Pre GE2025 Lissu usijitoe kwenye kinyang'anyiro, mshindani wako hofu anayo. Jitokeze na panga timu yako kuwapa hari wajumbe wanaokuunga mkono

Pre GE2025 Lissu usijitoe kwenye kinyang'anyiro, mshindani wako hofu anayo. Jitokeze na panga timu yako kuwapa hari wajumbe wanaokuunga mkono

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Lisu wape nguvu wajumbe wanaokuunga Mkono. Usikubali kuachia wape nguvu.

Onyesha wewe ni nani.

Wape nguvu wale waliotishwa na kukatishwa tamaa na Mbwembwe mshindani wako kwenye Media.

Zile ni mbwembwe tu.

Mbowe mwenyewe ana hofu. Yeye mwenyewe anaogopa. Lazima aogope aibu inayoenda kumpata. Lakini hayakulaumu kwa sababu ametaka mwenyewe. Aibu ya kujitakia hiyo.

Kabiliana naye inavyomstahili. Shambulia kadiri anavyokuja.

Tumia wafuasi wako kukabiliana na mashambulizi ya mtandaoni na kwenye Media. Ili kutowapa ubaridi wale wajumbe wenye Moto mdogo.

Wewe ni kama Daudi. Goliath lazima adondoke. Jikaze! Kazana! Ongeza uhodari na mbinu ili kuongoza jeshi lako la wajumbe.

Wewe ni kama Gideoni.

Ukitoka kwenye Press usionyeshe hata chembe Moja ya woga, usilalamike, wla kuonyesha kuwa mshindani wako kapewa upendeleo Fulani.

Waambie wajumbe wako;
"Tunaenda kuandika Historia isiyosahaulika. Ikumbukeni siku hii ya Leo. Hii itakuwa siku kubwa. Tayari mmeona WA upande ule walivyo na hofu juu yetu. Wanatapatapa!

Hahahahaa! Wanajua hawana uwezo wa kutushinda. Kwa sababu Sisi ni watu imara. Mioyo yetu inathamani kubwa kiasi cha fedha kushindwa kutununua.

Mmesikia wakisema Sisi ni wabangaizaji, ni kweli Sisi tunabangaiza lakini wameshindwa kutununua, lakini wao ambao sio wabangaizaji wanabei ndio maana wamenunuliwa kama bidhaa.

Sisi tupo kwaajili ya watu kulinda utu wao. Lakini wao wapo kwaajili ya pesa ndio maana wakauza UTU wao na wanataka kuuza utu wa Watanzania.

Vipi! Mmesikia wakisema wametoa pesa kukiendesha chama, wamefilisiwa, lakini vipi kuhusu Sisi na familia zetu. Je pesa inathamani kuliko damu za wanaharakati wetu waliouwa, waliotiwa vilema, waliopotezwa,
Wao walitoa pesa wakavuna pesa. Je Sisi tulitoa damu na roho zetu kwenye chama hiki tulipata kitu gani?

Na hatuna tunachohitaji zaidi ya kukomboa Haki za watu wetu wanyonge. Watu hao wapo chamani na wengine sio WA chama hiki

Pesa Zao haziwezi kuwa na thamani kuliko maumivu na roho za wenzetu zilizopotea.

Wamewadharau Watanzania ambao wengi wetu ni wabangaizaji.

Mawazo hayo ndio hutumika kuwanyima Haki wanyonge kwa kutokana na umaskini wao.

Tunajua wao bila Rushwa hawana uwezo wowote.
Tunajua wao bila Kutafuta watu dhaifu wanaonunulika hawana uwezo wowote ule.

Nendeni mkapige Kura mkawaonyeshe ninyi ni wabangaizaji msio na bei, ambao hamnunuliki.

Lissu usijitoe.
 
Sasa aliyepanic ni Mbowe au Lissu?
Tusibiri boxi la kura
 
Lissu akikosa uenyekiti hiki chama kitajifia tu kama vingine
 
Wafuasi sio wapiga Kura Ndugu yangu! Nafurahi kuona demokrasia ya CHADEMA imefikia level hii. Hii inazidi kuimarisha CHADEMA

Wajumbe ndio wapiga Kura ambao Lisu anatakiwa kuwapa nguvu kuwa hii mechi wanaenda kushinda.

Wafuasi ni kama mashabiki Kazi yao ni kuhanikiza.

Mpaka kufikia hapa mashabiki au wafuasi wameshafanya sehemu Yao na Lisu anaongoza kwa wafuasi. Nafikiri hata Kura za mtandaoni umeziona.

Kinachotakiwa ni wajumbe
 
Kwema Wakuu!

Lisu wape nguvu wajumbe wanaokuunga Mkono. Usikubali kuachia.
Wape nguvu.
Onyesha wewe ni Nani.

Wape nguvu wale waliotishwa na kukatishwa tamaa na Mbwembwe mshindani wako kwenye Media.

Zile ni Mbwembwe tuu.
Mbowe mwenyewe anahofu. Yeye mwenyewe anaogopa. Lazima aogope aibu inayoenda kumpata. Lakini hayakulaumu kwa sababu ametaka mwenyewe. Aibu ya kujitakia hiyo.

Kabiliana naye inavyomstahili. Shambulia kadiri anavyokuja.

Tumia wafuasi wako kukabiliana na mashambulizi ya mtandaoni na kwenye Media. Ili kutowapa ubaridi wale wajumbe wenye Moto mdogo.

Wewe ni kama Daudi. Goliath lazima adondoke. Jikaze! Kazana! Ongeza uhodari na mbinu ili kuongoza jeshi lako la wajumbe.

Wewe ni kama Gideoni.

Ukitoka kwenye Press usionyeshe hata chembe Moja ya woga, usilalamike, wla kuonyesha kuwa mshindani wako kapewa upendeleo Fulani.

Waambie wajumbe wako;
"Tunaenda kuandika Historia isiyosahaulika. Ikumbukeni siku hii ya Leo. Hii itakuwa siku kubwa. Tayari mmeona WA upande ule walivyo na hofu juu yetu. Wanatapatapa!
Hahahahaa! Wanajua hawana uwezo wa kutushinda. Kwa sababu Sisi ni watu imara. Mioyo yetu inathamani kubwa kiasi cha fedha kushindwa kutununua.

Mmesikia wakisema Sisi ni wabangaizaji, ni kweli Sisi tunabangaiza lakini wameshindwa kutununua, lakini wao ambao sio wabangaizaji wanabei ndio maana wamenunuliwa kama bidhaa.

Sisi tupo kwaajili ya watu kulinda utu wao. Lakini wao wapo kwaajili ya pesa ndio maana wakauza UTU wao na wanataka kuuza utu wa Watanzania.

Vipi! Mmesikia wakisema wametoa pesa kukiendesha chama, wamefilisiwa, lakini vipi kuhusu Sisi na familia zetu. Je pesa inathamani kuliko damu za wanaharakati wetu waliouwa, waliotiwa vilema, waliopotezwa,
Wao walitoa pesa wakavuna pesa. Je Sisi tulitoa damu na roho zetu kwenye chama hiki tulipata kitu gani? Na hatuna tunachohitaji zaidi ya kukomboa Haki za watu wetu wanyonge. Watu hao wapo chamani na wengine sio WA chama hiki

Pesa Zao haziwezi kuwa na thamani kuliko maumivu na roho za wenzetu zilizopotea.

Wamewadharau Watanzania ambao wengi wetu ni wabangaizaji.
Mawazo hayo ndio hutumika kuwanyima Haki wanyonge kwa kutokana na umaskini wao.

Tunajua wao bila Rushwa hawana uwezo wowote.
Tunajua wao bila Kutafuta watu dhaifu wanaonunulika hawana uwezo wowote ule.

Nendeni mkapige Kura mkawaonyeshe ninyi ni wabangaizaji msio na bei, ambao hamnunuliki.

Lisu usijitoe.
Naunga mkono hoja.
P
 
Asante kwa andiko zuri fasihi imelala mahali pake...Mbowe hana "Political fan base" huko kwenye Grass Roots tofauti na Lisu bingwa wa amsha amsha za majukwaani..

kitu pekee anachojivunia ni mtandao alijitengenezea ndani unategemea mgao wa pesa ya kuhongwa na watawala hususan Mastermind Abdul Samia.
 
Asante kwa andiko zuri fasihi imelala mahali pake...Mbowe hana "Political fan base" huko kwenye Grass Roots tofauti na Lisu bingwa wa amsha amsha za majukwaani.. kitu pekee anachojivunia ni mtandao alijitengenezea ndani unategemea mgao wa pesa ya kuhongwa na watawala hususan Mastermind Abdul Samia.
Umeandika kwa hisia mno, Una uhakika kuna pesa za kuhongwa zipo? Tusiwe na ukasuku usio na maaana
 
Sawa na ndiyo maana mwenzake Mbowe kasema wakutane kwa Box ili liamue.

Hii ndiyo demokrasia ya mfano kwa CCM - anayeshindwa akubali matokeo arudi kundini ajiunge na washindi wakisukume chama mbele.

Best wishes Lissu vs Mbowe !!

Wanaotaka Mbowe ajitoe ama Lissu ajitoe hawana nia nzuri na CDM.
 
Umeandika kwa hisia mno, Una uhakika kuna pesa za kuhongwa zipo? Tusiwe na ukasuku usio na maaana
Wewe mtoto wa buku mbili utayajua wapi hayo sisi tulioanzisha Chadema tukisafiri umbali mrefu kwa baiskeli huku tumefunga bendera ya Chadema kukinadi chama kitambulike kwa watanzania baada ya kusajiriwa 1993..
 
Sawa...na ndiyo maana mwenzake Mh Mbowe kasema wakutane kwa Box ili liamue.
Hii ndiyo demokrasia ya mfano kwa CCM - anayeshindwa akubaki matokeo arudi kundini ajiunge na washindi wakisukume chama mbele.
.Best wishes Lissu vs Mbowe !!
Lissu kaweka wazi, uchaguzi ukiwa wa haki, hana tatizo na matokeo.
 
Back
Top Bottom