Pakawa JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 7,973 Reaction score 13,647 Sep 8, 2024 #21 Allen Kilewella said: Wakati ule ulisema kuwa unazo taarifa kuwa kuna watu wanakufuatilia. Siku kama ya jana ukashambuliwa kwa risasi. Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu Sasa unadai kuna watu walikuja kwako wakiwa na Abdul ili wakuhonge. Ushauri wangu kwako ni kwamba wataje watu hao KABLA haujachelewa. Jua ndiyo hili, ukichelewa utautwanga mbichi. Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana Click to expand... Umesema vyema
Allen Kilewella said: Wakati ule ulisema kuwa unazo taarifa kuwa kuna watu wanakufuatilia. Siku kama ya jana ukashambuliwa kwa risasi. Pia soma: Kuelekea 2025 - Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu Sasa unadai kuna watu walikuja kwako wakiwa na Abdul ili wakuhonge. Ushauri wangu kwako ni kwamba wataje watu hao KABLA haujachelewa. Jua ndiyo hili, ukichelewa utautwanga mbichi. Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana Click to expand... Umesema vyema
Shadow7 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 24,606 Reaction score 39,289 Sep 8, 2024 #22 Alimtaja Abdul
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Sep 8, 2024 #27 Hao watu ni maagizo kutoka juu... Cc: Mahondaw
Lookmalasin JF-Expert Member Joined Jan 7, 2017 Posts 1,723 Reaction score 2,358 Sep 8, 2024 #28 Shadow7 said: Alimtaja Abdul Click to expand... Kama amemtaja Abdul, unafikiria metumwana na Nani? Abdul ni nani kwenye serikali? Pesa atatoa wapi kumhonga Lissu kama 5 to 10 bilioni hivi na viongozi wakuu wa Chadema? anapata pesa kutoka ikulu.
Shadow7 said: Alimtaja Abdul Click to expand... Kama amemtaja Abdul, unafikiria metumwana na Nani? Abdul ni nani kwenye serikali? Pesa atatoa wapi kumhonga Lissu kama 5 to 10 bilioni hivi na viongozi wakuu wa Chadema? anapata pesa kutoka ikulu.
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Sep 9, 2024 #29 Smart911 said: Hao watu ni maagizo kutoka juu... Cc: Mahondaw Click to expand... Dahhhh! Juu sio poaaaa
Smart911 said: Hao watu ni maagizo kutoka juu... Cc: Mahondaw Click to expand... Dahhhh! Juu sio poaaaa