Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Wakati ule ulisema kuwa unazo taarifa kuwa kuna watu wanakufuatilia. Siku kama ya jana ukashambuliwa kwa risasi.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu
Sasa unadai kuna watu walikuja kwako wakiwa na Abdul ili wakuhonge. Ushauri wangu kwako ni kwamba wataje watu hao KABLA haujachelewa.
Jua ndiyo hili, ukichelewa utautwanga mbichi.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu
Sasa unadai kuna watu walikuja kwako wakiwa na Abdul ili wakuhonge. Ushauri wangu kwako ni kwamba wataje watu hao KABLA haujachelewa.
Jua ndiyo hili, ukichelewa utautwanga mbichi.
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana