Uchaguzi 2020 Lissu umati usikudanganye, wengi hawajajiandikisha

Uchaguzi 2020 Lissu umati usikudanganye, wengi hawajajiandikisha

Yani huwaga najiuliza sipati jibu nikwanini Watanzania ni wagumu wakuelewaa. Mateso yoooteee tuliyoyapata kwahili jitu lakutishaa ni kwanini tusiamke usingizinii.

Lissu ndio muhimu tuangalie maisha yalivyomagumuu tuache ujinga haya nimaishaa sio Simba na Yanga jamaniiiiii.
 
Wafuasi wa Magu wajiandijishe au la.Yeye ataendelea kuwa Raisi,hakuna mjinga atakatekubali kuweka nchi Rehani kwa vyama visivyojitambua.Hata Tume ya uchaguzi ikosee na kumtangaza mgombea wenu ndiye mshindi,Tundu Lissu atapinga na kwenda mahakamani kwamba Tume imekosea yeye hakustahili kushinda,hayupo tayari kuwa Raisi maana hajajiandaa.Anaelewa kabisa anachofanya kwenye hizo kampeni ni maigizo ya Futuhi.
Nakufananisha na dada wa kazi, samahani kama utakwazika lakini ndiko unako stahili.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Umefanya utafiti gani mpaka unakuja na hoja ya kwamba kwenye umati ule watu wengi hawajajiandikisha.saa nyingine tufiche ujinga wetu kwa kotopost
 
Ila ule umati wa CCM woteee umejiandikisha?
Au watatumia yale majina ya vitabu na namba za vitambulisho wanavoandikisha makazini na mtaani?
 
Alishinda ila akamuachia Mungu, ila safari hii hakuna kumuachia Mungu. Tumekuwa tukiimba kuhusu tume huru ya uchaguzi ipatikane kwa amani, lakini ccm wanatia pamba masikioni maana wanafaidika na hii tume. Acha tufungue ukarasa mpya wa kuwa na tume huru kwa njia mbadala.
Maneno yenu huwa yanaishi humu humu jukwaani, ni kama simba wa kwenye karatasi.

Mange Kimambi aliwahamasisha mtoke nje muandamane, kuna aliyepeleka pua yake mtaani!.

Lissu hana uwezo wa kushindana na JPM aliyemaliza awamu yote ya kwanza akiwa karibu na wananchi waliompigia kura.
 
Kitu cha kuzingatia huko ccm ni kuwa msiibe kura round hii.

Kitu kinachompa kiburi Lissu ni namna ccm wanavyoshindaga kwenye uchaguzi.

Na kama mkiacha hio mbinu yenu basi nchi imeenda na mkiiba KINAWAKA
 
Maneno yenu huwa yanaishi humu humu jukwaani, ni kama simba wa kwenye karatasi.

Mange Kimambi aliwahamasisha mtoke nje muandamane, kuna aliyepeleka pua yake mtaani!.

Lissu hana uwezo wa kushindana na JPM aliyemaliza awamu yote ya kwanza akiwa karibu na wananchi waliompigia kura.

Ahaaaa ahaaaa, eti Mange Kimambi, kwani Mange alikuwa hapa nchini, na alikuwa anagombea urais? JPM angekuwa karibu na wapiga kura watu wangetekwa, kuuwawa na kushambuliwa kwa risasi?
 
Watumishi wote wana hasira na jiwe, wanasema kura ni kwa Lissu tu. Hadi askari
Kwani jiwe kakosea wapi?
 
Watu wengi wana vitambulisho vya mpiga kura vya 2015. Kabla ya kitambulisho cha NIDA kitambulisho cha mpiga kura kilikuwa hot cake na bado wengi wanavyo. Ni kwenda tu kwenye eneo walipojiandikisha

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Wafuasi wa chadema na Lissu,wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba,uchaguzi wa october utawapatia ushindi na kwa Mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.

Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa Chadema endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu,ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.

Sababu ya kwanza ni kwamba,Watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano,hawajajiandikisha,na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura,kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.

Pili,vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi, na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.

Tatu,Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.
Wewe acha hizo, safari hii wataalamu wa hesabu wamechambua idadi ya wapiga kura 2020 na wamesema kwa mujibu wa takwimu za tume ya uchaguzi inaonekana 100% ya watu wenye sifa za kupiga kura wamejiandikisha. Hii imeonesha kwa zoezi la uandikishwaji wapiga kura tumevunja record tangu uhuru, kwamba haijatokea toka tumepata uhuru na kufanya mazoezi haya kila baada ya miaka mitano!.
 
Wafuasi wa chadema na Lissu,wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba,uchaguzi wa october utawapatia ushindi na kwa Mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.

Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa Chadema endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu,ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.

Sababu ya kwanza ni kwamba,Watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano,hawajajiandikisha,na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura,kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.

Pili,vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi, na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.

Tatu,Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.

Na pasingekuwa na Umati ungesemaje?

Amandla...
 
Wafuasi wa chadema na Lissu,wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba,uchaguzi wa october utawapatia ushindi na kwa Mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.

Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa Chadema endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu,ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.

Sababu ya kwanza ni kwamba,Watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano,hawajajiandikisha,na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura,kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.

Pili,vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi, na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.

Tatu,Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.
Jinsi mambo yalivyo sidhani kama kuna propaganda wananchi wataielewa.Mmechelewa ssna
 
Kwani wanajifunga wenyewe mpuuzi wewe ?!. Kesi zenyewe za kubambikiza hizo za uchochezi uchwara !!

Ficha aibu. Huko Ccm watu hufuata masilahi , nothing more

Wapinzani wapo na wataendelea kuwepo lakini Chama Cha Chadema kwisney yamebaki mabox tuu.
 
Wafuasi wa Magu wajiandijishe au la.Yeye ataendelea kuwa Raisi,hakuna mjinga atakatekubali kuweka nchi Rehani kwa vyama visivyojitambua.Hata Tume ya uchaguzi ikosee na kumtangaza mgombea wenu ndiye mshindi,Tundu Lissu atapinga na kwenda mahakamani kwamba Tume imekosea yeye hakustahili kushinda,hayupo tayari kuwa Raisi maana hajajiandaa.Anaelewa kabisa anachofanya kwenye hizo kampeni ni maigizo ya Futuhi.
Kweli nimeamini kuna watu wapumbavu. Wewe ni mmoja wao.
 
Wafuasi wa chadema na Lissu,wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba,uchaguzi wa october utawapatia ushindi na kwa Mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.

Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa Chadema endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu,ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.

Sababu ya kwanza ni kwamba,Watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano,hawajajiandikisha,na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura,kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.

Pili,vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi, na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.

Tatu,Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za w tuananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.
Hata umati wa Magufuli ni mkubwa na si wote watakaompa kura Magufuli. Isitoshe wa Magufuli umati wake unasababishwa na FIESTA ya akina Ali Kiba na Diamond wakati nyomi ya Tundu Lissu inasababishwa na msukumo wa roho.
IMG_20200927_094140.jpg
 
Halafu wewe utapata faida asipo pata urais,watanzania sijui hizi akili tunatoa wapi?.au utakuwa unaenda ikulu kunywa chai na Magufuli?
 
Wapinzani wapo na wataendelea kuwepo lakini Chama Cha Chadema kwisney yamebaki mabox tuu.
Kama mmetumia mpaka hazina kuimaliza na bado mmeshindwa !!. Utatumia mbinu ipi ?!. Labda msajili nayo haiwezi kuwasaidia kwa sababu upinzani umo mioyoni mwa watu si chama.
 
Wafuasi wa chadema na Lissu,wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba,uchaguzi wa october utawapatia ushindi na kwa Mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.

Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa Chadema endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu,ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.

Sababu ya kwanza ni kwamba,Watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano,hawajajiandikisha,na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura,kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.

Pili,vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi, na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.

Tatu,Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.
Watanzania wapo smart Sana. Lissu anadhani kufokafoka jukwaani ndio kuishinda CCM, atachemsha. Chadema ya 2020 mdebwedo kabisa,hoja zenu wananchi walio wengi hawazielewi.Ni chama kinachotaka madaraka tu ili kitekeleze agenda zao ovu. Najua mmeshashindwa, kabisa. JPM 5 tena.
 
Back
Top Bottom