Uchaguzi 2020 Lissu with a failed mission to distract General Election in Tanzania

Yaani siku zoote hizo ndiyo umerudi kutoa kasoro ndogo hivi?

"Wanaoshabikia ccm ni mbumbumbu".... Twaweza
Kamanda , tena mtani wangu, post yako nimeiona leo. Nisamehe kwa kuchelewa kuiona.
 
Tanzania has so long be in a glorified fight
Nimesoma sentensi ya kwanza tu nikakutana na kituko hiki nikaacha kuendelea kusoma utopolo huu.

"Wanaoshabikia CCM ni mbumbumbu"... Twaweza.
 
Kuanzia sasa Lisu, Zitto, Mbowe hawana ajira ya kiserikali for the next 5 years. Lakini wanawambia watu waache ajira zap ili wakaandamane. Maandamano bila kibali ni uvunjifu wa sheria. Nani atajitokeza kwenda kuandamana na kuweka ajira matatani 0?? Tusubiri hiyo Jumatatu tuone.
 
You've scribbled nothing but rubbish not worth reading.
 
You've scribbled nothing but rubbish not worth reading.
I have said the bitter truth ...its a bitter tablet that need to be swallowed by pro CDM members
 
Ukiweza kutupa English version ya hii sentence yako tutakuelewa sana!
Hawezi..halafu anadhani mimi najishobodoa kuandika kingereza kizuri .nitaandika kingereza kibovu kama wao wanavyokosea kiswahili...WE ARE EQUAL AND EVEN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…