Nakufananisha na dada wa kazi, samahani kama utakwazika lakini ndiko unako stahili.Wafuasi wa Magu wajiandijishe au la.Yeye ataendelea kuwa Raisi,hakuna mjinga atakatekubali kuweka nchi Rehani kwa vyama visivyojitambua.Hata Tume ya uchaguzi ikosee na kumtangaza mgombea wenu ndiye mshindi,Tundu Lissu atapinga na kwenda mahakamani kwamba Tume imekosea yeye hakustahili kushinda,hayupo tayari kuwa Raisi maana hajajiandaa.Anaelewa kabisa anachofanya kwenye hizo kampeni ni maigizo ya Futuhi.
Lowassa hakushinda
Maneno yenu huwa yanaishi humu humu jukwaani, ni kama simba wa kwenye karatasi.Alishinda ila akamuachia Mungu, ila safari hii hakuna kumuachia Mungu. Tumekuwa tukiimba kuhusu tume huru ya uchaguzi ipatikane kwa amani, lakini ccm wanatia pamba masikioni maana wanafaidika na hii tume. Acha tufungue ukarasa mpya wa kuwa na tume huru kwa njia mbadala.
Maneno yenu huwa yanaishi humu humu jukwaani, ni kama simba wa kwenye karatasi.
Mange Kimambi aliwahamasisha mtoke nje muandamane, kuna aliyepeleka pua yake mtaani!.
Lissu hana uwezo wa kushindana na JPM aliyemaliza awamu yote ya kwanza akiwa karibu na wananchi waliompigia kura.
Wewe acha hizo, safari hii wataalamu wa hesabu wamechambua idadi ya wapiga kura 2020 na wamesema kwa mujibu wa takwimu za tume ya uchaguzi inaonekana 100% ya watu wenye sifa za kupiga kura wamejiandikisha. Hii imeonesha kwa zoezi la uandikishwaji wapiga kura tumevunja record tangu uhuru, kwamba haijatokea toka tumepata uhuru na kufanya mazoezi haya kila baada ya miaka mitano!.Wafuasi wa chadema na Lissu,wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba,uchaguzi wa october utawapatia ushindi na kwa Mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.
Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa Chadema endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu,ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.
Sababu ya kwanza ni kwamba,Watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano,hawajajiandikisha,na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura,kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.
Pili,vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi, na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.
Tatu,Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.
Wafuasi wa chadema na Lissu,wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba,uchaguzi wa october utawapatia ushindi na kwa Mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.
Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa Chadema endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu,ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.
Sababu ya kwanza ni kwamba,Watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano,hawajajiandikisha,na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura,kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.
Pili,vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi, na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.
Tatu,Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.
Jinsi mambo yalivyo sidhani kama kuna propaganda wananchi wataielewa.Mmechelewa ssnaWafuasi wa chadema na Lissu,wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba,uchaguzi wa october utawapatia ushindi na kwa Mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.
Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa Chadema endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu,ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.
Sababu ya kwanza ni kwamba,Watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano,hawajajiandikisha,na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura,kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.
Pili,vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi, na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.
Tatu,Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.
Hakushinda au hakutangazwaHakushinda
Kwani wanajifunga wenyewe mpuuzi wewe ?!. Kesi zenyewe za kubambikiza hizo za uchochezi uchwara !!
Ficha aibu. Huko Ccm watu hufuata masilahi , nothing more
Kweli nimeamini kuna watu wapumbavu. Wewe ni mmoja wao.Wafuasi wa Magu wajiandijishe au la.Yeye ataendelea kuwa Raisi,hakuna mjinga atakatekubali kuweka nchi Rehani kwa vyama visivyojitambua.Hata Tume ya uchaguzi ikosee na kumtangaza mgombea wenu ndiye mshindi,Tundu Lissu atapinga na kwenda mahakamani kwamba Tume imekosea yeye hakustahili kushinda,hayupo tayari kuwa Raisi maana hajajiandaa.Anaelewa kabisa anachofanya kwenye hizo kampeni ni maigizo ya Futuhi.
Hata umati wa Magufuli ni mkubwa na si wote watakaompa kura Magufuli. Isitoshe wa Magufuli umati wake unasababishwa na FIESTA ya akina Ali Kiba na Diamond wakati nyomi ya Tundu Lissu inasababishwa na msukumo wa roho.Wafuasi wa chadema na Lissu,wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba,uchaguzi wa october utawapatia ushindi na kwa Mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.
Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa Chadema endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu,ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.
Sababu ya kwanza ni kwamba,Watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano,hawajajiandikisha,na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura,kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.
Pili,vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi, na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.
Tatu,Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za w tuananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.
Kama mmetumia mpaka hazina kuimaliza na bado mmeshindwa !!. Utatumia mbinu ipi ?!. Labda msajili nayo haiwezi kuwasaidia kwa sababu upinzani umo mioyoni mwa watu si chama.Wapinzani wapo na wataendelea kuwepo lakini Chama Cha Chadema kwisney yamebaki mabox tuu.
Watanzania wapo smart Sana. Lissu anadhani kufokafoka jukwaani ndio kuishinda CCM, atachemsha. Chadema ya 2020 mdebwedo kabisa,hoja zenu wananchi walio wengi hawazielewi.Ni chama kinachotaka madaraka tu ili kitekeleze agenda zao ovu. Najua mmeshashindwa, kabisa. JPM 5 tena.Wafuasi wa chadema na Lissu,wamekuwa wakipagawa na kuota kwamba,uchaguzi wa october utawapatia ushindi na kwa Mara ya kwanza toka tujipatie Uhuru nchi itaongozwa na upinzani.
Hii ni kutokana na Umati ambao umekuwa ukijitokeza kwenye kampeni za ugombea urais kwa mheshimiwa Tundu Lissu. Niwaambie wafuasi wa Chadema endeleeni kufurahia ngojera za mgombea wenu,ila Urais mtaendelea kuusikia hadi 2925.
Sababu ya kwanza ni kwamba,Watanzania wengi mnaowaona kwenye mikutano,hawajajiandikisha,na hata hao waliojiandikisha, kwenye uchaguzi wa mwaka huu hawataamka kwenda kupiga hiyo kura,kwa vile inajulikana wazi Mjomba Magu anarudi pale Chamwino na Magogoni.
Pili,vyama vya upinzani vyote vimeshapoteza mvuto kwa wananchi, na kuikubali CCM na mgombea wake, kwa yale Serikali ya CCM iliyoyafanya na yanaonekana kwa macho na hata kuyagusa kwa mkono.
Tatu,Viongozi wa vyama vya upinzani wameshapoteza imani kwa wananchi na hasa Wasomi na waelewa wa mambo,ambao miaka michache iliyopita ndiyo tulikuwa tukiunga mkono mageuzi, kwa kuona CCM ni ya watu wasiojielewa. Kupotea kwa imani hii kumetokana na viongozi wenyewe wa vyama vya upinzani kufanya kama taasisi zao, na si za wananchi. Tazama Mbowe na Chadema, Zitto na ACT, hawana tofauti na Mzee Mrema wa TLP, au NCCR ya Mbatia.Ndiyo maana Dr Slaa aliyaona haya mapema akaamua kukaa pembeni.Chadema na wafuasi wenu msijidanganye.