Lissu ulisema tutashitakiwa MIGA

Lissu ulisema tutashitakiwa MIGA

Mkuu ilitakiwa useme ikumbukwe mikataba hii ya kinyonyaji ilipitishwa na Serikali ya CCM,
Unahesabu miaka!! 😂 eti miwili, CCM ni Majinga asee..
Ulimjibu vizuru kabla ya ccm kufanya mabadiliko ya sheria walitskiwa kutaja watu waliongia mikataba mibovu kuwakama na kufulisi malizao
 
Habari.

Inaelekea miaka miwili sasa tangu ndugu yetu na mwanasheria aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania alipolitisha taifa kwamba kama likithubutu kubadili sheria na mikataba ya madini basi litakiona cha moto kwa kushitakiwa MIGA na kulipa mabilioni ya faini!.

Ikumbukwe sekeseke la kubadili sheria na mikataba yote ya kinyonyaji kwenye madini lilianzishwa na rais Magufuli baada ya kuona taifa halinufaiki chochote, wapinzani wakiongozwa na Lisu walipinga vikali hatua hii!!

Miaka miwili baada ya kubadili sheria na mikataba hatujashitakiwa MIGA kama tulivyoahidiwa na mwanasheria tuliyemsomesha kwa kodi zetu Lisu!! badala yake tumeanza kuona matunda ya kubadili sheria baada ya kuanzishwa masoko ya madini na hivi karibuni kuna mchimbaji mdogo huko Shinyanga ameuza almasi yake kwa zaidi ya billion 3!

Je kama tungesikiliza ushauri wa LISSU huyo mchimbaji mdogo angeipata wapi hiyo billioni 3?
Jamaa yupo anatete mkataba wa DPw,wapo wengi kama huyu Juha wamesoma upotoshaji,muda umewaumbua wamehama jf wako Twitter.
 
Huyu ana laana ya Magufuli
Wavivu wa kusoma kama wewe ni mzigo kwa taifa na sasa mlimpata mtu wa kwenu mkacheza tribal card mwisho mkapata"mtu wetu syndrome"

Alipovimba kichwa dikteta uchwara akadhani sheria na katiba ya Tanzania alizovunja ndio atavunja sheria za kimataifa mwisho wa siku kaondoka ila deni la upuuzi wa kutosikiliza ushauri wa wanasheria unaigharimu nchi bado.

Huko ICSID nchi ikapigwa mvua hapo kabla ya March 30, inatakiwa $30 M zilipwe tena baada ya mwaka jana

 
Wavivu wa kusoma kama wewe ni mzigo kwa taifa na sasa mlimpata mtu wa kwenu mkacheza tribal card mwisho mkapata"mtu wetu syndrome"

Alipovimba kichwa dikteta uchwara akadhani sheria na katiba ya Tanzania alizovunja ndio atavunja sheria za kimataifa mwisho wa siku kaondoka ila deni la upuuzi wa kutosikiliza ushauri wa wanasheria unaigharimu nchi bado.

Huko ICSID nchi ikapigwa mvua hapo kabla ya March 30, inatakiwa $30 M zilipwe tena baada ya mwaka jana

Mkuu iyo M30 ni awamu moja ziko awamu 3. Tanzania iliamua kulipa milion 90 USD kwa kuwa kulikuwa na hatari ya kudaiwa dola za Marekani milioni 109.5 kama ilivyokuwa imetolewa na ICSID mwezi Februari 2024. Malipo haya yako katika vipande vikuu vitatu, na Tanzania itakuwa na muda hadi march 2025 kukamilisha malipo hayo. Hawa watu hawaelewi kama kuna madeni makubwa tunalipa kwa ujinga wa mtu mmoja asiye sikiliza wataalamu
 
Mkuu iyo M30 ni awamu moja ziko awamu 3. Tanzania iliamua kulipa milion 90 USD kwa kuwa kulikuwa na hatari ya kudaiwa dola za Marekani milioni 109.5 kama ilivyokuwa imetolewa na ICSID mwezi Februari 2024. Malipo haya yako katika vipande vikuu vitatu, na Tanzania itakuwa na muda hadi march 2025 kukamilisha malipo hayo. Hawa watu hawaelewi kama kuna madeni makubwa tunalipa kwa ujinga wa mtu mmoja asiye sikiliza wataalamu
Ndio maana nimemjibu awamu ya kwanza imelipwa mwaka jana ila kabla ya March 30, $30M zinatakiwa kulipwa kwa mkupuo kadiri ya makubaliano ila haya mabendera fuata upepo hayajui wakibeba kitu kishabiki basi huyatoi.
 
Wavivu wa kusoma kama wewe ni mzigo kwa taifa na sasa mlimpata mtu wa kwenu mkacheza tribal card mwisho mkapata"mtu wetu syndrome"

Alipovimba kichwa dikteta uchwara akadhani sheria na katiba ya Tanzania alizovunja ndio atavunja sheria za kimataifa mwisho wa siku kaondoka ila deni la upuuzi wa kutosikiliza ushauri wa wanasheria unaigharimu nchi bado.

Huko ICSID nchi ikapigwa mvua hapo kabla ya March 30, inatakiwa $30 M zilipwe tena baada ya mwaka jana

Nenda kapande SGR sasa kenge wewe
 
Habari.

Inaelekea miaka miwili sasa tangu ndugu yetu na mwanasheria aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania alipolitisha taifa kwamba kama likithubutu kubadili sheria na mikataba ya madini basi litakiona cha moto kwa kushitakiwa MIGA na kulipa mabilioni ya faini!.

Ikumbukwe sekeseke la kubadili sheria na mikataba yote ya kinyonyaji kwenye madini lilianzishwa na rais Magufuli baada ya kuona taifa halinufaiki chochote, wapinzani wakiongozwa na Lisu walipinga vikali hatua hii!!

Miaka miwili baada ya kubadili sheria na mikataba hatujashitakiwa MIGA kama tulivyoahidiwa na mwanasheria tuliyemsomesha kwa kodi zetu Lisu!! badala yake tumeanza kuona matunda ya kubadili sheria baada ya kuanzishwa masoko ya madini na hivi karibuni kuna mchimbaji mdogo huko Shinyanga ameuza almasi yake kwa zaidi ya billion 3!

Je kama tungesikiliza ushauri wa LISSU huyo mchimbaji mdogo angeipata wapi hiyo billioni 3?
Mbona zile noah zetu hatukupewa?
 
Back
Top Bottom