Pre GE2025 Lissu usijitoe kwenye kinyang'anyiro, mshindani wako hofu anayo. Jitokeze na panga timu yako kuwapa hari wajumbe wanaokuunga mkono

Pre GE2025 Lissu usijitoe kwenye kinyang'anyiro, mshindani wako hofu anayo. Jitokeze na panga timu yako kuwapa hari wajumbe wanaokuunga mkono

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
ili chama kisipasuke Mbowe aliposikia Lisu anagombea yeye hakutakiwa kuchukua form ya yeye kugombea kuchuana na Lisu badala yake alitakiwa asigombee ila amsapoti Lisu kama alivyomsapoti LOWASA kipindi kile.Kitendo cha Mbowe kishindana na Lisu badala ya kuungana kumsapoti,kimefanya hata wale waliokuwa hawafahamu RANGI yake halisi kuifahamu rangi yake halisi.

Ili kunusuru mpasuko wa chama na kurejesha imani ya wanachama MBOWE anatakiwa ASHINDWE huu uchaguzi.
 
Mbowe hawezi kushinda
Mimi mwenyewe nilitaka yeye agombee ili kutoa upinzani WA kweli kwenye uchaguzi huu.

Muhimu uwe wa HAKI. Pasiwepo Rushwa n.k.
Kwenye uchaguzi wa haki tapeli mbowe hawezi kupenya. Hofu yangu wasiendeshe mchakato kama walivyofanya 2015 mkutano mkuu uliompitisha lowasa kugombea urais.
 
Exactly, hio ndio point yangu, ajikite kwa Wajumbe sasa! Asije akalewa na Kura za mtandaoni. Yoyote atakayeshinda CHADEMA itabaki kuwa imara.
Akishinda Lissu, chama kitakuwa imara. Lakini Mbowe akitumia fedha kupata ushindi CDM itayumba sana, kwa kuwa hata mimi sipo tayari kuongozwa tena na dikteta, king'ang'anizi wa madaraka, mjumbe wa ccm aliyejimilikisha chama.

Hili la kulambishwa asali makada wa CCM kama akina Yohana Mbatizaji walikuwa wanadokeza kwa mbaaaali mara kwa mara.

Lakini kwakuwa Mbowe alikuwa ameturoga tuliwapuuza siku zote kwa kumwona Mbowe kama malaika mtakatifu. Asanteni sana. Nimeongea kwa niaba ya WABANGAIZAJI.

Kila la heri kwa shujaa, mpambanaji wa kweli ndg Tundu Lissu. Asante kwa mleta uzi.
 
Kwema Wakuu!

Lisu wape nguvu wajumbe wanaokuunga Mkono. Usikubali kuachia.
Wape nguvu.
Onyesha wewe ni Nani.

Wape nguvu wale waliotishwa na kukatishwa tamaa na Mbwembwe mshindani wako kwenye Media.

Zile ni Mbwembwe tuu.
Mbowe mwenyewe anahofu. Yeye mwenyewe anaogopa. Lazima aogope aibu inayoenda kumpata. Lakini hayakulaumu kwa sababu ametaka mwenyewe. Aibu ya kujitakia hiyo.

Kabiliana naye inavyomstahili. Shambulia kadiri anavyokuja.

Tumia wafuasi wako kukabiliana na mashambulizi ya mtandaoni na kwenye Media. Ili kutowapa ubaridi wale wajumbe wenye Moto mdogo.

Wewe ni kama Daudi. Goliath lazima adondoke. Jikaze! Kazana! Ongeza uhodari na mbinu ili kuongoza jeshi lako la wajumbe.

Wewe ni kama Gideoni.

Ukitoka kwenye Press usionyeshe hata chembe Moja ya woga, usilalamike, wla kuonyesha kuwa mshindani wako kapewa upendeleo Fulani.

Waambie wajumbe wako;
"Tunaenda kuandika Historia isiyosahaulika. Ikumbukeni siku hii ya Leo. Hii itakuwa siku kubwa. Tayari mmeona WA upande ule walivyo na hofu juu yetu. Wanatapatapa!
Hahahahaa! Wanajua hawana uwezo wa kutushinda. Kwa sababu Sisi ni watu imara. Mioyo yetu inathamani kubwa kiasi cha fedha kushindwa kutununua.

Mmesikia wakisema Sisi ni wabangaizaji, ni kweli Sisi tunabangaiza lakini wameshindwa kutununua, lakini wao ambao sio wabangaizaji wanabei ndio maana wamenunuliwa kama bidhaa.

Sisi tupo kwaajili ya watu kulinda utu wao. Lakini wao wapo kwaajili ya pesa ndio maana wakauza UTU wao na wanataka kuuza utu wa Watanzania.

Vipi! Mmesikia wakisema wametoa pesa kukiendesha chama, wamefilisiwa, lakini vipi kuhusu Sisi na familia zetu. Je pesa inathamani kuliko damu za wanaharakati wetu waliouwa, waliotiwa vilema, waliopotezwa,
Wao walitoa pesa wakavuna pesa. Je Sisi tulitoa damu na roho zetu kwenye chama hiki tulipata kitu gani? Na hatuna tunachohitaji zaidi ya kukomboa Haki za watu wetu wanyonge. Watu hao wapo chamani na wengine sio WA chama hiki

Pesa Zao haziwezi kuwa na thamani kuliko maumivu na roho za wenzetu zilizopotea.

Wamewadharau Watanzania ambao wengi wetu ni wabangaizaji.
Mawazo hayo ndio hutumika kuwanyima Haki wanyonge kwa kutokana na umaskini wao.

Tunajua wao bila Rushwa hawana uwezo wowote.
Tunajua wao bila Kutafuta watu dhaifu wanaonunulika hawana uwezo wowote ule.

Nendeni mkapige Kura mkawaonyeshe ninyi ni wabangaizaji msio na bei, ambao hamnunuliki.

Lisu usijitoe.
Mbowe anaenda kuabika na kupotea mazima, ccm mafia wamemkanyagisha mbowe,ahahaha
 
Kwema Wakuu!

Lisu wape nguvu wajumbe wanaokuunga Mkono. Usikubali kuachia.
Wape nguvu.
Onyesha wewe ni Nani.

Wape nguvu wale waliotishwa na kukatishwa tamaa na Mbwembwe mshindani wako kwenye Media.

Zile ni Mbwembwe tuu.
Mbowe mwenyewe anahofu. Yeye mwenyewe anaogopa. Lazima aogope aibu inayoenda kumpata. Lakini hayakulaumu kwa sababu ametaka mwenyewe. Aibu ya kujitakia hiyo.

Kabiliana naye inavyomstahili. Shambulia kadiri anavyokuja.

Tumia wafuasi wako kukabiliana na mashambulizi ya mtandaoni na kwenye Media. Ili kutowapa ubaridi wale wajumbe wenye Moto mdogo.

Wewe ni kama Daudi. Goliath lazima adondoke. Jikaze! Kazana! Ongeza uhodari na mbinu ili kuongoza jeshi lako la wajumbe.

Wewe ni kama Gideoni.

Ukitoka kwenye Press usionyeshe hata chembe Moja ya woga, usilalamike, wla kuonyesha kuwa mshindani wako kapewa upendeleo Fulani.

Waambie wajumbe wako;
"Tunaenda kuandika Historia isiyosahaulika. Ikumbukeni siku hii ya Leo. Hii itakuwa siku kubwa. Tayari mmeona WA upande ule walivyo na hofu juu yetu. Wanatapatapa!
Hahahahaa! Wanajua hawana uwezo wa kutushinda. Kwa sababu Sisi ni watu imara. Mioyo yetu inathamani kubwa kiasi cha fedha kushindwa kutununua.

Mmesikia wakisema Sisi ni wabangaizaji, ni kweli Sisi tunabangaiza lakini wameshindwa kutununua, lakini wao ambao sio wabangaizaji wanabei ndio maana wamenunuliwa kama bidhaa.

Sisi tupo kwaajili ya watu kulinda utu wao. Lakini wao wapo kwaajili ya pesa ndio maana wakauza UTU wao na wanataka kuuza utu wa Watanzania.

Vipi! Mmesikia wakisema wametoa pesa kukiendesha chama, wamefilisiwa, lakini vipi kuhusu Sisi na familia zetu. Je pesa inathamani kuliko damu za wanaharakati wetu waliouwa, waliotiwa vilema, waliopotezwa,
Wao walitoa pesa wakavuna pesa. Je Sisi tulitoa damu na roho zetu kwenye chama hiki tulipata kitu gani? Na hatuna tunachohitaji zaidi ya kukomboa Haki za watu wetu wanyonge. Watu hao wapo chamani na wengine sio WA chama hiki

Pesa Zao haziwezi kuwa na thamani kuliko maumivu na roho za wenzetu zilizopotea.

Wamewadharau Watanzania ambao wengi wetu ni wabangaizaji.
Mawazo hayo ndio hutumika kuwanyima Haki wanyonge kwa kutokana na umaskini wao.

Tunajua wao bila Rushwa hawana uwezo wowote.
Tunajua wao bila Kutafuta watu dhaifu wanaonunulika hawana uwezo wowote ule.

Nendeni mkapige Kura mkawaonyeshe ninyi ni wabangaizaji msio na bei, ambao hamnunuliki.

Lisu usijitoe.
Hongera kwa andiko na Hotuba nzuri mkuu.
 
Kwema Wakuu!

Lisu wape nguvu wajumbe wanaokuunga Mkono. Usikubali kuachia.
Wape nguvu.
Onyesha wewe ni Nani.

Wape nguvu wale waliotishwa na kukatishwa tamaa na Mbwembwe mshindani wako kwenye Media.

Zile ni Mbwembwe tuu.
Mbowe mwenyewe anahofu. Yeye mwenyewe anaogopa. Lazima aogope aibu inayoenda kumpata. Lakini hayakulaumu kwa sababu ametaka mwenyewe. Aibu ya kujitakia hiyo.

Kabiliana naye inavyomstahili. Shambulia kadiri anavyokuja.

Tumia wafuasi wako kukabiliana na mashambulizi ya mtandaoni na kwenye Media. Ili kutowapa ubaridi wale wajumbe wenye Moto mdogo.

Wewe ni kama Daudi. Goliath lazima adondoke. Jikaze! Kazana! Ongeza uhodari na mbinu ili kuongoza jeshi lako la wajumbe.

Wewe ni kama Gideoni.

Ukitoka kwenye Press usionyeshe hata chembe Moja ya woga, usilalamike, wla kuonyesha kuwa mshindani wako kapewa upendeleo Fulani.

Waambie wajumbe wako;
"Tunaenda kuandika Historia isiyosahaulika. Ikumbukeni siku hii ya Leo. Hii itakuwa siku kubwa. Tayari mmeona WA upande ule walivyo na hofu juu yetu. Wanatapatapa!
Hahahahaa! Wanajua hawana uwezo wa kutushinda. Kwa sababu Sisi ni watu imara. Mioyo yetu inathamani kubwa kiasi cha fedha kushindwa kutununua.

Mmesikia wakisema Sisi ni wabangaizaji, ni kweli Sisi tunabangaiza lakini wameshindwa kutununua, lakini wao ambao sio wabangaizaji wanabei ndio maana wamenunuliwa kama bidhaa.

Sisi tupo kwaajili ya watu kulinda utu wao. Lakini wao wapo kwaajili ya pesa ndio maana wakauza UTU wao na wanataka kuuza utu wa Watanzania.

Vipi! Mmesikia wakisema wametoa pesa kukiendesha chama, wamefilisiwa, lakini vipi kuhusu Sisi na familia zetu. Je pesa inathamani kuliko damu za wanaharakati wetu waliouwa, waliotiwa vilema, waliopotezwa,
Wao walitoa pesa wakavuna pesa. Je Sisi tulitoa damu na roho zetu kwenye chama hiki tulipata kitu gani? Na hatuna tunachohitaji zaidi ya kukomboa Haki za watu wetu wanyonge. Watu hao wapo chamani na wengine sio WA chama hiki

Pesa Zao haziwezi kuwa na thamani kuliko maumivu na roho za wenzetu zilizopotea.

Wamewadharau Watanzania ambao wengi wetu ni wabangaizaji.
Mawazo hayo ndio hutumika kuwanyima Haki wanyonge kwa kutokana na umaskini wao.

Tunajua wao bila Rushwa hawana uwezo wowote.
Tunajua wao bila Kutafuta watu dhaifu wanaonunulika hawana uwezo wowote ule.

Nendeni mkapige Kura mkawaonyeshe ninyi ni wabangaizaji msio na bei, ambao hamnunuliki.

Lisu usijitoe.
Key boards warriors ambao hamna msaada wowote kwenye battleground.
 
Kwema Wakuu!

Lisu wape nguvu wajumbe wanaokuunga Mkono. Usikubali kuachia.
Wape nguvu.
Onyesha wewe ni Nani.

Wape nguvu wale waliotishwa na kukatishwa tamaa na Mbwembwe mshindani wako kwenye Media.

Zile ni Mbwembwe tuu.
Mbowe mwenyewe anahofu. Yeye mwenyewe anaogopa. Lazima aogope aibu inayoenda kumpata. Lakini hayakulaumu kwa sababu ametaka mwenyewe. Aibu ya kujitakia hiyo.

Kabiliana naye inavyomstahili. Shambulia kadiri anavyokuja.

Tumia wafuasi wako kukabiliana na mashambulizi ya mtandaoni na kwenye Media. Ili kutowapa ubaridi wale wajumbe wenye Moto mdogo.

Wewe ni kama Daudi. Goliath lazima adondoke. Jikaze! Kazana! Ongeza uhodari na mbinu ili kuongoza jeshi lako la wajumbe.

Wewe ni kama Gideoni.

Ukitoka kwenye Press usionyeshe hata chembe Moja ya woga, usilalamike, wla kuonyesha kuwa mshindani wako kapewa upendeleo Fulani.

Waambie wajumbe wako;
"Tunaenda kuandika Historia isiyosahaulika. Ikumbukeni siku hii ya Leo. Hii itakuwa siku kubwa. Tayari mmeona WA upande ule walivyo na hofu juu yetu. Wanatapatapa!
Hahahahaa! Wanajua hawana uwezo wa kutushinda. Kwa sababu Sisi ni watu imara. Mioyo yetu inathamani kubwa kiasi cha fedha kushindwa kutununua.

Mmesikia wakisema Sisi ni wabangaizaji, ni kweli Sisi tunabangaiza lakini wameshindwa kutununua, lakini wao ambao sio wabangaizaji wanabei ndio maana wamenunuliwa kama bidhaa.

Sisi tupo kwaajili ya watu kulinda utu wao. Lakini wao wapo kwaajili ya pesa ndio maana wakauza UTU wao na wanataka kuuza utu wa Watanzania.

Vipi! Mmesikia wakisema wametoa pesa kukiendesha chama, wamefilisiwa, lakini vipi kuhusu Sisi na familia zetu. Je pesa inathamani kuliko damu za wanaharakati wetu waliouwa, waliotiwa vilema, waliopotezwa,
Wao walitoa pesa wakavuna pesa. Je Sisi tulitoa damu na roho zetu kwenye chama hiki tulipata kitu gani? Na hatuna tunachohitaji zaidi ya kukomboa Haki za watu wetu wanyonge. Watu hao wapo chamani na wengine sio WA chama hiki

Pesa Zao haziwezi kuwa na thamani kuliko maumivu na roho za wenzetu zilizopotea.

Wamewadharau Watanzania ambao wengi wetu ni wabangaizaji.
Mawazo hayo ndio hutumika kuwanyima Haki wanyonge kwa kutokana na umaskini wao.

Tunajua wao bila Rushwa hawana uwezo wowote.
Tunajua wao bila Kutafuta watu dhaifu wanaonunulika hawana uwezo wowote ule.

Nendeni mkapige Kura mkawaonyeshe ninyi ni wabangaizaji msio na bei, ambao hamnunuliki.

Lisu usijitoe.

TAL Aluta Continua
 
Back
Top Bottom