Uzima Tele
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,270
- 2,822
Ameyasema leo akihojiwa na Ngasa TV leo Dodoma akiwa njiani kuelekea nyumbani kwao Ikungi, Singida..
Akizungumzia utawala wa Rais Samia Suluhu, amesema moja ya mambo yaliyobadilika kidogo baada ya Mwendazake John P. Magufuli kufa, ni waandishi wa habari kuwa na ujasiri wa kumsogelea na kumhoji kama hivi..
Kabla ya hapo, ilikuwa ni hofu na woga wa kufunguliwa mashitaka au kufungiwa na TCRA..
Mtazame na fuatilia mahojiano hayo katika video hii hapa nchini..
Akizungumzia utawala wa Rais Samia Suluhu, amesema moja ya mambo yaliyobadilika kidogo baada ya Mwendazake John P. Magufuli kufa, ni waandishi wa habari kuwa na ujasiri wa kumsogelea na kumhoji kama hivi..
Kabla ya hapo, ilikuwa ni hofu na woga wa kufunguliwa mashitaka au kufungiwa na TCRA..
Mtazame na fuatilia mahojiano hayo katika video hii hapa nchini..