Pre GE2025 Lissu usijitoe kwenye kinyang'anyiro, mshindani wako hofu anayo. Jitokeze na panga timu yako kuwapa hari wajumbe wanaokuunga mkono

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ujumbe mzuri sana huu,
 
Hakuna kujiengua Gentleman.

Subiri uone mambo yanavyoenda
mimi hapa niko kila korido nafuatilia kwa kina na kutazama mambo ya ndani kwa kila mgombea mpaka uchaguzi utakapofanyika,

dalili za mgombea kujiengua na kujibandua chadema ziko wazi na bayana 🐒
 
Kudos buddy👆
 
Asipoe Sana.
Akipoa hata wale wajumbe waliokuwa wanamuunga mkono watapoteza tumaini.

Lakini hiyo haimaanishi amtukane Mwenyekiti wake.
Mzee baba, Lissu yupo jikoni anachensha sumu.
Akitoka na akaongea na vyombo vya habari mtandaoni kutafuka mosbi...tunza post hii
 
Lissu haofii kushindwa ila Mbowe ana hofu kubwa maana chama kinatoka mikononi mwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…