Lissu Vs Zitto: Nani mkali wa kujenga hoja za kisiasa?

Lissu Vs Zitto: Nani mkali wa kujenga hoja za kisiasa?

Watu wanashindwa kutofautisha mambo,yani wao mtu akiwa anaongea yale wanayotaka kuyasikia ndio huona ni mjengaji hoja mzuri kumbe tofauti.
 
Fact, regard on your mind

Kwa upande wng, wote wazur kweny hoja ila kinachowatofautisha ni professionalism zao (viatu vya Lissu hawez kuvaa Zitto, the same Viatu vya Zitto hawezi Kuvaa Lissu) ila wakikaa pa1 aiseee ni balaaaaaaa la dunia.

A person From Tandahimba
Umesomeka, all the way from Tandahimba
 
kwanza mdahalo wa Lissu na Magufuli na mdahalo wa Maalim Seif na Mwinyi alafu tuendelee kuanzia hapo.
 
ila kwa zama hizi TL ndio kiboko pekee wa Jiwe...anampa makavu hadi anapanic
 
Mgombea wetu kazi zake zinamuuza
Kuwageuza Watz masikini kuliko alivyowakuta? Udikteta uchwara? Kuteketeza pesa za walipa kodi kwa biashara kichaa ya ndege - muulize faida anayopata kama hatarkuruka kimanga? Matumizi mabaya ya madaraka aliyopewa na katiba - uanzishaji wa miradi ya miundombinu sio jambo baya, ubaya ni kutofuata utaratibu ambao umewekwa na hii hii katiba yetu mbovu lakini aliapa kuifuata. Akiambiwa basi turejee mazungumzo ya Rasimu ya Warioba, anasema yeye hakuahidi mambo ya katiba. Mataga yakisema tubadilishe katiba atawale milele, anapiga tabasamu utafikiri ndio kwanza ametoka Bujumbura.
 
Haapo Messi Vs Ronaldo sema mmoja jazba nyingi, akumbushwe theory of "communication skills" hasa segment ya Oral presentation
 
Waungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.

Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.

Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.

Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.

Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?

Amani Msumari

Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Binafsi zito kabwe naona kuwa ni mzuri zaidi wa hoja.anauwezo wa kutoa hoja na kujenga hoja katika kila idara ama sehemu na ikawa nzito kweli.

Yaani anafiti kotekote.

Na lissu nae naona yuko vizuri hasa kwenye mambo ya sheria,mbali na sheria naona kama kwenye mambo mengine hafiti kiivyo
 
Waungwana hebu tuwe tu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.

Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.

Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.

Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.

Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?

Amani Msumari

Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Wote wawili ni matapeli wa kisiasa tu hawana hoja hata.
 
Back
Top Bottom