Pre GE2025 Lissu wataje waliokuja kwako kukuhonga kabla haujachelewa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umesema vyema
 
Alimtaja Abdul
Kama amemtaja Abdul, unafikiria metumwana na Nani? Abdul ni nani kwenye serikali? Pesa atatoa wapi kumhonga Lissu kama 5 to 10 bilioni hivi na viongozi wakuu wa Chadema? anapata pesa kutoka ikulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…