Lissu: Wakati wa Magufuli waandishi walikuwa wanaogopa kunihoji, kwa sasa wanaweza kunisogelea

Uzima Tele

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2023
Posts
1,270
Reaction score
2,822
Ameyasema leo akihojiwa na Ngasa TV leo Dodoma akiwa njiani kuelekea nyumbani kwao Ikungi, Singida..

Akizungumzia utawala wa Rais Samia Suluhu, amesema moja ya mambo yaliyobadilika kidogo baada ya Mwendazake John P. Magufuli kufa, ni waandishi wa habari kuwa na ujasiri wa kumsogelea na kumhoji kama hivi..

Kabla ya hapo, ilikuwa ni hofu na woga wa kufunguliwa mashitaka au kufungiwa na TCRA..

Mtazame na fuatilia mahojiano hayo katika video hii hapa nchini..
Your browser is not able to display this video.
 
Ameyasema leo akihojiwa na Ngasa TV leo Dodoma akiwa njiani kuelekea nyumbani kwao Ikungi, Singida..

Akizungumzia utawala wa Rais Samia Suluhu, amesema moja ya mambo yaliyobadilika kidogo baada ya John P. Magufuli kufa, ni vyombo vya habari mbalimbali na waandishi wao kuwa na ujasiri wa kumsogelea na kumhoji kama hivi. Kabla walikuwa wanamuogopa kama ukoma kwa sababu yeye huwa hakopeshi wala kuwalemba watawala.

Your browser is not able to display this video.


Kabla ya hapo, ilikuwa ni hofu na woga wa kufunguliwa mashitaka au kufungiwa na TCRA.

Mtazame na fuatilia mahojiano hayo katika video hii hapa nchini.
 
kwny maridhiano kumsakama CHUMA ni azimio namba ngapi?
 
Hahah kuna TV moja nilisikia wanajitoa kwenye mahojiano. Wanasema “ yaliyozungumzwa hapa ni msimamo wa Tundu Lisu na si media”
 
Hahah kuna tv moja nilisikia wanajitoa kwenye mahojiano. Wanasema “ yaliyozungumzwa hapa ni msimamo wa tundulisu na si media”
Ni Clouds TV & Radio juzi kati kwenye kipindi Chao Cha 360°

Yaani wametaka wenyewe wahojiane, wakauliza maswali wenyewe walichotaka kukifahamu lakini mwisho wa siku wanasema, "huu si msimamo wa Clouds TV"

Si wangenuamaza tu?
 

Sema watu wengi ni wajinga, wanadhani ukikopa hakuna kurejesha au Burundi ndiyo watarejesha hiyo mikopo ya Jiwe.



Umerogwa wewe, kwahiyo zile za kwenye maduka ya kubadilishia fedha za kigeni zilikuwa za mungu wenu pia?


Hivi unajua kuwa mpaka leo ike 1.5 tr bado haijulikani iko wapi?

Hakuna mauaji ya raia kutoka kwa watu wasiojulikana




Yani unataka wote tumuamini Magufuli huyu ambaye anawalaumu wananchi kwa kuchagua mbunge wa upinzani ndio maana hawezi kuwajengea barabara halafu kwenye mkutano huo huo anapaza sauti na kusema "maendeleo hayana vyama."?

Tuna imani na FSG mitano tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…