Uchaguzi 2020 Lissu umegusa moyo wa watu wa Tarime

Uchaguzi 2020 Lissu umegusa moyo wa watu wa Tarime

sasa unaongea mambo ya 2003 wakati huu wa magu. Ngoja magu afike huko utajionea mwenyewe. wenyewe wanajua kinachotokea kwenye sector ya madini. Time will tell
Hapa anachukua kura 99.8% Viva Tundu Lissu!
 
Mwenyezi Mungu ampe Lissu Maisha marefu na afya njema. #NiYeye2020

Akiwa huko Tarime, Lissu alielezea namna alivyokwenda Tarime kwa mara ya kwanza mwaka 2003 ambapo alikuta wananchi wengi wamebambikiziwa kesi na wengine kufungwa kifungo hadi cha miaka 30 Jela kwa kupinga kuporwa migodi huko Nyamongo na wengine kuporwa ardhi zao. Huku akiongea kwa kutaja majina ya wahanga wa mkasa huo, Lissu anasema alifanikiwa kuwatoa jela watu wanaofikia 466.

Takwimu hizo na kitendo hicho kimewafurahisha sana wana Tarime na kwa kweli sina shaka kuwa kama Leo kura zinapigwa huko Tarime kati ya Lissu na Magufuli ni dhahiri Lissu atamgaragaza vibaya Magufuli.

Na siyo Tarime tu mkoa wa Mara mzima kuna uwezekano mkubwa ukaenda upinzani.

 
Akiwa huko Tarime, Lissu alielezea namna alivyokwenda Tarime kwa mara ya kwanza mwaka 2003 ambapo alikuta wananchi wengi wamebambikiziwa kesi na wengine kufungwa kifungo hadi cha miaka 30 Jela kwa kupinga kuporwa migodi huko Nyamongo na wengine kuporwa ardhi zao. Huku akiongea kwa kutaja majina ya wahanga wa mkasa huo, Lissu anasema alifanikiwa kuwatoa jela watu wanaofikia 466.

Takwimu hizo na kitendo hicho kimewafurahisha sana wana Tarime na kwa kweli sina shaka kuwa kama Leo kura zinapigwa huko Tarime kati ya Lissu na Magufuli ni dhahiri Lissu atamgaragaza vibaya Magufuli.

Na siyo Tarime tu mkoa wa Mara mzima kuna uwezekano mkubwa ukaenda upinzani.


Bila kunajisi sanduku la kura siku ya uchaguzi , ushindi ni asubuhi tu.
 
Lissu yuko vizuri sana kwa watu wa Tarime, amewatoa mbali sana kutokana na zile issue zao za kupewa maeneo ya kuchimba (wachimbaji wadogo wadogo), hili linamuongezea nguvu sana kwenye kampeni zake, sio huko Tarime pekee, bali kwa watanzania wote kwasababu moyo aliouonesha kwa hao jamaa kuwapigania mpaka wakatoka jela, ndio moyo wa mwanadamu unavyotakiwa kuwa.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Lissu alipona zile risasi 36 zilizolenga kumuua kwani Mungu ana mipango nae ya kuja kuwakomboa wa- Tanzania kupitia Komredi Lissu. Tusichezee tunu hii tuliyopewa na Mola wetu.
 
Back
Top Bottom