Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini wewe usiseme neno mpaka Lissu aseme?Nilitegemea Mheshimiwa Dr. Lisu kusema neno dhuluma ya wazi ya uchaguzi nchi jirani. Badala yake kakaa kimya akiendelea kulamba asali ulaya.
Ameshakuwa Dr Lissu tena?Nilitegemea Mheshimiwa Dr. Lisu kusema neno dhuluma ya wazi ya uchaguzi nchi jirani. Badala yake kakaa kimya akiendelea kulamba asali ulaya.
Karani wa sensa uko vizuriMtu mwenyewe #dishlimetilt kiasi hicho unategemea aseme nini? Inawezekana mwezi uko kona hawezi hata kuunga sentensi ya maana!
🤣🤣🤣watamtaka tuKwenye matatizo Lisu. Kwenye starehe, msaliti. Ebu pambaneni na hali zenu
Badala ya kumuwaza Baba yako ambaye hana kitu, Amezeeka na kuchakaa na unaogopa kuongozana nae kisa mchafu mchafu, Wewe unamuwaza Baba wa Mtu ambaye yupo UlayaNilitegemea Mheshimiwa Dr. Lisu kusema neno dhuluma ya wazi ya uchaguzi nchi jirani. Badala yake kakaa kimya akiendelea kulamba asali ulaya.
Unachekesha sana. Kwani Lisu ni mkenya mpaka awe concerned na dhuluma kwenye uchaguzi wa Kenya? Kwanza ni dhuluma zipi unazozisema? Vipi kama kuna dhuluma uchaguzi wa Libya, au Senegal. Auseme na huo?Nilitegemea Mheshimiwa Dr. Lisu kusema neno dhuluma ya wazi ya uchaguzi nchi jirani. Badala yake kakaa kimya akiendelea kulamba asali ulaya.
Hao ni wapuuzi wenzako wa CCM ndiyo wanaandika huu upuuzi.Majitu mengine sijui yanaona lissu ndo mungu wao? Sasa mambo ya Kenya huyu mkimbizi yanamhusu nini? Kwani huko Kenya hakuna wa kusema kitu? Nyumbu hovyo kabisa.
Tunaambiwa Uchaguzi wa Kenya ni WA kupigiwa mfano Afrika. Kwa hiyo Tanzania tuchutame. Labda Lissu kachutama, uwezikujua!Nilitegemea Mheshimiwa Dr. Lisu kusema neno dhuluma ya wazi ya uchaguzi nchi jirani. Badala yake kakaa kimya akiendelea kulamba asali ulaya.
Mwambie ukweli huyo ndezi!Kwenye matatizo Lisu. Kwenye starehe, msaliti. Ebu pambaneni na hali zenu
Wewe ni hovyo!Mtu mwenyewe #dishlimetilt kiasi hicho unategemea aseme nini? Inawezekana mwezi uko kona hawezi hata kuunga sentensi ya maana!
Hivi masters graduate (UDSM) anaweza kutengeneza hoja ya kijinga kwa namna hii??? Huu mfumo wa elimu ni lazima uwe overhauled for good of the country.Nilitegemea Mheshimiwa Dr. Lisu kusema neno dhuluma ya wazi ya uchaguzi nchi jirani. Badala yake kakaa kimya akiendelea kulamba asali ulaya.