Lissu ulisema tutashitakiwa MIGA

Lissu ulisema tutashitakiwa MIGA

Habari.

Inaelekea miaka miwili sasa tangu ndugu yetu na mwanasheria aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania alipolitisha taifa kwamba kama likithubutu kubadili sheria na mikataba ya madini basi litakiona cha moto kwa kushitakiwa MIGA na kulipa mabilioni ya faini!.

Ikumbukwe sekeseke la kubadili sheria na mikataba yote ya kinyonyaji kwenye madini lilianzishwa na rais Magufuli baada ya kuona taifa halinufaiki chochote, wapinzani wakiongozwa na Lisu walipinga vikali hatua hii!!

Miaka miwili baada ya kubadili sheria na mikataba hatujashitakiwa MIGA kama tulivyoahidiwa na mwanasheria tuliyemsomesha kwa kodi zetu Lisu!! badala yake tumeanza kuona matunda ya kubadili sheria baada ya kuanzishwa masoko ya madini na hivi karibuni kuna mchimbaji mdogo huko Shinyanga ameuza almasi yake kwa zaidi ya billion 3!

Je kama tungesikiliza ushauri wa LISSU huyo mchimbaji mdogo angeipata wapi hiyo billioni 3?
Tatizo ni kuwa sifa ya mwana-CCM ni kutokutumia ubongo wake. Tundu Lissu alisema the obvious ila akili zenu za kuazima, you can't perceive even the naked truth. Mwenye kusoma na aelewe.
"In the absence of a final deal with Tanzania, Acacia is expecting to go ahead with an international arbitration hearing in July, with an outcome expected by the end of this year [2019]."
The East African | Acacia Buy-Out Proposal
 
Barrick ndio wa kwenda arbitration sio Acacia, kwa sababu hawatambuliki kisheria. Sasa kama wao Acacia wanashindwa hata kuelewana na mama yao (Barrick) huko mahakamani watakwenda kama nani?

Hii itakuwa kama kesi ya Mpangaji aliyepangishwa na Mpangaji dhidi ya Mwenye Nyumba 🙂
Tatizo ni kuwa sifa ya mwana-CCM ni kutokutumia ubongo wake. Tundu Lissu alisema the obvious ila akili zenu za kuazima, you can't perceive even the naked truth. Mwenye kusoma na aelewe.
"In the absence of a final deal with Tanzania, Acacia is expecting to go ahead with an international arbitration hearing in July, with an outcome expected by the end of this year [2019]."
The East African | Acacia Buy-Out Proposal
 
Habari.

Inaelekea miaka miwili sasa tangu ndugu yetu na mwanasheria aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania alipolitisha taifa kwamba kama likithubutu kubadili sheria na mikataba ya madini basi litakiona cha moto kwa kushitakiwa MIGA na kulipa mabilioni ya faini!.

Ikumbukwe sekeseke la kubadili sheria na mikataba yote ya kinyonyaji kwenye madini lilianzishwa na rais Magufuli baada ya kuona taifa halinufaiki chochote, wapinzani wakiongozwa na Lisu walipinga vikali hatua hii!!

Miaka miwili baada ya kubadili sheria na mikataba hatujashitakiwa MIGA kama tulivyoahidiwa na mwanasheria tuliyemsomesha kwa kodi zetu Lisu!! badala yake tumeanza kuona matunda ya kubadili sheria baada ya kuanzishwa masoko ya madini na hivi karibuni kuna mchimbaji mdogo huko Shinyanga ameuza almasi yake kwa zaidi ya billion 3!

Je kama tungesikiliza ushauri wa LISSU huyo mchimbaji mdogo angeipata wapi hiyo billioni 3?
Lisu ana kipaji cha upotoshaji na kwa bahati nzuri sana au mbaya amepata sehemu nzuri inayomfaa, kuendesha uongo wake Chadema.
Hivi kweli hakuna kesi za wawekezaji dhidi ya serikali huko ughaibuni ?!. Au mnajifariji ?!
 
Unadhani wazungu hua wanakurupuka kama nyie?

Wanajipanga,wanaandaa charges tu,ikifika muda wa ku-strike,niggas you are in deep shit!

Nyie subirini...mzungu hua asahau kitu mzee!
Kumuogopa mtu kisa kakuzid kitu flan Ni utumwa
 
Kumuogopa mtu kisa kakuzid kitu flan Ni utumwa
Nani kamuogopa nani?

Kuna mahali mtu kaogopa mtu hapo au tuna state the true behaviour ya mtu?

Kama mtu ni tajiri kwanini usiseme tajiri?Unaogopa kusema ni tajiri eti utaonekana unamuogopa?

Kwanini unajijengea reality ambayo haipo wakati ukweli upo?Ili ujiridhishe kwa false assumption ili iweje?

Kama mtu ni mrefu state kabisa ni mrefu sio una state uongo eti ni mfupi ili kuridhisha upumbavu ulionao kwenye ubongo wako kwa kujijengea illusion.

Kusema ukweli miaka hii imekua ni kazi sana....it takes balls kusema au ku-state factual explanation of something au someone...sijui kwanini!
 
Barrick ndio wa kwenda arbitration sio Acacia, kwa sababu hawatambuliki kisheria. Sasa kama wao Acacia wanashindwa hata kuelewana na mama yao (Barrick) huko mahakamani watakwenda kama nani?

Hii itakuwa kama kesi ya Mpangaji aliyepangishwa na Mpangaji dhidi ya Mwenye Nyumba 🙂
Nadhani hayo mtaieleza arbitration court wewe na Pombe. On your second point, Barrick kuwekeza Acacia hakuwaondolei Acacia status yao kama legal person. Kwa hiyo wanaweza kwenda mahakamani watakavyo.
 
Habari.

Inaelekea miaka miwili sasa tangu ndugu yetu na mwanasheria aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania alipolitisha taifa kwamba kama likithubutu kubadili sheria na mikataba ya madini basi litakiona cha moto kwa kushitakiwa MIGA na kulipa mabilioni ya faini!.

Ikumbukwe sekeseke la kubadili sheria na mikataba yote ya kinyonyaji kwenye madini lilianzishwa na rais Magufuli baada ya kuona taifa halinufaiki chochote, wapinzani wakiongozwa na Lisu walipinga vikali hatua hii!!

Miaka miwili baada ya kubadili sheria na mikataba hatujashitakiwa MIGA kama tulivyoahidiwa na mwanasheria tuliyemsomesha kwa kodi zetu Lisu!! badala yake tumeanza kuona matunda ya kubadili sheria baada ya kuanzishwa masoko ya madini na hivi karibuni kuna mchimbaji mdogo huko Shinyanga ameuza almasi yake kwa zaidi ya billion 3!

Je kama tungesikiliza ushauri wa LISSU huyo mchimbaji mdogo angeipata wapi hiyo billioni 3?
Hiyo Mikataba ya kinyonyaji aliyo sign Lissu ilite tuipitie hapa.
 
Zina jenga chato. . Wana mpango wa kujenga uwanja wa mpira wa kimataifa. .ifahamike kwamba pesa hizo zime tumika bila ya kuidhinishwa na bunge. . Bado Kuna pesa nyingine zilitumika kwa kuwa nunua wapinzani
Aiseee,trl 154 ziko wap?
 
Aiseee,trl 154 ziko wap?

Yes zile dola bilioni 190! Watu wengine kichwani hamna kitu kabisa. Ona tulivyo kwama kwenye sector ya madini then mpuuzi mmoja anakwambia tumefanikiwa. Anagalia watu over 4,000 wamepunguzwa kazi hamna ajira etc etc
 
Yes zile dola bilioni 190! Watu wengine kichwani hamna kitu kabisa. Ona tulivyo kwama kwenye sector ya madini then mpuuzi mmoja anakwambia tumefanikiwa. Anagalia watu over 4,000 wamepunguzwa kazi hamna ajira etc etc
Miga miga lini?
 
Hii ni aibu kubwa sana kwa Tundu Lisu na genge lake
IMG_20200124_120522.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha upumbavu...

Wazungu ni watu kama walivyo wewe na mimi

siwezi wadharau as if wao ni wanyama....

Mpumbavu kama wewe ndie unaeweza fanya reverse racism!

Wazungu wana reputation ya kua efficient kwa wayafanyayo kama sisi Waafrika tulivyo na reputation ya kua wazembe,sio generalization ya wote,sio wote..

Ninapozungumzia reputations,wewe unafungua matako unaongea moshi mtupu sijui kwa faida ya nani?

Wazungu hao hao wakikupa msaada unawasifia,wazungu hao hao wakikupeleka mahakamani kudai maslahi yao tayari washakua majitu?!!!

Get the fvck outta here!

Usiwe na double standard,treat everyone equal,wawe na madai au wasiwe na madai!
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sidhani kama huyu mwana alirudi kwenye uzi wake
 
Mse'nge wewe, naona umeanza matusi, cho'ko mkubwa! Jibu swali ! Ulitaka Acacia aende mahakamani akafanye nini wakati hadi sasa yeye ndie winner? Akili fupi ndo maana unashindwa kuelewa mambo madogo kama haya, mbwa wewe!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1544]
 
Back
Top Bottom