Pre GE2025 Lissu usijitoe kwenye kinyang'anyiro, mshindani wako hofu anayo. Jitokeze na panga timu yako kuwapa hari wajumbe wanaokuunga mkono

Pre GE2025 Lissu usijitoe kwenye kinyang'anyiro, mshindani wako hofu anayo. Jitokeze na panga timu yako kuwapa hari wajumbe wanaokuunga mkono

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sayansi ya siasa ndo inaendelea kufanya kazi wabangaizaji wezangu ,
Note
Uchaguzi ukiisha tunarudi kundini ,hakuna cha kuama chama hapa ,humu hum mpaka kieleweke
 
WApiga kelele mnashida sana, Lini Lisu kasema anajitoa kugombea uwenyekiti wa taifa chadema?

Watu mnanaokota hisia zao vijiweni wanatengeneza story.

Lisu anaufahamu mfumo wa chadema, anawafahamu wapiga kura, na aliamua kugombea hivyo hivyo, na huo ndio ujasiri tunaoutaka.

Sasa ndio unaitwa uchaguzi kwasababu yupo wanayeshindana naye kwenye huo uchaguzi.

Mwanzo alikuwa katangaza nia peke yake, Mbowe alivyo jitosa ndiyo inaleta maana ya uchaguzi sasa.

Acheni uoga, afanye kampeni, na asubiri apigiwe kura, na tutangaziwe matokeo.

Mnaogopa nyie, halafu mnamsingizia Lisu.

Tunachoomba, uchaguzi uwe huru na wa haki, ili kura ndio ziamue mshindi.
 
Umeandika kwa hisia mno, Una uhakika kuna pesa za kuhongwa zipo? Tusiwe na ukasuku usio na maaana
Hawa wana jitengenezea hofu wao, halafu wanataka kila mtu aamini kuna rushwa, ukiwaomba ushahidi hawana, zaidi ya kuongeza uongo.

Hofu yao wanampa Lisu, bila sababu yoyote.

Waliishajitengenezea hisia za kutaka Mbowe asishiriki uchaguzi kisa kashikilia hiyo nafasi muda mrefu, wakasema ni kibaraka wa ccm, wakasema ni dhaifu, waangalie sasa waluvyo waongo, eti Lisu asijitoe, Lini Lisu kawaambia anataka kujitoa?

Hao hao wanasema Lisu hajatokea tangu Mbowe atangaze kugombea.

Walitaka Lusu atokee kufanya nini hasa, kupinga Mbowe asigombee, au atokee kupongeza?
 
Umeandika kwa hisia mno, Una uhakika kuna pesa za kuhongwa zipo? Tusiwe na ukasuku usio na maaana
Unataka uone ishara gani ili ujue kuwa Samia kamwaga pesa kuhakikisha swahiba wake wa drama ya "msridhiano feki" anashinda..?

Unafikiri watakuambia kuwa tumekula mulungula? Ni wewe kujiongeza tu kama tu uko timamu kichwani na unaweza kufikiria kwa uhuru wa udadisi..!
 
Hawa wana jitengenezea hofu wao, halafu wanataka kila mtu aamini kuna rushwa, ukiwaomba ushahidi hawana, zaidi ya kuongeza uongo.
Hofu yao wanampa Lisu, bila sababu yoyote.

Waliishajitengenezea hisia za kutaka Mbowe asishiriki uchaguzi kisa kashikiria hiyo nafasi muda mrefu, wakasema ni kibaraka wa ccm, wakasema ni dhaifu, waangalie sasa waluvyo waongo, eti Lisu asijitoe, Lini Lisu kawaambia anataka kujitoa?

Hao hao wanasema Lisu hajatokea tangu Mbowe atangaze kugombea.

Walitaka Lusu atokee kufanya nini hasa, kupinga Mbowe asigombee, au atokee kupongeza?
Unafikiri rushwa ni mpaka uwaone wakipeana mkono kwa mkono...?

Rushwa iko ktk sura nyingi na unaweza kuiona na kuitambua ktk sura ya namna nyingi. Hakuna mjinga anaweza kukupa rushwa barabarani...!

Mfano Tangu lini Freeman Mbowe akawa rafiki wa TBC radio & TV kwa kurusha matangazo yake ya kutangaza kuingia kwenye kinyang'anyiro...?

Na mwangalie tu siku anatangaza kugombea huku vyombo vyote vya habari vikiwa kando yake...

Kwa mtaalamu wa Psychology yeyote atajua kabisa yule wa siku ile na wa leo hadi kesho si Freeman Mbowe wa miaka minne mitano nyuma...!!

Huyu aliyesimama siku ile ni Freeman Mbowe ambaye amesha - compromise na CCM na mfumo wake wa utawala....

Huyu Freeman Mbowe amekula vya CCM na mama Abdul na hana jinsi ya kutoka ktk mtego huo. Na hata aseme kitu gani kwa sasa na hapo alipo, hayupo wa kumwamini...!!

Ni Freeman Mbowe ambaye nyuma yake iko nguvu kubwa ya dola yake inamlazimisha kufanya anayofanya sasa..

Huyu Freeman Mbowe ameshakwisha, hana lolote wa jipya kwa sasa...

Ana maagano mabaya na shetani aitwaye CCM na yanajidhihirisha ktk wajihi na matendo yake....

Mpaka hapo hutambui tu kuwa ameshapigwa nyundo ya pesa za Mama Abdul????
 
Unafikiri rushwa ni mpaka uwaone wakipeana mkono kwa mkono...?

Rushwa iko ktk sura nyingi na unaweza kuiona na kuitambua ktk sura ya namna nyingi. Hakuna mjinga anaweza kukupa rushwa barabarani...!

Mfano Tangu lini Freeman Mbowe akawa rafiki wa TBC radio & TV kwa kurusha matangazo yake ya kutangaza kuingia kwenye kinyang'anyiro...?

Na mwangalie tu siku anatangaza kugombea huku vyombo vyote vya habari vikiwa kando yake...

Kwa mtaalamu wa Psychology yeyote atajua kabisa yule wa siku ile na wa leo hadi kesho si Freeman Mbowe wa miaka minne mitano nyuma...!!

Huyu aliyesimama siku ile ni Freeman Mbowe ambaye amesha - compromise na CCM na mfumo wake wa utawala....

Huyu Freeman Mbowe amekula vya CCM na mama Abdul na hana jinsi ya kutoka ktk mtego huo. Na hata aseme kitu gani kwa sasa na hapo alipo, hayupo wa kumwamini...!!

Ni Freeman Mbowe ambaye nyuma yake iko nguvu kubwa ya dola yake inamlazimisha kufanya anayofanya sasa..

Huyu Freeman Mbowe ameshakwisha, hana lolote wa jipya kwa sasa...

Ana maagano mabaya na shetani aitwaye CCM na yanajidhihirisha ktk wajihi na matendo yake....

Mpaka hapo hutambui tu kuwa ameshapigwa nyundo ya pesa za Mama Abdul????
Sasa kama huna ushahidi wa rushwa kwanini unaongelea kitu usichokuwa na ushahidi nacho?

Hisia zenu zinawapotosha sana. Ikiwa Lisu atashinda uchaguzi huu, mtakataa matokeo?!

Yani mnahofu kuliko hata mgombea mwenyewe.
 
Lissu haofii kushindwa ila Mbowe ana hofu kubwa maana chama kinatoka mikononi mwake

Sahihi Kabisa.

Hii mechi kivyovyote Mbowe kapigwa.
Akishinda Mbowe chama kinadondoka,
Akishindwa Mbowe ameshindwa lakini Walau chama Kinabaki na uhai kidogo
 
Sasa kama huna ushahidi wa rushwa kwanini unaongelea kitu usichokuwa na ushahidi nacho?

Hisia zenu zinawapotosha sana. Ikiwa Lisu atashinda uchaguzi huu, mtakataa matokeo?!

Yani mnahofu kuliko hata mgombea mwenyewe.
Huelewi kitu gani wewe kipofu wa macho na ufahamu pia..?

Unaweza kukosa ushahidi wa kimahakama wa kuona wakipeana...

Lakini hata kwa kutumia "common sense" tu uliyopewa na Mungu huwezi kutambua kuwa hapa mtu amelainishwa na kitu kidogo Nanye Go kwa kuangalia mabadiliko ya mienendo, tabia na matendo yake..?

Sikiliza bwana. Imeandikwa "utawatambua kwa matendo na mwenendo wao"

Mr. Freeman Mbowe has totally changed. Hana ujasiri tena wa kukemea maovu ya serikali hii. Hii ni ishara kuwa naye tayari ni mshiriki wa matendo hayo....

What else do you need to know to prove that the guy has been in covenant with the devil? Au hujui kuwa hongo na rushwa ya kuahidiwa wabunge na madaraka fulani huyo ni shetani..???

Ndivyo ilivyo. Kama huna akili inayokupa ufahamu huu, hakika hakuna wa kukusaidia rafiki, utabaki hivyo hivyo ukiidanganya nafsi yako...!!
 
Huelewi kitu gani wewe kipofu wa macho na ufahamu pia..?

Unaweza kukosa ushahidi wa kimahakama wa kuona wakipeana...

Lakini hata kwa kutumia "common sense" tu uliyopewa na Mungu huwezi kutambua kuwa hapa mtu amelainishwa na kitu kidogo Nanye Go kwa kuangalia mabadiliko ya mienendo, tabia na matendo yake..?

Sikiliza bwana. Imeandikwa "utawatambua kwa matendo na mwenendo wao"

Mr. Freeman Mbowe has totally changed. Hana ujasiri tena wa kukemea maovu ya serikali hii. Hii ni ishara kuwa naye tayari ni mshiriki wa matendo hayo....

What else do you need to know to prove that the guy has been in covenant with the devil? Au hujui kuwa hongo na rushwa ya kuahidiwa wabunge na madaraka fulani huyo ni shetani..???

Ndivyo ilivyo. Kama huna akili inayokupa ufahamu huu, hakika hakuna wa kukusaidia rafiki, utabaki hivyo hivyo ukiidanganya nafsi yako...!!
Hayo ni mafikirio yenu, hakuna chochote mnachokieleza kinathibitisha mnayosema. Ushahidi wa kupewa wabunge au kuahidiwa unao?

Matendo na mienendo ipi inakufanya uamini kapokea rushwa, au kaahidiwa rushwa?

Tatizo lenu mnataka kila mtu amchukue Mbowe kwa sababu zenu ambazo hazina, vielelezo badala yake ni maneno ya kufikirika na kutengeneza.

Hakuna chama kinaweza kukemea rushwa na uovu wa nchi hii, nchi hii iliisha kubuhu kwenye ubadhilifu, siyo chadema , wala TAKUKURU wanaweza kuzuia hayo.
 
Back
Top Bottom