Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto yupo vizuri
Hilo ndio tatizo sasaNzito haaminiki..
Umesomeka, all the way from TandahimbaFact, regard on your mind
Kwa upande wng, wote wazur kweny hoja ila kinachowatofautisha ni professionalism zao (viatu vya Lissu hawez kuvaa Zitto, the same Viatu vya Zitto hawezi Kuvaa Lissu) ila wakikaa pa1 aiseee ni balaaaaaaa la dunia.
A person From Tandahimba
Wasaidie kuelewaWatu wanashindwa kutofautisha mambo,yani wao mtu akiwa anaongea yale wanayotaka kuyasikia ndio huona ni mjengaji hoja mzuri kumbe tofauti.
Mtoto wa fisadi hujambo?Mimi nilitarajia kuwa Zitto angegombea urais kupitia ACT. Mchuano ungekuwa mzuri sana huku Lissu kule Zitto hapa Baba Lao
Hayo yako nje ya uwezo wetu mimi na wewekwanza mdahalo wa Lissu na Magufuli na mdahalo wa Maalim Seif na Mwinyi alafu tuendelee kuanzia hapo.
Lissu anapenda kumuandama sana mheshimiwa Raisila kwa zama hizi TL ndio kiboko pekee wa Jiwe...anampa makavu hadi anapanic
Kuwageuza Watz masikini kuliko alivyowakuta? Udikteta uchwara? Kuteketeza pesa za walipa kodi kwa biashara kichaa ya ndege - muulize faida anayopata kama hatarkuruka kimanga? Matumizi mabaya ya madaraka aliyopewa na katiba - uanzishaji wa miradi ya miundombinu sio jambo baya, ubaya ni kutofuata utaratibu ambao umewekwa na hii hii katiba yetu mbovu lakini aliapa kuifuata. Akiambiwa basi turejee mazungumzo ya Rasimu ya Warioba, anasema yeye hakuahidi mambo ya katiba. Mataga yakisema tubadilishe katiba atawale milele, anapiga tabasamu utafikiri ndio kwanza ametoka Bujumbura.Mgombea wetu kazi zake zinamuuza
Ila 2015 mdahalo ulifanyika bila Kikwete Lowassa wala Magufuli.kwanza mdahalo wa Lissu na Magufuli na mdahalo wa Maalim Seif na Mwinyi alafu tuendelee kuanzia hapo.
Na anafikiri mdahalo ni kumuandama mtu.Lissu anapenda kumuandama sana mheshimiwa Rais
Asnt kwa kusomeka, twende tukaokote korosho ziko tayarUmesomeka, all the way from Tandahimba
Baba Lao ndo nani, au ni Meko a.k.a Baba Ubaya?Mimi nilitarajia kuwa Zitto angegombea urais kupitia ACT. Mchuano ungekuwa mzuri sana huku Lissu kule Zitto hapa Baba Lao
Binafsi zito kabwe naona kuwa ni mzuri zaidi wa hoja.anauwezo wa kutoa hoja na kujenga hoja katika kila idara ama sehemu na ikawa nzito kweli.Waungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.
Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.
Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.
Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.
Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?
Amani Msumari
Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
anamuandama au anamwambia ukweli mchungu...nyie mnataka kupongeza tuu kusudi mhongwe vyeo!.Lissu anapenda kumuandama sana mheshimiwa Rais
Wote wawili ni matapeli wa kisiasa tu hawana hoja hata.Waungwana hebu tuwe tu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.
Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.
Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.
Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.
Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?
Amani Msumari
Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)