Lissu Vs Zitto: Nani mkali wa kujenga hoja za kisiasa?

Lissu Vs Zitto: Nani mkali wa kujenga hoja za kisiasa?

Elezea sehemu hata moja waliyotumia uwezo wao kuiangamiza nchi kwa kila mmoja wao
Kuzuia misaada na mikopo na kutaka tuwekewe vikwazo kisha nchi ianguke,
Sasa wao watainyanyua kwa muda UPI wakati wananchi watakuwa wameumia tayari.
 
Hayo ndiyo matamanio ya kila mtanzania; bahati mbaya sana common interest kwa wanasiasa wetu ni matumbo yao. Katika hilo hutamjua wa CCM wala wa upande mwingine.

Lissu aliwahi kuulizwa, kipindi akiwa mbunge, uhalali wa hizi posho lukuki wanazojilipa wabunge. Alijibu kuwa posho zilikuwa halali kwani hata kabla ya ubunge alikuwa anapata pesa nyingi kuliko anazopata bungeni.
Hapo ndio kwenye shida mkuu ila angalau Magufuli tumeshamuona
 
Waungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.

Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.

Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.

Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.

Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?

Amani Msumari

Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)

Hoja kama hizi zina alama za vidole tokea chama fulani kisichoitakia mema nchi hii.

Mkuu kachukue hoja za kila mmoja utafute ile wanaita kapani upime uzito.

Ukimaliza upime na za yule jamaa anayesema: "Mungu hoyeeeee!!!!!!"
 
Hayo ni mawazo yako binafsi Ila lisu watu wamemuelewa sana ndo mana hoja zake zinawapa tabu sana ccm
 
Hoja kama hizi zina alama za vidole tokea chama fulani kisichoitakia mema nchi hii.

Mkuu kachukue hoja za kila mmoja utafute ile wanaita kapani upime uzito.

Ukimaliza upime na za yule jamaa anayesema: "Mungu hoyeeeee!!!!!!"
Leo tumeanza na hao wawili
 
Waungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.

Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.

Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.

Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.

Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?

Amani Msumari

Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)

Itapendeza zaidi ukimuongeza JPM kwenye mlinganisho huu. Je, anawazidi wote hao? Kwa umbali gani?
 
Ukiacha makandokando mengine, Zitto kwenye hoja ni heavy weight! Anavutia, anajua kuchambua complex issues hasa za kiuchumi!

Lissu ni wakili mzuri Sana na he can make the best mwanasheria wa serikali!

Ukiwaweka jukwaa la siasa, Zitto is far better than Tundu!

Unafikiri mtindo wa kuongea kwenye jukwaa la siasa ni sawa na kwenye ukumbi wa mhadhara (lecture room) au kwenye press interview? Unafikiri ni vipi Lissu na JPM wanavuma zaidi kwenye majukwaa ya siasa kuliko Zitto?
 
Hao wote hakuna kitu, bila ushabiki nasema katika upinzani hapa TZ Mbowe ndio wanasiasa mwenye uwezo wa kujenga hoja bila jazba na kwa utulivu wa hali juu.

Afadhali. Angalau safari hii Mbowe kathaminiwa.
 
Back
Top Bottom