Lissu utalinda heshima gani ya Mbowe aliyobakiza ambaye umemdhihaki kwa kumuita mla Rushwa, msaliti wa chama, hafai kuongoza etc etc?

Kuna dhambi gani kwa Mbowe kumiliki Mbowe hotels na club Bilicanas?

Mbona kanisa linamiliki Pub za kuuza pombe na kitimoto?
Ukiona Kanisa linamiliki danguro Ujue pamejaa Unabii wa Uwongo

Ni kama Kanisa lililoruhusu Mashoga kuwa maaskofu ๐Ÿผ
 
Ukiona Kanisa linamiliki danguro Ujue pamejaa Unabii wa Uwongo

Ni kama Kanisa lililoruhusu Mashoga kuwa maaskofu ๐Ÿผ
Ni makanisa ya walokole peke yake ndio hawana miradi ya hostel, kumbi, social club, kiti moto na bia.
 
Lissu alinde heshima ya Mbowe? Au Mbowe alinde heshima yake? Mbona alishaipoteza toka alitoka jela na kuibukia ikulu.
 
Walisemaga wahenga kwamba watu wawe na akiba ya maneno,Sasa yule ropo ropo sijui atakuwa mgeni wa nani ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Bawacha kamgaragaza mgombea wa Kibaraka Lisu,Bado yeye keshokutwa
 
Maswali yako (siyo facts) ameyajibu yote.

Jaribu kujenga hoja tukuelewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ