Kenya 2022 Lissu yupo kimya dhuluma Uchaguzi Kenya

Kenya 2022 Lissu yupo kimya dhuluma Uchaguzi Kenya

Kenya 2022 General Election
Nilitegemea Mheshimiwa Dkt. Lissu kusema neno dhuluma ya wazi ya uchaguzi nchi jirani.

Badala yake kakaa kimya akiendelea kulamba asali ulaya.
Hebu muacheni Lissu msije kuwaamsha Madaktari wa Milembe kuanza kumtafuta si mnajua wenye matatizo ya akili kwa sasa wanatafutwa nyumba kwa nyumba
 
Nilitegemea Mheshimiwa Dkt. Lissu kusema neno dhuluma ya wazi ya uchaguzi nchi jirani.

Badala yake kakaa kimya akiendelea kulamba asali ulaya.
Nenda pia ukailambe... Kwani kama mazuri uifuate !
 
Nilitegemea Mheshimiwa Dkt. Lissu kusema neno dhuluma ya wazi ya uchaguzi nchi jirani.

Badala yake kakaa kimya akiendelea kulamba asali ulaya.
Leave alone that humble gentleman. He sacrificed his life for our country. Muache apumzike. Ndo maana nampenda mama kwasababu alipowezesha nakumfanyie wepes kupata haki na stahiki zake which rightfully belongs to him
 
Nilitegemea Mheshimiwa Dkt. Lissu kusema neno dhuluma ya wazi ya uchaguzi nchi jirani.

Badala yake kakaa kimya akiendelea kulamba asali ulaya.
Huyu unatakiwa umuhamasishe arudi nyumbani; input yake nchini kwake inahitjakika zaidi kuliko kumsikia analalama tu mitandaoni sababu ya matokeo ya uchaguzi. Mhamasishe ai-join tena EAC
 
Nilitegemea Mheshimiwa Dkt. Lissu kusema neno dhuluma ya wazi ya uchaguzi nchi jirani.

Badala yake kakaa kimya akiendelea kulamba asali ulaya.
Bint kaa hangaika na mumeo siasa huziwezi
 
Majitu mengine sijui yanaona lissu ndo mungu wao? Sasa mambo ya Kenya huyu mkimbizi yanamhusu nini? Kwani huko Kenya hakuna wa kusema kitu? Nyumbu hovyo kabisa.
Maccm hayajawahi kuwa na akili mkuu
 
Dhuluma wapi mambo yote yako wazi, Ruto amepambana na Serikali na ameishinda.
 
Nilitegemea Mheshimiwa Dkt. Lissu kusema neno dhuluma ya wazi ya uchaguzi nchi jirani.

Badala yake kakaa kimya akiendelea kulamba asali ulaya.
Aseme yeye Kama nani waacheni Wakenya wa deal na mambo yao.
 
Nilitegemea Mheshimiwa Dkt. Lissu kusema neno dhuluma ya wazi ya uchaguzi nchi jirani.

Badala yake kakaa kimya akiendelea kulamba asali ulaya.
Hv nyie chadema mna matatizo gani, kwani huyo lissu ni nani.? Mbona kama mnampa mamlaka makubwa sana, kwani anahusika au hata akiongea hicho unachotaka ataifaidisha nini Kenya.? Dah aisee hua naumia sana kuona kijana anashabikia mambo ya kipumbavu kama haya.
 
Back
Top Bottom