Kusema ukweli sitegemei Lissu atoe kauli alizozitoa kuwa CHADEMA siyo mama yake, ni kweli wote tunafahamu hivyo lakini angalia historia yako kwenye upinzani, na hadi ulipopigwa risasi.
Nadhani hakuna aliyeteseka na kupigania haki za watanzania kama wewe. Safari ya mapambano ni ndefu na ngumu ina "dynamics" nyingi. Wewe ni Nelson Mandela wetu usiogope mtu awe ndani ya chadema au kwingine popote,wasikilize wananchi wanasemaje. Fullstop.
Pia Soma
- Kuelekea 2025 - Lissu: CHADEMA ikiondoka kwenye misingi iliyonifanya nijiunge nacho, nitaondoka. CHADEMA siyo mama yangu wala dini yangu
Nadhani hakuna aliyeteseka na kupigania haki za watanzania kama wewe. Safari ya mapambano ni ndefu na ngumu ina "dynamics" nyingi. Wewe ni Nelson Mandela wetu usiogope mtu awe ndani ya chadema au kwingine popote,wasikilize wananchi wanasemaje. Fullstop.
Pia Soma
- Kuelekea 2025 - Lissu: CHADEMA ikiondoka kwenye misingi iliyonifanya nijiunge nacho, nitaondoka. CHADEMA siyo mama yangu wala dini yangu