Lissu utalinda heshima gani ya Mbowe aliyobakiza ambaye umemdhihaki kwa kumuita mla Rushwa, msaliti wa chama, hafai kuongoza etc etc?

Lissu utalinda heshima gani ya Mbowe aliyobakiza ambaye umemdhihaki kwa kumuita mla Rushwa, msaliti wa chama, hafai kuongoza etc etc?

Kuna dhambi gani kwa Mbowe kumiliki Mbowe hotels na club Bilicanas?

Mbona kanisa linamiliki Pub za kuuza pombe na kitimoto?
Ukiona Kanisa linamiliki danguro Ujue pamejaa Unabii wa Uwongo

Ni kama Kanisa lililoruhusu Mashoga kuwa maaskofu 🐼
 
Ukiona Kanisa linamiliki danguro Ujue pamejaa Unabii wa Uwongo

Ni kama Kanisa lililoruhusu Mashoga kuwa maaskofu 🐼
Ni makanisa ya walokole peke yake ndio hawana miradi ya hostel, kumbi, social club, kiti moto na bia.
 
Lissu alinde heshima ya Mbowe? Au Mbowe alinde heshima yake? Mbona alishaipoteza toka alitoka jela na kuibukia ikulu.
 
Nadhani umetambua makosa yako ya kumsingizia mambo mabaya Mbowe ua UONGO leo unasema utalinda heshima yake. Utalinda heshima gani aliyobakiza? Umemchafua makusudi , guility consciousness inakutanga moyoni!

Nani akuamini?

c&p

Guilty consciousness is haunting you Lisu!

A guilty conscience can be a feeling of guilt or remorse that can be difficult to let go of. It can lead to anxiety, depression, and stress.

Symptoms


  • Feeling overwhelmed by making the wrong decision
  • Having low self-esteem
  • Avoiding your emotions
  • Difficulty sleeping
  • Loss of interest
  • Fatigue
  • Difficulty concentrating
  • Social withdrawal
How to deal with guilt
  • Acknowledge it: Recognize that you feel guilty

  • Make amends: Apologize if you've done something wrong

  • Eliminate negative self-talk: Remind yourself of all the good things you've done

  • Establish boundaries: Understand what you can control

  • Find a reason to feel guilty: Ask yourself if you have a valid reason to feel guilty

Why guilt can be exhausting
  • Guilt can be emotionally taxing if it lingers for too long

  • Regret can be especially difficult to work through, especially before bed
Walisemaga wahenga kwamba watu wawe na akiba ya maneno,Sasa yule ropo ropo sijui atakuwa mgeni wa nani 😁😁

Bawacha kamgaragaza mgombea wa Kibaraka Lisu,Bado yeye keshokutwa
 
Fact ni kwamba, Lisu ni kiongozi mkuu namba 2 Chadema.

Maamuzi yote ya Chadema yanaamuliwa na kamati kuu na baraza kuu na yeye ni sehemu yake.

Lisu kwa nafasi yake yeye ndio mamlaka ya nidhamu mwenyekiti hana hayo mamlaka katiba haisemi hivyo.

Mkuu wa nidhamu wa Chama ndio hana nidhamu unategemea hawa watoto waliojaa kwenye mitandao nidhamu waipate wapi?

Narudia tena, huyu siyo Lisu ninayemjuwa mimi.

Mama anavyoamini yeye Mbowe aliyetoka jela siyo Mbowe wa zamani, na mimi naamini kwa dhati kabisa, Lisu niliyemjuwa kabla ya kupigwa risasi siyo Lisu huyu mropokaji, hana adabu na anajiona yeye ndio bora kuliko mtu yeyote, huyu na Magufuli tofauti yao ni vyama tu.
Maswali yako (siyo facts) ameyajibu yote.

Jaribu kujenga hoja tukuelewe
 
Back
Top Bottom