI Watanzania Tutakusamehe.
Uchaguzi mwema.
Magufuli alitenda Mengi Mazuri lakini kama ilivyokawaida ya binadamu hakuna aliyekamilika mazui yalikuwa mengi kuliko Madhaifu, Lissu mara baada ya kumbwaga Mwamba TUOMBE RADHI Watanzania Tutakusamehe.
Uchaguzi mwema.