Wanaweza isaidiaje nchi kwa mfumo huu wa nchi hii pia wanaiangamizaje ebu nitoe gizani?Hakuna mtu ananunuliwa. Sina shaka na uwezo wao Kama viongozi ila bado wanahitaji kutumia uwezo huo kuisaidia nchi badala ya kuiangamiza. Wanahitaji kuwa wazalendo zaidi
kwhiyo tukika ndani tunaweza kurekebisha tume ya uchaguzi? just be honestHuwezi kutaka nchi inyimwe misaada hata Kama hukubaliani na baadhi ya mambo. Mnakaa ndani na kurekebisha
Zitto mzuri lakini TL mzuri zaidiWaungwana hebu tuwe tu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.
Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.
Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.
Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.
Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?
Amani Msumari
Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Msukuma!Waungwana hebu tuwe tu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.
Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.
Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.
Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.
Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?
Amani Msumari
Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Nani kwenye ile saccos yenu sio ndumilakuwili?. Huyo Zitto alikuwa mwana saccos mzuri tu, mkamtimua alipoanza kugusa maslahi yenu. Huko kwenye chama tu mnatusuana, ndio mnataka watanzania wawape nchi thubutu. Huyo Lissu mwenyewe hawezi kuwa mwenyekiti hapo saccos, je ataweza tanzania kweli?.Shida yake tu ni ule "undumilakuwili"
Huijui saccos wewe. Kilichomtoa Zitto hapo, ni uenyekiti. Hiyo nafasi hata Lissu akiikodolea macho, anaondoka mchana kweupe.Zitto yuko smart kuliko Lissu, hoja zake hazina matusi wala jazba. Ni aina ya viongozi kama kina Dr. Slaa na Eng Mbatia.zito mwana aminifu wa ccm na msaliti wa harakati za cdm anawezaje kulinganishwa na lisu? ni dhambi kubwa nani asiyejua alivyolipwa na ccm kuiangusha akashindwa akaishia kuanzisha chama chake ?
Kila la heri. Mumchague Mzee Mkuchika hukoAsnt kwa kusomeka, twende tukaokote korosho ziko tayar
Hawa ni wazalendo kuliko jiweHakuna mtu ananunuliwa. Sina shaka na uwezo wao Kama viongozi ila bado wanahitaji kutumia uwezo huo kuisaidia nchi badala ya kuiangamiza. Wanahitaji kuwa wazalendo zaidi
Huo ndio ukweli ndugu Safuher. Tatizo was hawako "objective" mahaba yamewazidi.Binafsi zito kabwe naona kuwa ni mzuri zaidi wa hoja.anauwezo wa kutoa hoja na kujenga hoja katika kila idara ama sehemu na ikawa nzito kweli.
Yaani anafiti kotekote.
Na lissu nae naona yuko vizuri hasa kwenye mambo ya sheria,mbali na sheria naona kama kwenye mambo mengine hafiti kiivyo
Hatumii lugha yenye staha kukosoa. He is always full of intimidating languageanamuandama au anamwambia ukweli mchungu...nyie mnataka kupongeza tuu kusudi mhongwe vyeo!.
Ila sifa ya utapeli hauwaondolei uwezo wa kuweza kujenga hoja. "Matapeli wazuri pia ni wajengaji hoja wazuri ili waweze kukutapeli vizuri". So, hebu tuwapime hawa kwenye ulingo wa kisiasaWote wawili ni matapeli wa kisiasa tu hawana hoja hata.
Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Chama kikishashinda uchaguzi, basi wengine wote mnatakiwa kuungana kutekeleza ilani ya chama hicho. Hii ni kwasababu ilani inatekelezwa kwa watanzania wote bila kujali chama, dini au kabila.Wanaweza isaidiaje nchi kwa mfumo huu wa nchi hii pia wanaiangamizaje ebu nitoe gizani?
Istoshe wote ni wazalendo hakuna asiye mzalendo kati yao
"Kazi maalumu"Kazi maalumu ya kuuipigania CCM??
Kwani wakati Rais Kikwete anakaribia kuondoka alilazimishwa na nani kuunda ile time ya Mzee Warioba?kwhiyo tukika ndani tunaweza kurekebisha tume ya uchaguzi? just be honest
Shabiki kama ShabikiMsukuma!
Nimekusoma ndugu Larson kuwa bwana Lissu kwa nafasi ya urais wa Tanzania bado hafiti. Kazi kwa mashabiki wake.Nani kwenye ile saccos yenu sio ndumilakuwili?. Huyo Zitto alikuwa mwana saccos mzuri tu, mkamtimua alipoanza kugusa maslahi yenu. Huko kwenye chama tu mnatusuana, ndio mnataka watanzania wawape nchi thubutu. Huyo Lissu mwenyewe hawezi kuwa mwenyekiti hapo saccos, je ataweza tanzania kweli?.