nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
TRILION 490..๐๐๐๐
๐
๐๐๐nakumbuka kwenye kipindi cha business cha CNN walivyosoma hiyo habari ya madai ya tume ya kina kabudi walilipuka kicheka wakasema it is ten times the budget of NASA.akaahidiwa kishika uchumba cha bilioni 700 harakaharaka akasema anazihitaji,sijui zilikwua ziende wapi yarabi toba yaani toka 190 billion dollars to 300 usd millions na bado hata shilling haijatoka leo some fools have the audacity to make jokes kwa Lissu,this shithole country is full of Imbeciles and drugged zombies