Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Abdul na mwanae wameanikwa.Makamanda wamevurugwa kabisa hadi inatia raha😁😎
Badala uwaze utawala bora na maendeleo kwa taifa wewe unawaza maslahi binafsiKweli CDM waleliwa kichwa na Kizmkaz live kabisa jeuri yao imeishia kwenye rupiah
Masultan.Mwenyekiti kama Mwenyekiti
View attachment 3183666
Hahaha mbazo zina mchwaMbowe Saccos inaelekea kibra. Acha wagawane mbao.
Yaani ni hatari. Na bado Lisu anamwagia petrol huku akiwa ameshikilia kiberiti.Hahaha mbazo zina mchwa
Hahaha Moto utalamba hadi nondo.Yaani ni hatari. Na bado Lisu anamwagia petrol huku akiwa ameshikilia kiberiti.
🤣 😂 😂 Mpk zege litaungua.Hahaha Moto utalamba hadi nondo.
Mbow ni mtu wa system kama kina Lipumba, marehem Mrema, Mbatia, cheyo, wote wapo kwenye payroll ya system.Mwenyekiti kama Mwenyekiti
View attachment 3183666
Vitu vyote ulivyoandika unahisi wakati aliyeko ndani anakwambia mambo yalivyo wewe bado unaleta hisia zako na kutaka tuziaminj,wewe ni mjinga sanaMsigwa alianza kwa kuunga mkono serikali katika suala la Ngorongoro lakini hakuchukuliwa hatua yeyote. Akaanza kumtupia madongo ya waziwazi Mwenyekiti wake ( inaelekea akipigwa tough ya chini chini na Lissu), hakuchukuliwa hatua. Nae kama anavyosema Lissu aliapa kuwa hatatoka CDM kwa namna yeyote ile. Kashindwa uchaguzi na sasa ni kada mkubwa wa CCM. Na kuna mtu mmoja wa CCM alisema wazi kuwa mazungumzo na Msigwa yalianza hata kabla ya uchaguzi. Haiwezekani kuwa CDM walimshughulikia baada ya kumstukia? Matendo yake baada ya kuondoka CCM yanathibitisha kuwa walikuwa sahihi. Unaweza ku imagine sifa ambazo CCM wangepata kama angehamia baada ya kushinda uchaguzi? Na tukumbuke Lissu hajasema lolote kuhusu usaliti wake.
Lema ametangaza kutogombea na amewasifu walioshinda. Kama aliacha kugombea kwa sababu ya figisu figisu za Mbowe basi ni mnafik mkubwa. Mimi nahisi amegundua opportunities za biashara Canada na ameamua ajikite zaidi kwenye biashara zake.
Heche kweli amekuwa kimya. Lakini sasa hivi yuko mdogo wake na anafanya vizuri tu.
Sikatai kuwa kuna watu walipinga mpango wa maridhiano. Lakini vile vile wako walio muunga mkono Mbowe. Katika demokrasia uamuzi wa wengi ndio unakuwa msimamo wa chama. Sasa kama hata kwenye hili anashindwa kuheshimu maamuzi ya wengi itakuwaje kwa wale watakaotofautiana nae akiwa Mwenyekiti?
Amandla...
Hakuna cha mama Abdul wala nini. Jilaumuni wenyewe na njaa zenu😁Mama Abdul na mwanae wameanikwa.
Key word #kushughulikiwaMsigwa yuko wapi sasa baada ya kupinga maridhiano? Kwa hio Msigwa alikimbilia kule abako wanapinga kufanya maridhiani na CDM?
Usimpe kura yako boss, ikibidi hakikisha unashawishi na wajumbe wengine wasimpigie kura,. Lakini ukweli usiocha shaka ni kuwa zama za Mbowe zimesha, hata akishinda uchaguzi hatakuwaa na uwezo wa kutushawishi wengi wetu.Huyo anaropokaropoka tu tunamsubiri kwenye kura !
Mbowe afike hatua hata awe na aibu.Ajiandae, akigombea urais kura zake tutazihujumu, hawezi kumtukana Mbowe hivihivi
Mbowe alishauriwa vibaya kung'ang'ania uenyekiti.Usimpe kura yako boss, ikibidi hakikisha unashawishi na wajumbe wengine wasimpigie kura,. Lakini ukweli usiocha shaka ni kuwa zama za Mbowe zimesha, hata akishinda uchaguzi hatakuwaa na uwezo wa kutushawishi wengi wetu.
Mwenyekiti katoka kuchukua bunda kule makao ya Tausi😁Mwenyekiti kama Mwenyekiti
View attachment 3183666
Maridhiano feki ni hati ya kuhalalisha Chadema kuwa tawi la Mbogamboga PP.Maridhiano feki ndiyo mwanzo wa kuua harakati za kweli za ukombozi wa nchi hii kupitia siasa. Anachofanya Lissu ni kitu chema kutujuza namna Mwenyekiti alivyokumbatia Maridhiano feki.
Kwangu mimi maridhiano ni sawa na mikataba ya kitapeli ya wakoloni na mababu zetu.
Niliwahi kuhoji kuhusu hayo maridhiano, na hizo tuzo ni za nini. Kumbe Mbowe ndio alikuwa ana maslahi binafsi.Sasa mpaka Mbowe anampa Samia tuzo ya Maridhiano huoni kuwa Mbowe alitumika kumsafisha Samia mbele ya umma na Jumuia ya kimataifa?-Chama kilinufaikaje na Mbowe kumpa Samia tuzo ya maridhiano ambayo kama kawaida yao CCM waliyaruka baadae?