Pre GE2025 Lissu: Waliopinga maridhiano toka mwanzo wote wameshughulikiwa, sasa nami nashughulikiwa

Pre GE2025 Lissu: Waliopinga maridhiano toka mwanzo wote wameshughulikiwa, sasa nami nashughulikiwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kweli CDM waleliwa kichwa na Kizmkaz live kabisa jeuri yao imeishia kwenye rupiah
 
Msigwa alianza kwa kuunga mkono serikali katika suala la Ngorongoro lakini hakuchukuliwa hatua yeyote. Akaanza kumtupia madongo ya waziwazi Mwenyekiti wake ( inaelekea akipigwa tough ya chini chini na Lissu), hakuchukuliwa hatua. Nae kama anavyosema Lissu aliapa kuwa hatatoka CDM kwa namna yeyote ile. Kashindwa uchaguzi na sasa ni kada mkubwa wa CCM. Na kuna mtu mmoja wa CCM alisema wazi kuwa mazungumzo na Msigwa yalianza hata kabla ya uchaguzi. Haiwezekani kuwa CDM walimshughulikia baada ya kumstukia? Matendo yake baada ya kuondoka CCM yanathibitisha kuwa walikuwa sahihi. Unaweza ku imagine sifa ambazo CCM wangepata kama angehamia baada ya kushinda uchaguzi? Na tukumbuke Lissu hajasema lolote kuhusu usaliti wake.

Lema ametangaza kutogombea na amewasifu walioshinda. Kama aliacha kugombea kwa sababu ya figisu figisu za Mbowe basi ni mnafik mkubwa. Mimi nahisi amegundua opportunities za biashara Canada na ameamua ajikite zaidi kwenye biashara zake.

Heche kweli amekuwa kimya. Lakini sasa hivi yuko mdogo wake na anafanya vizuri tu.

Sikatai kuwa kuna watu walipinga mpango wa maridhiano. Lakini vile vile wako walio muunga mkono Mbowe. Katika demokrasia uamuzi wa wengi ndio unakuwa msimamo wa chama. Sasa kama hata kwenye hili anashindwa kuheshimu maamuzi ya wengi itakuwaje kwa wale watakaotofautiana nae akiwa Mwenyekiti?

Amandla...
Vitu vyote ulivyoandika unahisi wakati aliyeko ndani anakwambia mambo yalivyo wewe bado unaleta hisia zako na kutaka tuziaminj,wewe ni mjinga sana
 
Huyo anaropokaropoka tu tunamsubiri kwenye kura !
Usimpe kura yako boss, ikibidi hakikisha unashawishi na wajumbe wengine wasimpigie kura,. Lakini ukweli usiocha shaka ni kuwa zama za Mbowe zimesha, hata akishinda uchaguzi hatakuwaa na uwezo wa kutushawishi wengi wetu.
 
Usimpe kura yako boss, ikibidi hakikisha unashawishi na wajumbe wengine wasimpigie kura,. Lakini ukweli usiocha shaka ni kuwa zama za Mbowe zimesha, hata akishinda uchaguzi hatakuwaa na uwezo wa kutushawishi wengi wetu.
Mbowe alishauriwa vibaya kung'ang'ania uenyekiti.
 
Maridhiano feki ndiyo mwanzo wa kuua harakati za kweli za ukombozi wa nchi hii kupitia siasa. Anachofanya Lissu ni kitu chema kutujuza namna Mwenyekiti alivyokumbatia Maridhiano feki.

Kwangu mimi maridhiano ni sawa na mikataba ya kitapeli ya wakoloni na mababu zetu.
Maridhiano feki ni hati ya kuhalalisha Chadema kuwa tawi la Mbogamboga PP.
 
Sasa mpaka Mbowe anampa Samia tuzo ya Maridhiano huoni kuwa Mbowe alitumika kumsafisha Samia mbele ya umma na Jumuia ya kimataifa?-Chama kilinufaikaje na Mbowe kumpa Samia tuzo ya maridhiano ambayo kama kawaida yao CCM waliyaruka baadae?
Niliwahi kuhoji kuhusu hayo maridhiano, na hizo tuzo ni za nini. Kumbe Mbowe ndio alikuwa ana maslahi binafsi.
 
Back
Top Bottom